Wanawake mnaotoka shift mjitahidi kujiweka smart

Wanawake mnaotoka shift mjitahidi kujiweka smart

Wewe kwa kua hujitambui ungekuja kumuuliza, mimi sikutaka kutukanwa asubuhi yote hiyo nani anataka kuianza siku na stress, wewe ukikutana na mtu dizain hiyo wewe muulize yawezekana unajua jinsi ya kuwahoji watu wa type hiyo
MYOFB then......!!
 
Umetumia tasifida kwenye kichwa cha habari ....safi sana mwanzoni mie nilidhani labda manesi....ama kada zingine za shifti
 
Fara ni wewe usijua nyuma yako tena yawezekana akili zako ni ziro, kuna binadamu asiyejadiliwa hapa duniani? Ukiwa na mwonekano tofauti lazima watakujadili tu, sasa ww tembea uchi uone kama hurushwa hewani. Yaelekea hujui magazeti ya udaku kazi yake ni nini kilaza mkubwa weeeee
utakuwa punga wewe
 
Hahahaaaaa wewe utakuwa malaya wa kizanzibari ulojo tu unakutosha kugegedwa
 
Hilo ndo tatizo la kupakia staff then anaenda long trip.....hapo alikuwa kashavurugwa laiti mtu angelimkanyaga angeona kimbembe chake....
 
Alaf wanakuwaga na gubu mbayaa sasa wakanjanjuliwe na usikute katoroka kwa jamaa hakuamin kumekucha ila wanaume tuna ujinga flan wewe umkunje mtoto wa mwenzako alaf unamuachia aondoke bila kujitakasa ? anaenda kuwakera watu na janaba lake
 
Hahahahaha wanakuwaga na hasira mbaya mbovu kuna mmoja skujuwa ni mla vichwa kwenye saa kumi na mbili na 45mn naingia job mara kanipiga mkono akaniomba nimsogeze sawa akapanda kavaa fresh ila ndan ya gari nikahis tu mmm huyu mdada hayuko sawa sasa kufika mahali napokata kuingia akaniambia we kaka siendi uko nyoosha kidogo kwani shing ngapi hahhahahahahahahah
 
Back
Top Bottom