Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Sehemu kubwa yote hayo ni matokeo ya malezi ya single maza
Single maza ni janga la taifa
Single maza ni janga la taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake wote haichaguiHao ni singer maza au ? Ili ninapowatia kauli nijue napambna na wanawake wa aina gan?
Mwenye jukumu la kuchunga asipate mimba ni nan?Kwa andiko lako ni kuwa kwa sasa wanaume wanajua kutoa "mbegu" tu na kuwaachia wanawake kulea watoto.Wanaume mnapokojoza mwanamke bila kinga au taadhari ujue kuwa karibu na matokea ya uzembe wako.Mnapokuja kulalamika huku ni kuwa wanaume wanaendelea kupungua duniani na wanawake wanachukua usukano.Na MUNGU huwa sio mchoyo,uwapa wanaojitahidi nguvu na in the long run wanawake watakuwa wanawa manage msipoangalia nyie wanaume.Wanaume wajiheshimu kuwa sio kila "tobo" nilakuingiza mengine yanaleta watotot watakaolelewa na single mother .Wapo waliooa ,na wenyewe hawajui majukumu yao hata kidogo.
Dah umenikumbisha miaka hiyo mimi nilikua jetlee wa mtaa ,kakija kitoto kipya lazima kije kuwasili kwa mkuu mimi yan[emoji4][emoji4]unakuta mamá mtotowake wakwanza wapili watatu wote niwanaume[emoji16][emoji16]yani anawalea malezi yakikekike kupika wao kuosha vyombo wao kudeki wao yani dogo akipewa elfkumi anajua kuibajeti kununua kilakitu chakupika nazi,mafuta,nayanga nk..
nakumbuka mimi namdogowangu wote niwakiume nanyumbani hakuna mwanamke zaidi yamama yetu nakidogo chetu chakike kilikua na miaka 6 hakijui chochote
sasa kwenyekupika tulikua tunagoma kabisaa mamá akiwa hayupo tunampikia dogo uji[emoji16][emoji16][emoji16]sisi tunaenda shambani kutafuta matunda tule[emoji41][emoji41]
tutamsaidia mamá kazizote ila sio kupika,kudeki nakuosha vyombo[emoji41][emoji41]
basi bhana tulivyoona mamá anatusumbua kuhusu kazi zajikoni kua tunamgomea tukamuomba mzee atununulie mbuzi na nang,ombe tufuge mzee akanunua
tukirudi shule tunamchotea mamá maji tunachukua baskeli zetu tunafata majani yamifugoyetu miwili.weekend tukinywa chai tunafua chap tukimaliza tunaoenda kuchunga mifugoyetu
gafla ule mtaa wakatuiga kila mzazi akamnunulia mtotowake wakiume kamfugo kake afuge[emoji16][emoji16][emoji16]
sasa mitotoyasasa mivivu inapenda kupikapika nadadazao hata kumfuga kuku mmoja nyumbani wapate mayai hawawezi kazi kucheza magemu kwenye simu tuu[emoji53][emoji53]
Enzi za maisha ya utoto hasa kwa sisi tuliokulia vijiji vya ndani ndani ni tamu sana , unaifurahia dunia kwa aina yake ya kipekee sana.enzizetu kumkuta mtoto wakiume anashida ndani ninadra sana na kamayupo wahivyo tutamsema hadi abadirike😕
Pia kuna single maza wengi hawataki kabisa mtoto akae na baba yake akifika umri fulanHaya ni matokeo ya sisi wanaume, wengi wetu tumekuwa wanaume wa hovyo sana.
Tunasababisha matatizo wenyewe harafu tunaishia kulalamikia wanawake.
Hao single mother tunaowatukana kila siku walizalishana wenyewe kwa wenyewe?
Usikute hata mleta uzi ni wale wa kataa ndoa, unataka kumzalisha tu binti wa watu usepe umwachie malezi mwenyewe harafu uje kulalamika.
Mwanamke hawezi kulea mtoto wa kiume au hata wa kike lazima waharibike.Hawa wanawake sijui wana matatizo gani huku duniani, ukiwaza sana unaweza ukasema labda hawa wanawake ndio wapinga kristo wenyewe kabisa (wadada mnisamehe bure ila huu ndiyo ukweli).
Vijana wakiume wamelegea sana, wanarembua rembua macho, wanalamba lamba lipsi, mara wanajichubua chubua na hii nikutokana na malezi mabovu kutoka kwa hawa mama zao tokea wakiwa wadogo
Utakuta mdada ana kakijana kakiume amejaliwa vizuri tuu ila ana kaweka kikike kike, mtoto wa kiume unamvalisha nguo ya mamidoli midoli, mara makopa kopa sasa kama unataka nguo za mapicha picha kwanini usimvalishe nguo mapicha picha magumu magumu ya kiume ili azoee narangi nzito nzito unamvalisha hizi za mvuto wa kike kike.
Mwingine anaenda mbali zaidi ana mpaka mtoto wa kiume lipstick ile isiyo na rangi au mafuta mdomoni ukimuuliza anadai eti ana kuambia mdomo wa kijana wangu unakauka hivi kweli tutafika ndugu zangu
Nyie wanawake mtoto wa kiume ni wakumnunulia midoli kweli alafu ukiulizwa unadai amependa mdoli. Utasikia mimi mwanangu anapenda midoli, eti nyie wa dada kwanini msiige hata wazazi wetu walikua wakitununulia toy za bunduki, vigari , wengine tulichezea mabokoboko, maringi ya baiskeli na gololi
Mbaya zaidi inasikitisha sana , sijui ni uzungu au ni nini. Mtoto kafika darasa la nne bado mnagandana gandana , mara umkumbatie, mara umbusu, mara akulalie kwenye mapaja mkiwa sebuleni mbaya zaidi anaenda kuoga nyie kazi yenu ni kuchungulia chungulia tuu bafuni, ikifika usiku eti unaenda kulala nae room moja unasem mwanangu ni mwoga anaogopa mende na giza.
Na huko kwenye madaladala , bajaji bado tena mnawaganda. Yani unakuta kabisa kachalii kamebalehe kamepakatwa na mama yake au dada yake ni shida tupu kwa kweli.
Mwanamke unajiremba mbele ya mtoto wa kiume bado unalala nae, hapo hapo unampa mafuta ya kike atumie ananukia kikike kike unaona ni sahihi alafu akija kuwa bwabwa mnaanza kusema wanaume wameisha hii ni sawa kweli..
Hebu wanawake acheni huu ujinga wenu. Nyie dilini na hao mabinti zenu hawa watoto wa kiume mtuachie na kama ulitelekezewa hebu anapojitokeza mbaba kukemea tabia za kike kwa mtoto wako wa kiume hebu relax usimwambie azae wa kwake
Chanzo cha uharibifu wa watoto unaanzia kwa sisi wanaume hili suala la kuwapa mimba wanawake na kuzikataa unafikiri kizazi cha hao watoto wanaozaliwa na kuwakimbia kitakuwaje, haya yote yanasabishwa na sisi wanaume wenyewe. 1 Wakorintho 7:1 (SRUV): Basi kuhusu mambo yale mliyoandika, ni heri mwanamume asimguse mwanamke.Hawa wanawake sijui wana matatizo gani huku duniani, ukiwaza sana unaweza ukasema labda hawa wanawake ndio wapinga kristo wenyewe kabisa (wadada mnisamehe bure ila huu ndiyo ukweli).
Vijana wakiume wamelegea sana, wanarembua rembua macho, wanalamba lamba lipsi, mara wanajichubua chubua na hii nikutokana na malezi mabovu kutoka kwa hawa mama zao tokea wakiwa wadogo
Utakuta mdada ana kakijana kakiume amejaliwa vizuri tuu ila ana kaweka kikike kike, mtoto wa kiume unamvalisha nguo ya mamidoli midoli, mara makopa kopa sasa kama unataka nguo za mapicha picha kwanini usimvalishe nguo mapicha picha magumu magumu ya kiume ili azoee narangi nzito nzito unamvalisha hizi za mvuto wa kike kike.
Mwingine anaenda mbali zaidi ana mpaka mtoto wa kiume lipstick ile isiyo na rangi au mafuta mdomoni ukimuuliza anadai eti ana kuambia mdomo wa kijana wangu unakauka hivi kweli tutafika ndugu zangu
Nyie wanawake mtoto wa kiume ni wakumnunulia midoli kweli alafu ukiulizwa unadai amependa mdoli. Utasikia mimi mwanangu anapenda midoli, eti nyie wa dada kwanini msiige hata wazazi wetu walikua wakitununulia toy za bunduki, vigari , wengine tulichezea mabokoboko, maringi ya baiskeli na gololi
Mbaya zaidi inasikitisha sana , sijui ni uzungu au ni nini. Mtoto kafika darasa la nne bado mnagandana gandana , mara umkumbatie, mara umbusu, mara akulalie kwenye mapaja mkiwa sebuleni mbaya zaidi anaenda kuoga nyie kazi yenu ni kuchungulia chungulia tuu bafuni, ikifika usiku eti unaenda kulala nae room moja unasem mwanangu ni mwoga anaogopa mende na giza.
Na huko kwenye madaladala , bajaji bado tena mnawaganda. Yani unakuta kabisa kachalii kamebalehe kamepakatwa na mama yake au dada yake ni shida tupu kwa kweli.
Mwanamke unajiremba mbele ya mtoto wa kiume bado unalala nae, hapo hapo unampa mafuta ya kike atumie ananukia kikike kike unaona ni sahihi alafu akija kuwa bwabwa mnaanza kusema wanaume wameisha hii ni sawa kweli..
Hebu wanawake acheni huu ujinga wenu. Nyie dilini na hao mabinti zenu hawa watoto wa kiume mtuachie na kama ulitelekezewa hebu anapojitokeza mbaba kukemea tabia za kike kwa mtoto wako wa kiume hebu relax usimwambie azae wa kwake
Chunguza vijana waokataa mimba unakuta kuna msururu wa vijana wa 5 wote wameambiwa hiyo mimba moja niyao.Chanzo cha uharibifu wa watoto unaanzia kwa sisi wanaume hili suala la kuwapa mimba wanawake na kuzikataa unafikiri kizazi cha hao watoto wanaozaliwa na kuwakimbia kitakuwaje, haya yote yanasabishwa na sisi wanaume wenyewe. 1 Wakorintho 7:1 (SRUV): Basi kuhusu mambo yale mliyoandika, ni heri mwanamume asimguse mwanamke.
Mwanaume halalamiki rekebisha kwanza kauli yako ndugu yanguHaya ni matokeo ya sisi wanaume, wengi wetu tumekuwa wanaume wa hovyo sana.
Tunasababisha matatizo wenyewe harafu tunaishia kulalamikia wanawake.
Hao single mother tunaowatukana kila siku walizalishana wenyewe kwa wenyewe?
Usikute hata mleta uzi ni wale wa kataa ndoa, unataka kumzalisha tu binti wa watu usepe umwachie malezi mwenyewe harafu uje kulalamika.
HUMKOMOI MWANAUME ULIYEZAA NAE KWA KULEA MTOTO WAKO WA KIUME KIKE KIKENakuelewa! ILA
Wimbi la mzazi upande mmoja linazidi kuongezeka kwa kuwa na wanaume hamtizimi wajibu wenu wa malezi.
Huyu dada maskini wapi anajua Wanaume wanalelewaje, anajikuta tu anapaki lipshine mwanae akiamini ndo mapenzi!
Wewe unayejua Unamume HAUPO!
Hata wanaoshi na watoto wao ni absent fathers, nani atafundisha watoto wenu wa kiume kuwa wanaume?
Watoto hujifunza kwa kuona matendo, wapi nyie mnaojua UANAMUME mnadisplay huo uanamume?
MTOTO ANAJIFUNZA ANACHOKIONA!
inahitaji busara na ufahamu wa tofauti sana wa mama anayeelwa tofauti ya malezi ya mtoto wa kike na wa kiume!
WANAUME MSIPOCHUKUA HATUA ZA DHATI KABISA KUONESHA MWANAUME ANAPASWA KUWAJE!
aiseeeeh msiwalaumu hawa wanawake mnaozaa nao wakiwapakia lipstick watoto wenu!
thats the best way anajiona anapendeza, anaamini na mwanae anatakiwa kupendeza hivyo!
Hebu hata kama umeachana na mamake! BE THERE for your son!
hata mamake ni mwehu, wewe USIACHE KUWA BABA KWA MTOTO WAKO!
hali ni tete!
Rai kwa kina mama
HUMKOMOI MWANAUME ULIYEZAA NAE KWA KULEA MTOTO WAKO WA KIUME KIKE.
malezi ya kiyai yai sio kumpenda mtoto!
Mwanaume ajue tu maisha ni magumu, kutafuta ni kutafuta kwa jasho, chakula hakitupwi wala hakichaguliwi, mwanaume ni kuwajibika, mwanaume ni kulinda, mwanaume ni kuprovide, mwanaume ni kuongoza. Hizi ni vitu unapaswa kumjaza mtoto wako wa kiume mapema kabisa!
Mwanaume kama ni mlinzi atatamani kujifunza ulinzi, kama mwanaume ni kutafuta ili familia ile, atajikuta hana muda wa kujiremba remba afanane na Hanna Montana!
Acha kusihi matamanio yako ya kuwa na mtoto wa kike kwa kumvalisha mtoto wako wa kiume traits za kike!
HATA KAMA UMEACHANA NA BABAKE, aseeee usiache kumkumbusha mwanao wa kiume yeye ni MWANAMUME!
Kuna kaka yako mahali, rafiki yako and stuff! hebu hakikisha huyo mtoto ana Male figure anayoitazama.
idolize hata kuhusu BABU YAKE!
msimulie nyakati baba yako alikuwa brave, msimulie kuhusu mjomba wako alivyokulipia ada!
Hupotezi kitu KUISHI NA MWANAO AKITAMBUA NAFASI YA UBABA hata kama BABA hayupo!
narudia
HUMKOMOI EX WAKO KWA KUMUONDOLEA MWANAO DHANA YA UBABA KICHWANI, tumia hata picha za wanaume mashujaa, tumia masimulizi, tumia hadithi.
Pengine ndo baba hana time, aseee tumia hata mawe, kuwe na jiwe dume na jike.
mradi mwanao ASIJIKUTE MAHALI PA KUONA KUWA WA KIKE NDIO SAHIHI na alikosewa kuwa wa kiume!
Wanawake mmekuwa malaya sana.Hivi kwanini hampendi kujadili mizizi ya matatizo? Kama mwanamke hawezi lea mtoto wa kiume then nini kifanyike.
Mnalaumu victims.
Btw, Tz kwa kiasi kikubwa toka miaka ya late 80 na kuendelea familia nyingi zimelelewa na wanawake, kuhusu wanaume walikuwa wapi, ndio tujadili hapa.
Ohh kumbe mmesusa? Basi mtulie watoto wenu walelewe kwa namna waonavyo hao wanawake zenu. Kwani kuna mahali mnaathirika?Wanawake mmekuwa malaya sana.
Once mwanamke akitombesha kwa mwanamme mwingine, mwanamme wake hawezi mrudia huyo mwanamke katu na huwa tunasusa kila kitu chake hadi watoto.
Kama mmesusa kwanini mnalalamika kama hivi? Mpo sawa upstairs?Wanawake mmekuwa malaya sana.
Once mwanamke akitombesha kwa mwanamme mwingine, mwanamme wake hawezi mrudia huyo mwanamke katu na huwa tunasusa kila kitu chake hadi watoto.