Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kungwi hana kisomo, bali ana ubabaishaji mwingi.Makungwi nao wanaharibu wanawake, wanawashauri watie vidole kujusafisha, kumbe wanawapoteza.
Huyo mwanamke mchafu na anatetea uchafu wake. Hana lolote analojuwaHabari zenu,
Kuna wanawake wanajisafisha sehemu za siri kila siku kama mtu anavyopiga mswaki meno yake.
HUU NI UJUMBE WAO TOKA KWA DAKTARI, "Mwanamke Anaejisafisha kila siku kwenye sehemu ya uke ya ndani hiyo ni tabia ambayo si nzuri maana inafanya ile sehemu viji-bacteria vilivyoumbiwa kuwepo pale kuondoka kwahiyo ile sehemu inabaki kama ni lindo ambalo halina walinzi kwahiyo vijidudu vya bacteria na maadui wanaingia muda wowote na wanajinafasi kwa sababu hakuna ulinzi. Wanawake wengi wanapata UTI Sugu sababu kubwa nyingine ni hiyo" Dr Ikrah Abdallah, Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Wanawake na Uzazi, Hospital ya Rufaa ya Mkoa Wa Temeke.
USHAURI - WANAWAKE ACHENI KUJISAFISHA SANA, UKIACHANA NA DOKTA KUNA KIHARUFU AMAIZING HUWA MNAKITOA PIA.
Source - Cloudfm
Natamani kujua kama kuna perfume yenye hako ka harufuz😅😅😇😅Habari zenu,
Kuna wanawake wanajisafisha sehemu za siri kila siku kama mtu anavyopiga mswaki meno yake.
HUU NI UJUMBE WAO TOKA KWA DAKTARI, "Mwanamke Anaejisafisha kila siku kwenye sehemu ya uke ya ndani hiyo ni tabia ambayo si nzuri maana inafanya ile sehemu viji-bacteria vilivyoumbiwa kuwepo pale kuondoka kwahiyo ile sehemu inabaki kama ni lindo ambalo halina walinzi kwahiyo vijidudu vya bacteria na maadui wanaingia muda wowote na wanajinafasi kwa sababu hakuna ulinzi. Wanawake wengi wanapata UTI Sugu sababu kubwa nyingine ni hiyo" Dr Ikrah Abdallah, Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Wanawake na Uzazi, Hospital ya Rufaa ya Mkoa Wa Temeke.
USHAURI - WANAWAKE ACHENI KUJISAFISHA SANA, UKIACHANA NA DOKTA KUNA KIHARUFU AMAIZING HUWA MNAKITOA PIA.
Source - Cloudfm
Siyo kweli. Waacheni wanawake wasafishe uchi zao. Wakiacha watanuka. Kwenye uke huwa ni kubichi muda wote. Kuacha bila usafi kunasababisha kuzalisha bacteria, fungus nk. Matokeo yake ataishia kuwa na shombo. So tu nashauri kila anapooga asafishe vizuri kwa sabuni ile anayoogea. **** ni kama mdomo. Usipo sugua mdomo na miswaki na dawa ya meno mdomo utanuka. Hata uke uko hivyo usipo safisha kutanuka na mwisho utakimbiwa na wanaume. Lakini wakatili wa kitiana utakuwa unatoka uchafu mwingi ambao unanuka na mwisho mwishoni steam ya sex inapoteaHabari zenu,
Kuna wanawake wanajisafisha sehemu za siri kila siku kama mtu anavyopiga mswaki meno yake.
HUU NI UJUMBE WAO TOKA KWA DAKTARI, "Mwanamke Anaejisafisha kila siku kwenye sehemu ya uke ya ndani hiyo ni tabia ambayo si nzuri maana inafanya ile sehemu viji-bacteria vilivyoumbiwa kuwepo pale kuondoka kwahiyo ile sehemu inabaki kama ni lindo ambalo halina walinzi kwahiyo vijidudu vya bacteria na maadui wanaingia muda wowote na wanajinafasi kwa sababu hakuna ulinzi. Wanawake wengi wanapata UTI Sugu sababu kubwa nyingine ni hiyo" Dr Ikrah Abdallah, Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Wanawake na Uzazi, Hospital ya Rufaa ya Mkoa Wa Temeke.
USHAURI - WANAWAKE ACHENI KUJISAFISHA SANA, UKIACHANA NA DOKTA KUNA KIHARUFU AMAIZING HUWA MNAKITOA PIA.
Source - Cloudfm