Wanawake mnaojenga nyumba kwa siri bila mwenza kujua huwa mnamaanisha nini?

Wanawake mnaojenga nyumba kwa siri bila mwenza kujua huwa mnamaanisha nini?

Aisee... Kuna kipindi nilikuwa napitia msoto yani kula kwenyewe shida niko na mwanamke ndani anaona navyohangaika nimeshuka from 100 to 5 hata kula ni kwa shida. kumbe ana ela lak 7 kaficha kabatini.

Sasa kuna siku nataka kutoka nikatafute hela and nilikuwa na hustle coz niko naye vinginevyo ningerudi kwetu, nikachukua begi lake la mgongoni nibebe kitu. alhaula, manoti yakamwagika. alikuwa amelala. nikachukua na kuzirudisha kabatini nikaondoka na bag. sasa aliposhtuka hizo simu alizopiga akihisi labda nimesepa na fedha yake.

Nikapokea na kumwambia najua umepiga unahisi nimesepa na fedha yake, iko kabatini. Akaanza jieleza about fedha ila mimi nikajua hapa...
Mkijua mwanamke ana hela spirit ya kutafuta inapungua
 
Wanawake wengi, ila siyo wote, wakipata hela hawataki au hawaoni umuhimu wa mwanaume na ndoa.

Kataa ndoa hapa wanayoyoma kwa kasi ya SGR
Upo sahihi kwa 💯. Wanawake wengi wenye kuajiriwa na mshahahara wa kumuwezesha kuishi halafu ni single mama kuolewa na kumtumikia mwanaume anaona utumwa.

Wengi wao wanapenda kupigwa miti na wanaume tofauti tofauti halafu utawasikia wakisema .... Kuolewa ni utumwa kumbe ni umalaya tu unawasumbua
 
Back
Top Bottom