Wanawake mnaosimama kanisani kweli mmekosa wachumba na wanaume?

kuna mmoja alikuwa kwenye mkutano fulani akaenda mbele ili apate mchumba na mume aliporudi nikaomba namba ya simu ila jibu na jicho alilonipa ilitosha kusema endelea tu kuwekewa mikono na watumishi
Ulikosea kumuomba namba wkt ule alidhan ni kwasabb umemuona katoka kuombewa ili apate mume,, ungempa mda kdg ata kumfuatilia mtaani
 
Wakati wengi wao wanalia na kuombewa kupata Ndoa, huku mtaani na maofisini wanawake wanaovutia kwa Ndoa niwakutafuta kwa Tochi
 
Na mimi niulize? Kwa mfano pisi kali inasimama ili iombewe ipate mchumba. Baada ya ibada nikimfuata nikamwambia nimempenda atanikubali au atasema akajifikirie.
 
Na mimi niulize? Kwa mfano pisi kali inasimama ili iombewe ipate mchumba. Baada ya ibada nikimfuata nikamwambia nimempenda atanikubali au atasema akajifikirie.
Si umeona mwezako katoa ushuda kuwa alimuona manzi anaombewa apate mume akamvizia apate namb akaishia kupigwa chini tu
 
✍🏻✍🏻
 
Ha ha ha.....
Mwanamke anayeliwa hovyo Kuna picha flan inakuja kichwani jins alivochakazwa huko chini, mood yote inakata

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli aisee. Mood inakata plus kinyaa.
Nafikiri huwa hawajui kuwa wanaume wanaongea, kuna wakati mtu unaonywa wazi wazi na wanaume, like mkuu"stay away" hafai. Enhee unaogopa
 
Mtawaua kwa presha wenye miaka 29 na kuendelea hahahaha...
Wanawake kujitunza ni muhimu sana ujanani,bora uonekane mshamba kuliko kuvua vua chupi
mzabzab Kelsea@to yeye@rikiboy@kunguru wa manzese@princehando
Na asipovua chupi hatuoi haiwezekani tusitesti mitambo je tukiuziwa mbuzi kwenye gunia

Yaani tunawakaba kote kote hawana pa kutokea [emoji16]
 
MALCOM LUMUMBA
A woman will probably have sex with any man she likes, while A man will probably have sex with a woman he can. But in a long run a man will marry a woman he likes, while a woman will get married to any man she can.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…