Wanawake mngejua...

Wanawake mngejua...

Wanaume wengi waliooa wangependa kurudia tena kuoa, ila kifaa kipya chenye mvuto. Ndivyo ilivyo kutokana na mazungumzo mengi ninayokutana nayo. Hili linanifanya nivute subira kwanza kuangaza macho zaidi. Ndipo ninaporudia kauli yangu kuwa uislam uliona mbali kuruhusu mitala.


Ndege wa aina moja huruka kwa bawa moja. Huo ni mtizamo wako na hao rafiki zako. Elewa kuwa kuoa ni zaidi ya hivyo unavyofikiria ... yaani vipusa. Na unapoelekea katika hatua hiyo anza kubaldilisha mtizamo kutoka huo mlionao kwenda kwenye maisha halisi. Vinginevyo utaoa wanawake wote duniani
 
...and when she is angered, what does she do? sing?
well,
she doesnt get to that easily! She is better that I. We normally talk in advance! There is no loop hole!
 
Na imani huwezi toa wewe wapo watakao toa wenye mioyo safi.
why are you reacting this way? what wrong have I done to deserve all this? anyway, kuvuja kwa pakacha ni nafuu ya mchukuzi!

Naona unanirushia stimu! Bora nitokomee sasa! You've pissed me off! Kha!
 
why are you reacting this way? what wrong have I done to deserve all this? anyway, kuvuja kwa pakacha ni nafuu ya mchukuzi!

Naona unanirushia stimu! Bora nitokomee sasa! You've pissed me off! Kha!

Naona bora ujipotezee na familia mm naendelea kula vitu hapa taratiiiiiiibu.
 
Pape your so great, ubarikiwe sana.unaonekana ni mwenye hekima na busara, laiti ungewagawia wote basi tungefika mbali sana. "Mume wangu ananipenda sana" hao wanaotoka nje na kudai wake zao wabaya basi ni wao ndo wanawafuja.mtengeneze mkeo, hawaogopi ukimwi? hata hao wenye wake wengi bado hawaridhiki nao pia.
 
Pape your so great, ubarikiwe sana.unaonekana ni mwenye hekima na busara, laiti ungewagawia wote basi tungefika mbali sana. "Mume wangu ananipenda sana" hao wanaotoka nje na kudai wake zao wabaya basi ni wao ndo wanawafuja.mtengeneze mkeo, hawaogopi ukimwi? hata hao wenye wake wengi bado hawaridhiki nao pia.
its nice to hear from you! keep it up!
 
bila tamaa huwezi kupenda, sema tu isipitilize
Wapo watu wanaopenda bila tamaa! Kuna watu wanajua kupenda Kingi usifanye mchezo! Zishinde tamaa zako! Ukiweka tambaa mbele basi ukionja tu utakula kona!
 
Ndege wa aina moja huruka kwa bawa moja. Huo ni mtizamo wako na hao rafiki zako. Elewa kuwa kuoa ni zaidi ya hivyo unavyofikiria ... yaani vipusa. Na unapoelekea katika hatua hiyo anza kubaldilisha mtizamo kutoka huo mlionao kwenda kwenye maisha halisi. Vinginevyo utaoa wanawake wote duniani

iam not alone in this. We are legion
 
Back
Top Bottom