Fanya unaangusha kibunda uone km hajaokota mkaanza kuelewa,[emoji23][emoji23]mnapimwa Imani .Biashara matangazo toa pesa hit and run.
Tabia za kichokozi hizo πKusugua mguu juu ya jiwe raha sana yaani. Magaga yanaisha kabisa.
GagaBaadhi ya wanawake wanaoishi kwenye nyumba za kupanga mnatabia ya kuoga maji bafuni lakini gaga mnakuja kusugulia nje bila kujali kuna nani . Hivi shida ni nini ?π©π©π©
[emoji23]Tumchangieni mwana jf mwenzetu atoke huko. Mimi nitajitolea Range moja namba ETunashukuru kujua unaishi uswahilini.
Hilo Gaga linavyosuguliwa huko nyuma sasa kunavyochezeshwa kha!!!Baadhi ya wanawake wanaoishi kwenye nyumba za kupanga mnatabia ya kuoga maji bafuni lakini gaga mnakuja kusugulia nje bila kujali kuna nani . Hivi shida ni nini ?π©π©π©