Wanawake mnaoishi kwenye nyumba za kupanga Mungu anawaona

🀣🀣🀣🀣🀣
 
Baadhi ya wanawake wanaoishi kwenye nyumba za kupanga mnatabia ya kuoga maji bafuni lakini gaga mnakuja kusugulia nje bila kujali kuna nani . Hivi shida ni nini ?😩😩😩
yani ni shida kama umajijua umenona jistili basi vichwa vingine akili hamna☹️
 
Baadhi ya wanawake wanaoishi kwenye nyumba za kupanga mnatabia ya kuoga maji bafuni lakini gaga mnakuja kusugulia nje bila kujali kuna nani . Hivi shida ni nini ?😩😩😩

Una mfadhaiko kwani?
 
Baadhi ya wanawake wanaoishi kwenye nyumba za kupanga mnatabia ya kuoga maji bafuni lakini gaga mnakuja kusugulia nje bila kujali kuna nani . Hivi shida ni nini ?😩😩😩
Mkuu wacha kutuaminisha uwongo bwana, ebu tuwekee picha zao tuone kama ni kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…