Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Uugue ww dawa ninywe mim.Tatizo la nguvu za kiume linamadhara kwa wanawake kuliko wanaume. Ni kama upungufu wa mafuta una madhara kwa wenye magari siyo wenye sheli. Tendo la ndoa ni kama chakula jinsi unavyokuwa na tumbo dogo ndipo unavyowahi kushiba shida inakuja kwa mwenye tumbo kubwa wakati chakula ni kidogo
MAWEED kweli wewe ni maweedMe kuna mwanamke alisema sijamfikisha,nkamwambia nmechoka akaanza kunilazimisha....
Nikamwambia akae staili ya missionali halafu me nikaingia kwa mpalange ...nilipigwa na ile skonkinko ya ubavu,sitakuja sahau
Mahindi yanaposhambuliwa na wadudu. Anayeteseka ni mahindi ama mla mahindi? Kwa nini tunanunua viuadudu kwa nafaka wakati madhara yako kwa nafaka zenyewe na siyo kwetu?[emoji23][emoji23][emoji23]Uugue ww dawa ninywe mim.
Mahindi ni binadamu?Mahindi yanaposhambuliwa na wadudu. Anayeteseka ni mahindi ama mla mahindi? Kwa nini tunanunua viuadudu kwa nafaka wakati madhara yako kwa nafaka zenyewe na siyo kwetu?