Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Habari!
Wanawake sasa naona mnajisahau sana kwenye swala zima la kutunza miili yenu.
Msishtuke nitaongelea kitu kidogo tu, wanawake upande wa kuwa na matumbo/Vitambi ambayo yanaleta shida moja kwa moja kwenye muonekano wenu.
Sasa tuviite ni vitambi au viliba tumbo maana mmevikubali na wengine wanavitafuta kwa kasi kwa lifestyle wanayoishi.
Inasikitisha zaidi unakutana na mwanamke jinsi alivyojibana na tumbo lake ila ukimtazama inathibitika kabisa ni uzembe wake binafsi umeleta tumbo/kiambi chake.
Ushauri Kwenu.
✓ Lifestyle yako binafsi angalia mara mbili mbili unaishi vipi.
✓Vyakula unavyopendelea kutumia usipende kula kula sababu unapenda kula + Vinywaji pia.
✓ Mazoezi, sasa hapa wengi najua ni wana uvivu ila kama unapenda hakikisha hata kwa week mara moja.
✓Ukishindwa kabisa basi zingatia hapo juu kwenye vyakula utumiavyo.
✓ Wale ambao tayari ndio hivyo tumbo lipo pale pale basi zingatieni hata nguo mnazovaa msijibane na kujifinya kiasi hichi hadi tunawaonea huruma.
Wanawake sasa naona mnajisahau sana kwenye swala zima la kutunza miili yenu.
Msishtuke nitaongelea kitu kidogo tu, wanawake upande wa kuwa na matumbo/Vitambi ambayo yanaleta shida moja kwa moja kwenye muonekano wenu.
Sasa tuviite ni vitambi au viliba tumbo maana mmevikubali na wengine wanavitafuta kwa kasi kwa lifestyle wanayoishi.
Inasikitisha zaidi unakutana na mwanamke jinsi alivyojibana na tumbo lake ila ukimtazama inathibitika kabisa ni uzembe wake binafsi umeleta tumbo/kiambi chake.
Ushauri Kwenu.
✓ Lifestyle yako binafsi angalia mara mbili mbili unaishi vipi.
✓Vyakula unavyopendelea kutumia usipende kula kula sababu unapenda kula + Vinywaji pia.
✓ Mazoezi, sasa hapa wengi najua ni wana uvivu ila kama unapenda hakikisha hata kwa week mara moja.
✓Ukishindwa kabisa basi zingatia hapo juu kwenye vyakula utumiavyo.
✓ Wale ambao tayari ndio hivyo tumbo lipo pale pale basi zingatieni hata nguo mnazovaa msijibane na kujifinya kiasi hichi hadi tunawaonea huruma.