Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Nakazia😂Tunaweka wave
Tunakata way
Kwa mbali bleach
Acheni kutumia ndom
Kateni 🍆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakazia😂Tunaweka wave
Tunakata way
Kwa mbali bleach
Acheni kutumia ndom
Kateni 🍆
Kwakweli mnapendeza mm kichwa kama boksi nikinyoa km kimebondeka kisogoni nisuke 😀😀😀Nanyoa na kuweka rangi tena ile kaliiiii sio ya juu juu, sipendi nywele nyeusi,
Kunyoa kunakupa muonekano wako halisi siku zote unaonekana young and beautiful kwa sie mashangazi.
Nimesuka saizi🤣🤣🤣lee na wewe unanyoa?😂
Zimekuakua saiz hadi yebo nasuka😂😂😂ndo vile mnaita vitunguu?
Mnapendeza sana Mimi nikinyoa kichwa kipo km pasi nipambane tu 😂😂😂Tunaweka wave
Tunakata way
Kwa mbali bleach
Acheni kutumia ndom
Kateni 🍆
Kwa kweli kichwa kikiwa kama cha Baba Ubaya bora kusuka tu shost, ya nini kupoteza confidence na kuvunja watu mbavu [emoji23][emoji23][emoji23]Kwakweli mnapendeza mm kichwa kama boksi nikinyoa km kimebondeka kisogoni nisuke [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Saaana Swahiba..Na huwa wanapendeza sana
😂😂😂Yaani nisuke tu😀😀Kwa kweli kichwa kikiwa kama cha Baba Ubaya bora kusuka tu shost, ya nini kupoteza confidence na kuvunja watu mbavu [emoji23][emoji23][emoji23]
😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀Tunaweka wave
Tunakata way
Kwa mbali bleach
Acheni kutumia ndom
Kateni 🍆
kabisa, tangu ninyoe napendeza sana natamani kuweka bleach ni vile mazingira ya kazi hayaniruhusuWe look more beautful in short hair, thats the main reason.
Asanteee kwa pichaView attachment 2713795
Wanawake wanaonyoa wanapendeza sana
Picha plsHabari wakuu,
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Kumekuwa na fashoni ya kunyoa nywele kwa wanawake na wadada.
Yaani wananyoa halafu wanapaka na bleach kwenye nywele.
Wanaopendeza sana wengine kulingana na vichwa vyao na sura zao nzuri.
Wengine wanachukiza maana vichwa vyao havikukaa vizuri mnajua simalizii.
Sasa hii fashion ya wadada wamekuwa wakiwa wamefulia au .
Kama ni fashoni mje mtuambie hapa ili tujue kuwa mnanini.
Wamefulia wanamadanga maskiniHabari wakuu,
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Kumekuwa na fashoni ya kunyoa nywele kwa wanawake na wadada.
Yaani wananyoa halafu wanapaka na bleach kwenye nywele.
Wanaopendeza sana wengine kulingana na vichwa vyao na sura zao nzuri.
Wengine wanachukiza maana vichwa vyao havikukaa vizuri mnajua simalizii.
Sasa hii fashion ya wadada wamekuwa wakiwa wamefulia au .
Kama ni fashoni mje mtuambie hapa ili tujue kuwa mnanini.
Lazima wakupe mafuaBora wanaonyoa au wanajifunika kichwa ila mawigi mengi ni uchafu na hayana mzuka.
Wavaa mawigi 90% ni wachafu kabisa
Eh kumbe kusuka ni bei wanaona bora wale wanywe wasife na njaa na mawigi ya bei[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanajifanya wanapendeza