Wanawake mnasema mnapenda mwanaume anayejua kuhonga, ila mkiwapata hao wanaume, mnawaona na kuwafanya maboya

Wanawake mnasema mnapenda mwanaume anayejua kuhonga, ila mkiwapata hao wanaume, mnawaona na kuwafanya maboya

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Case in point, video za instagram na TikTok baadhi ya wadada Especially wa Marekani, wanajigamba kupewa hela nyingi na wanaume ndani ya mda mfupi, huku wakiwaona hao wanaume kuwa ni wajinga.

Kwasababu wanatoa hela, sasa sijaelewa which is which, Ina maana kwa mfano nikimpa Tshs. elf 50 mdada ninaempenda, na nimekutana naye juzi, naonekana mjinga wakati Najaribu kuonyesha upendo?

Mbona hii reasoning iko backward?
 
She feels superior in that position...

And u can take it away
Acha kutoa pesa achezee miti..

Have options as well...
Usiruhusu uchi iwe fimbo ya kutoa penzi...
 
Achana na hao..endeleeni tu kutupatia hayo mapene..

Baby endelea tu kunipa wewe sio boya hata kidogo boss wangu..😍
 
Binadamu haturidhiki na shukran hatuna
 
Wanawake tunapenda vyote mkuu, pesa kwanza, kitandani uwe vizuri, caring iwe safi.

Lakini ikiwepo pesa na yakakosekana hayo mengine wapo wanawake wanaojielewa wanaweza Wakavumilia japo ni nadra kuwapata.
 
Dah PESA ndio kila kitu mkuu
#money is every in every aspect of life
Asante.
 
Back
Top Bottom