Wanawake mnanyoa fashion au mmefulia?

Picha pls
 
Wamefulia wanamadanga maskini
 
Dooh mimi kusuka tena hapana kwakweli, nikikumbuka yale mateso niliyokuwa napata in the name of "urembo" najisemeaga acha tu ninyoe hata kama gubichwa gwangu gubaya, kwanza mimi hata nikisuka bado ni sura ya baba hakuna penye uafadhali kwahiyo nikaona bora nichague kile chenye kitakuwa rahisi kwangu nacho ni kunyoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…