Wanawake mnatuharibia watoto wa kiume

Hayo ni madhara ya kuwazalisha ovyo na kuwatelekezea watoto.

Mlezi ni baba, mwanamke ni mzazi mzuri ila maswala ya malezi hayawezi.
 
Wanawake mmekuwa malaya sana.

Once mwanamke akitombesha kwa mwanamme mwingine, mwanamme wake hawezi mrudia huyo mwanamke katu na huwa tunasusa kila kitu chake hadi watoto.
Susa usilalamike sasa!
Badala ya kutazama wapi wote mnakosea!we unapambana kutukana wanawake!
There is both team to score aisee!
 
imagine!
Mtu kasusa halafu anaanzisha nyuzi sita sita!
We kama umesusa usiumie.
Kama unaumia DO SOMETHING ABOUT IT!
Watu wa JF utawaweza?

Labda hawasomi vitabu, vitabu vinasema hivi…… ukitaka kitu kifanyike kwa usahihi, fanya mwenyewe.

Kuna watu wana asili ya kutokupenda commitment, kwenye mahusiano wanajaribu jaribu, kwenye kazi wanazuga zuga , kwenye malezi wanajiweka weka mguu ndani mguu nje, inshort wamekuja duniani kuzuga, kila kitu chao ni below average. Ila kwenye kutupa lawama sasa! Mimi huwa naangalia nasema hiiiiiiiii, ona huyu!
 
kabisa!
ONA huyu!
We umetelekeza mtoto, hujui anachokula wala anachovaa!

unatarajia nn?
sisemi ni sahihi, but kwANINI mtu sistimize wajibu wake wa ubaba kabla hajalalamikia asiyetimiza wa umama?
 
Susa usilalamike sasa!
Badala ya kutazama wapi wote mnakosea!we unapambana kutukana wanawake!
There is both team to score aisee!

Tabia zenu mbovu ndo zinawakimbiza akina baba katika malezi ya watoto wenu.
 
Mtoto yupo darasa la sita bado analala na mamake, anapakwa mafuta, anaamshwa kujisaidia haja ndogo, sad sana!.
Hahaha..
Anasahau kuwa mtoto anakaribia kwenda sekondari so anatakiwa kujifunza kujisimamia
 
Mum, unafaa kujengewa mnara pale uwanja wa taifa! Umajitahidi kuwaeleza wenzio vizuri sana
 
Tabia zenu mbovu ndo zinawakimbiza akina baba katika malezi ya watoto wenu.
Sawa. Sasa nini mnalialia? Watoto wenu watalelewa kimama mama. Kaeni kwa kutulia.
 
Wanawake mmekuwa malaya sana.

Once mwanamke akitombesha kwa mwanamme mwingine, mwanamme wake hawezi mrudia huyo mwanamke katu na huwa tunasusa kila kitu chake hadi watoto.
Na huu ndiyo ukweli.. tena tunamuona ananuka yeye na vitu vyake
 
Mkuu umemaliza kila kitu siongezi chochote. Naweza kusema hii ni moja kati ya mada murua kabisa ya kufungulia mwaka. Wanawake wengine wana akili za kiqumerqumer. Utakuta eti wanawapaka watoto wa kiume rangi za kucha. Afu hadi kijana kabalehe lakini limama lake linambusubusu ovyo. Sijui ni uzungu ama ni ulimbukeni tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…