Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchapwe viboko[emoji1787]Na sisi wanaume yunaonyanyaswa tufanyeje?
Mkuu nenda ustawi wa jamii ila sharti usihudhurie kikao chetu mwisho wa mwaka[emoji41]Na sisi wanaume tunaonyanyaswa na kunyanyasika kiuchumi na kiunyumba tufanyeje?
YeeeeMchapwe viboko[emoji1787]
Sio ndoa tu...chochote utakachokifanya hapa duniani ili watu waone ujue umeumia!Kwakweli..na ifike wakati wanandoa waache kuishi kwa kuipendeza jamii..r.i.p
Kuna kitu hukielewi sawasawa, wanaume ndio wanaongoza kunyanyaswa ila wanavumilia na wanaona aibu kusema jambo hili.Maisha yako ni bora sana kuliko ndoa.
Watoto watakua tu.
Ukiona dalili hatarishi chukua hatua haraka kwani hakuna spea za uhai wako.
REST IN PEACE MAMA WA EKUWEMEE!
Akili kichwan kwa muhusika.Ila wazazi, walezi, wasimamizi wa ndoa, wazee wa kanisa na wachungaji waache habari ya kumwambia mtu VUMILIA.. mtu anateseka anarudi kwao mzazi anaaanza habari ooh vumilia mwanangu ndoa ndo zilivyo mara ukirudi itakua aibu kwa familia, we nenda tu muombee muoe na sisi tunakuombea atabadilika
Hao ndo wanasababisha watu kuogopa kutoka katika ndoa zenye mateso
NdiyooooooooohSio ndoa tu...chochote utakachokifanya hapa duniani ili watu waone ujue umeumia!
Ishi maisha yako mtu utaenjooooooy