chongoe
JF-Expert Member
- Mar 22, 2019
- 1,183
- 2,871
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani nazani uyo anaelivaa anakua anatembea like robotMmeyataka wenyewe, kutusakama tusio na chura, acha tuwape mnachokitaka tulieniii[emoji3], ila ilo furushi siyo zito kweli nisijeshindwa kumove buree[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa si mngechoma sindano mnywe vidonge vya kuyaongeza kuliko kutembea na huo mzgooMmeyataka wenyewe, kutusakama tusio na chura, acha tuwape mnachokitaka tulieniii[emoji3], ila ilo furushi siyo zito kweli nisijeshindwa kumove buree[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo inaonekana sio zito, ni sponji sponji tuMmeyataka wenyewe, kutusakama tusio na chura, acha tuwape mnachokitaka tulieniii[emoji3], ila ilo furushi siyo zito kweli nisijeshindwa kumove buree[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
I can imagine Radicals kanipendea chura huko barabarani ,tumeenda home kuvua kumbe sponji hilo, hilo jicho ntakaloangaliwa[emoji3][emoji3]
I can imagine Radicals kanipendea chura huko barabarani ,tumeenda home kuvua kumbe sponji hilo, hilo jicho ntakaloangaliwa[emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Atakayejua ni mvaaji, ukinivutia na huo mpododo fake na nikakutaka tukamalizane kibla, najua utajifanya waingia bafuni kujisaidia, ukirudi umepungua na hapohapo ndio mwisho wa mchezo[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahahaaa financial services , ila wanakosa tu kujiamini, Mungu kampa kila mtu na mtuwe.I can imagine Radicals kanipendea chura huko barabarani ,tumeenda home kuvua kumbe sponji hilo, hilo jicho ntakaloangaliwa[emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama feni au?🤣🤣🤣Si mnapenda waliojazia waacheni wajijaze tu ili muzidi kuzungusha hizo shingo.
Hupendi wenye mizigo?, 1 out of 100, safi sana kumbe kuna wanaotupenda wenye flat screens hivi hivi, naanza kujiamini sasa[emoji3]hahahahaaa financial services , ila wanakosa tu kujiamini, Mungu kampa kila mtu na mtuwe.
Mimi kwa upande wangu huwa sipendi wenye mizigo mizito at their back na I never dated them, always I prefer super slims and models
Sent using Jamii Forums mobile app
jiamini aisee, tunaopenda super models tupo, wenye mizigo sijawah vutiwa nao, sijui ni kwanini. Pia huwa najiuliza wanaopenda wenye mizigo huwa wanaenjoy nini hasa!Hupendi wenye mizigo?, 1 out of 100, safi sana kumbe kuna wanaotupenda wenye flat screens hivi hivi, naanza kujiamini sasa[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wow! Umetisha hapo miguu hadi inatokeza njee[emoji3][emoji3] mimi mwenyewe tallest ila siyo slim sana[emoji12]jiamini aisee, tunaopenda super models tupo, wenye mizigo sijawah vutiwa nao, sijui ni kwanini. Pia huwa najiuliza wanaopenda wenye mizigo huwa wanaenjoy nini hasa!
Mimi navutiwa sana na slims, na akiwa tall nampenda zaid, mana mimi kimo ninacho si haba, nina 6 ft na 5. Kitana cha 6*6 nalala diagonally, yani nikilala kwa wima miguu inatokeza nje.
Sent using Jamii Forums mobile app