Wanawake mnanyoa fashion au mmefulia?

Wanawake mnanyoa fashion au mmefulia?

1690178263572.jpg

Wanawake wanaonyoa wanapendeza sana
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari hapo juu,

Kumekuwa na fashoni ya kunyoa nywele kwa wanawake na wadada.

Yaani wananyoa halafu wanapaka na bleach kwenye nywele.

Wanaopendeza sana wengine kulingana na vichwa vyao na sura zao nzuri.

Wengine wanachukiza maana vichwa vyao havikukaa vizuri mnajua simalizii.

Sasa hii fashion ya wadada wamekuwa wakiwa wamefulia au .

Kama ni fashoni mje mtuambie hapa ili tujue kuwa mnanini.
Picha pls
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari hapo juu,

Kumekuwa na fashoni ya kunyoa nywele kwa wanawake na wadada.

Yaani wananyoa halafu wanapaka na bleach kwenye nywele.

Wanaopendeza sana wengine kulingana na vichwa vyao na sura zao nzuri.

Wengine wanachukiza maana vichwa vyao havikukaa vizuri mnajua simalizii.

Sasa hii fashion ya wadada wamekuwa wakiwa wamefulia au .

Kama ni fashoni mje mtuambie hapa ili tujue kuwa mnanini.
Wamefulia wanamadanga maskini
 
Dooh mimi kusuka tena hapana kwakweli, nikikumbuka yale mateso niliyokuwa napata in the name of "urembo" najisemeaga acha tu ninyoe hata kama gubichwa gwangu gubaya, kwanza mimi hata nikisuka bado ni sura ya baba hakuna penye uafadhali kwahiyo nikaona bora nichague kile chenye kitakuwa rahisi kwangu nacho ni kunyoa
 
Back
Top Bottom