Wanawake Msitupe Jukumu ambalo hata ninyi hamfanyi. Kila mtu ajiridhishe mwenyewe

Wanawake Msitupe Jukumu ambalo hata ninyi hamfanyi. Kila mtu ajiridhishe mwenyewe

Shida watu wanatembea na mtu ambaye hauna Chemistry naye. Kakufata sababu ya Hela hivyo Hana hisia na wewe. Ukifanikiwa kumpata Mwanamke anayekupenda kileleni hamna Shida.
 
Tatizo la nguvu za kiume linamadhara kwa wanawake kuliko wanaume. Ni kama upungufu wa mafuta una madhara kwa wenye magari siyo wenye sheli. Tendo la ndoa ni kama chakula jinsi unavyokuwa na tumbo dogo ndipo unavyowahi kushiba shida inakuja kwa mwenye tumbo kubwa wakati chakula ni kidogo
😂😂😂Uugue ww dawa ninywe mim.
 
Me kuna mwanamke alisema sijamfikisha,nkamwambia nmechoka akaanza kunilazimisha....

Nikamwambia akae staili ya missionali halafu me nikaingia kwa mpalange ...nilipigwa na ile skonkinko ya ubavu,sitakuja sahau
MAWEED kweli wewe ni maweed
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Uugue ww dawa ninywe mim.
Mahindi yanaposhambuliwa na wadudu. Anayeteseka ni mahindi ama mla mahindi? Kwa nini tunanunua viuadudu kwa nafaka wakati madhara yako kwa nafaka zenyewe na siyo kwetu?
 
Back
Top Bottom