Wanawake mnaosimama kanisani kweli mmekosa wachumba na wanaume?

Wanawake mnaosimama kanisani kweli mmekosa wachumba na wanaume?

Kweli aisee. Mood inakata plus kinyaa.
Nafikiri huwa hawajui kuwa wanaume wanaongea, kuna wakati mtu unaojwa wazi wazi na wanaume, like mkuu"stay away" hafai. Enhee unaogopa
Sahii kabisa,
Wanawake wengi mahusiano wanayafanya Siri Sana,

Ila wanaume huwa tunaambizana
"Oya chombo yangu ile napiga"

Jamaa anajibu "fresh"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
miaka 32? k ishachakaa! endelea kujipa moyo
Ukweli ni kwamba umri wowote wanaingia kwny ndoa

Na ht ukiolewa na 25 utakua utafikia 35 na ndoa itaendelea

Na msipokua makini haijalishi umeingia ndoani na 25 ama 35 hio ndoa mtaivunja
 
Sahii kabisa chief[emoji106]
Sio kila mwanamke Ni wakuoa, wengine wanafaa kutumika TU.

Mfano mzuri:
Niko na Mchepuko Wangu mmoja tunaenda mwaka wa 4 huu, ndie mwanamke pekee anaenikosha sana kitandani.

Huwa najisemea
Hata itokee bahat mbaya Mungu amchukue MKE wangu mamaG,
Wallahi huyu mwanamke simuoi.

Ntatafuta mwanamke mwingine nioe au ntabaki singo, na yeye ataendelea TU kua Mchepuko wangu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Laiti mama j angesikia unavyosema hivyo
 
Sahii kabisa chief[emoji106]
Sio kila mwanamke Ni wakuoa, wengine wanafaa kutumika TU.

Mfano mzuri:
Niko na Mchepuko Wangu mmoja tunaenda mwaka wa 4 huu, ndie mwanamke pekee anaenikosha sana kitandani.

Huwa najisemea
Hata itokee bahat mbaya Mungu amchukue MKE wangu mamaG,
Wallahi huyu mwanamke simuoi.

Ntatafuta mwanamke mwingine nioe au ntabaki singo, na yeye ataendelea TU kua Mchepuko wangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
😱 😀 😀 😀 😀Wee jamaa una shida mahalii... au ukioaa ataanza mazoea
 
Na ndio maana ndoa zina shida sana

Uliacha mwanamke anayekupenda
Unayeoa we unampenda ye hakupendi ana wake huko nje atachepuka tu

Ushauri
Oa mwanamke anayefanya mapenzi na wewe women do it for love
Hio very pickyy muda mwingine haiwasaidii
Duuuh! basi ingekua hivyo,kua mwanamke anayefanya mapenzi nawewe,anakupenda,basi tafsiri ya mapenzi kwa mwanamke,bado haijaeleweka,niishie tu hapo.
 
miaka 32? k ishachakaa! endelea kujipa moyo
Kama wewe ni mpenda ngono mwanamke mwenye miaka 35 kwenda mpaka 50 ndio mwenyewe sasa.

Saa nyingine mnasumbuwana na hao wasichana kumbe hawajika umri wa kukojowa, sasa mwanamke asiyekojowa ujuwe anakufurahisha wewe tu mwanaume, na ndio maana mwanamke anayekojowa ukishindwa kumuandaa mpaka akakojowa hawezi kukuvumilia ni lazima ilo jukumu atakabidhiwq mtu na huu siyo umalaya, ni haki ya msingi ya mwanamke, hata kama ni mke wako atakupa nafasi ya kukuzalia lakini lazima akojozwe na mtu, hii ni kanuni ya asili na haipingi.
 
Kama wewe ni mpenda ngono mwanamke mwenye miaka 35 kwenda mpaka 50 ndio mwenyewe sasa.

Saa nyingine mnasumbuwana na hao wasichana kumbe hawajika umri wa kukojowa, sasa mwanamke asiyekojowa ujuwe anakufurahisha wewe tu mwanaume, na ndio maana mwanamke anayekojowa ukishindwa kumuandaa mpaka akakojowa hawezi kukuvumilia ni lazima ilo jukumu atakabidhiwq mtu na huu siyo umalaya, ni haki ya msingi ya mwanamke, hata kama ni mke wako atakupa nafasi ya kukuzalia lakini lazima akojozwe na mtu, hii ni kanuni ya asili na haipingi.
Vijana wadogo hawawezi kukuelewa chief
Hata wanaume miaka 50 ni 🔥🔥

Hawajui tu
 
Back
Top Bottom