Wanawake mna roho ngumu sana

Wanawake mna roho ngumu sana

Anatoka hapo
Anatumiwa tena anatua mbeya halafu Mwanza halafu Dodoma halafu Arusha halafu singida halafu halafu halafu ….. mleta mada unajiona mjaanja kumbe loooooofaaa
 
Anatoka hapo
Anatumiwa tena anatua mbeya halafu Mwanza halafu Dodoma halafu Arusha halafu singida halafu halafu halafu ….. mleta mada unajiona mjaanja kumbe loooooofaaa
Wapi niliposema nimejiona mjanja mkuu.
Somatena Uzi, nimesema wanawake nimajasiri na wanarohongumu.

That's all.
 
Yes!, nyinyi ni viumbe wenye roho ngumu na ujasiri mwingi sana.

Tumeonana sikumoja,tukapeana namba,tunapigastori mwezi mzima kwenye simu tu,hunijui kiundani namimi sikujui,tunayajenga alafu nakutumia nauli unasafiri kilometa 451 unakuja Dr es Salam?? wakati huniju vizuri??.

Wajanja watajua hizo kilometa nikutokea wapi.

[emoji1787][emoji1787] Duuh, Mbukwenye, mbuukwe. mnaroho za plastiki.

Natamani kuona mwanamke mmoja anafungua uzi kutupongeza na kutushukuru wanaume kwa uaminifu.
Em nitumie mim hyo nauli.
 
Ushajiuliza wewe unayeita mtu humfahamu akija kukufia ndani kumbe kasahau dawa ya pumu na wewe umemkunja mikao itakuwajee Mkuu?

Utagundua nao hawauwazi huo ujio wao kama hatari, sawa na wewe tu usivyowaza hatari zake.
 
Ushajiuliza wewe unayeita mtu humfahamu akija kukufia ndani kumbe kasahau dawa ya pumu na wewe umemkunja mikao itakuwajee Mkuu?

Utagundua nao hawauwazi huo ujio wao kama hatari, sawa na wewe tu usivyowaza hatari zake.
Mkuu,ukiwaza sanaizo risk utaishia kugegeda majiranizakotu nandio mwanzo wa kugonganisha magari.
 
Kwa hyo nije napaa[emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Duuh, hayo majibu yako siomageni.
Jaribu tu utakavyo weza ufike, sikutumii mpaka nione usowako hapa.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Duuh, hayo majibu yako siomageni.
Jaribu tu utakavyo weza ufike, sikutumii mpaka nione usowako hapa.
Basi siji ngoja niende kwa mwingine.
 
Back
Top Bottom