Alaaaa! kumbeeeee eeeh :becky:
Wewe si ulikuwa unabisha kwmaba uchawi hakuna, ngoja na wewe ukutane na gwiji ulishwe vya kulishwa ndio utatia akili. gfsonwin hbu mweleze huyu kuhusu Limbwata na Shuntama ajijue maana siku hizi tukiona mkwanja umesimama, tunakulisha vya kukulisha hadi unakuwa ZOMBIE.
Chezea Limbwata weye
Mmezidi ninyi nanyi kukosa uaminifu kwa wake zenu,me ukija pande zangu nakugeuza ndodocha,ndo akome kumwacha mkeo..
wanaume wenyewe wachache ninyi,
Uchawi hakuna. Limbwata hakuna. Na shuntama hakuna. Kama vyote hivyo vipo, nifanyieni majaribio. Afterall, wewe hutaki cheki nzima ya rais wa wabeba maboksi ije kwenye akaunti yako ya Exim?
don't say this dude! hujakutana nayo shukuru Mungu.
hivi wewe ulishawah kuskia mwanaume zezeta?? basi kama hujawah usiombe mtu kukufanyia hayo. kama huamini just PM jina lako yote mawili na jina la mama yako basi.
Na ukute kanyumba kadogo kenyewe kapo ka Ciello jamani si kanakunyonya hadi damu...Hapo umenena shosti, unakuta wababa wazima kujiheshimu hawataki kabisaa, then wakinogewa na kuziba masikio mnawalaumu wanawake. Kwani waliwaita?
sina maana hiyo NN ila ukweli ngoja nikwambie huwez kumloga mtu usiye mjua na ukweli ni kwamba lazima ujue jina lake na la mama yake basi, huitaj kusema uko wapi na unafanya nn ila nitakwambia uko wapi unafanya nn na una watoto wangapi nk.Bwa! ha! ha! ha!
Acheni vitisho hewa bana. Niwape jina langu la ukweli ili muishie tu kujua mimi ni nani halafu kisinitokee chochote. I ain't falling for that.
Kama ndumba zenu zinafanya kazi basi mtajua kabisa mimi ni nani na niko wapi na nifanya nini kwenye shughuli zangu za kimaisha. Lakini si kuwapa kwenye PM. Na kwani nini iwe PM anyway?
Na huo uzezeta wa mwanaume perhaps ni ugonjwa tu wa akili. Au jitu linaweza likawa obtuse na hivyo ndivyo lilivyo halafu watu mnajiaminisha kuwa ni zezeta kwa sababu ya ndumba zenu. Ahh wapi. Ndumba hakuna. Kama zipo nirogeni mnitolee mfano kwa wote wanaokana uwepo wake.
sina maana hiyo NN ila ukweli ngoja nikwambie huwez kumloga mtu usiye mjua na ukweli ni kwamba lazima ujue jina lake na la mama yake basi, huitaj kusema uko wapi na unafanya nn ila nitakwambia uko wapi unafanya nn na una watoto wangapi nk.
jina la mtu ndicho kitu pekee ambacho mtu akikijua anaweza kukulogelezea kirahisi vingine ni vitu ambavyo una contact navyo kama vile makombo ya chakula, nyuzi za nguo, unyayo wako, nywele na kucha. siku zote wanamke akitaka kukuloga vzr atahakikisha umemla mwili wake wote na ni ukweli ndivyo ilivyo. atakulishaje kwa njia ya chakula atakachokupikia.
kwa alyeko mbali ambaye huwez kumpa msosi basi unampigia baruti huko alipo basi hiyo baruti lazima ujue jina la muhusika yote 3 na jina mama yake basi. ikilipuliwa tu na ndegela basi lazima utahamalika na kumtafuta muhusika hata kama humjui. uchawi upo ila ni dhambi sana kumshirikisha Mungu. so si mshauri mtu aujaribu.
Kwa hiyo sasa hivi nikikupa jina langu na la mama yangu utaweza kuniroga? Niko tayari kukupa. The ball is in your court.
Ha,ha,ha,ha,ha,ha,ha,haaaaa! Nyani Ngabu shauri yako!
Kwa hiyo sasa hivi nikikupa jina langu na la mama yangu utaweza kuniroga? Niko tayari kukupa. The ball is in your court.
hahhha! NN usinitie mjaribuni bana nikamkosea Mungu wangu.
Binafsi nilishesema dhambi zote nitatenda ila dhambi ya kuabudu miungu mingine sitoifanya manake Mungu hata nihesabia kuwa sina hatia milele.
Shauri yangu nini bana. I'm daring her to roga me!!
Na mtakapopata majibu tafadhali mtuambie!
Mzee wa watu kishaumana tayari. Wife kasepa zake kwenda kufanya kazi za kuogesha wazee ulaya, mzee amebaki anaendesha uber. Daaaa, wanawake noma.Kacheua! Eti hataki kutenda dhambi.
Wewe unamjua mchawi yeyote yule? Kama kuna mchawi unayemjua mwambie kuna jamaa huku JF ana hamu sana ya kurogwa.