Wanawake mtatuua kwa kibondo....kha!

Wanawake mtatuua kwa kibondo....kha!

unafikiri pale mjengoni jinsi walivyo 50/50 kama ikitokea varangati nani watadundwa?he or she?then toa na sababu.
 
Hivi kwa nn upigwe na mkeo, haiwezekan mtu kumpiga mwenzie bila sbb yoyote na percent kubwa ya wanaume wanaopigwa ni wale wanaoshindwa kutimiza majukumu yao kwenye familia zao unakuta kutwa nzima anashinda bar nyumban hapeleki matumizi wala hawapati huduma yeyote toka kwa baba akirudi home ndo anarudi home kuwapa karaha na mateso watoto na mkewe na wenyewe ndo wanaamua wampe kipondo walau heshima iwepo
 
Kuna mmoja nataka kumbonda ila namuogopa
Ananitia hasira za makusudi sana, I can't take it anymore!
 
Kuna mmoja nataka kumbonda ila namuogopa
Ananitia hasira za makusudi sana, I can't take it anymore!

Nani tena au kibabu chako maana vibabu ndio vinaongozwa kupigwa na wake zao
 
Aisee wanawake Wakenya ni Watemi mbaya, mimi nafanya nao kazi hapa Dar, halafu hawatongozeki, unaweza kujikuta unamwaga sera mzee, lakini mrembo kakukazia macho wala harembui matokeo yake unaona aibu wewe.............. kaazi kweli kweli................
Mzee mwenzangu Bishanga ukisoma hii maneno delete haraka kabla wale wanangu wakuda Cantalisa na mwenzie hawajaona......LOL
 
Aisee wanawake Wakenya ni Watemi mbaya, mimi nafanya nao kazi hapa Dar, halafu hawatongozeki, unaweza kujikuta unamwaga sera mzee, lakini mrembo kakukazia macho wala harembui matokeo yake unaona aibu wewe.............. kaazi kweli kweli................
Mzee mwenzangu Bishanga ukisoma hii maneno delete haraka kabla wale wanangu wakuda Cantalisa na mwenzie hawajaona......LOL

Ngoja niiquote kabla hujaidelete
 
Aisee wanawake Wakenya ni Watemi mbaya, mimi nafanya nao kazi hapa Dar, halafu hawatongozeki, unaweza kujikuta unamwaga sera mzee, lakini mrembo kakukazia macho wala harembui matokeo yake unaona aibu wewe.............. kaazi kweli kweli................
Mzee mwenzangu Bishanga ukisoma hii maneno delete haraka kabla wale wanangu wakuda Cantalisa na mwenzie hawajaona......LOL
Khaaaaaaaaaaa!
Ndio maaaaaanaaaa!!
 
AF hivi unadhani masikhara? Wanawake wanatutandika kweli kweli,halafu usiombe kupigwa na mwanamke,hawana hata chembe ya huruma,ni boom boom kwa kwenda mbele utadhani anachanja kuni.
Bishanga hata ww huwa unapigwa ?!!
 
AF hivi unadhani masikhara? Wanawake wanatutandika kweli kweli,halafu usiombe kupigwa na mwanamke,hawana hata chembe ya huruma,ni boom boom kwa kwenda mbele utadhani anachanja kuni.

Mwiko, sufuria, makofi, meno, mateke, stuli chochote kitakachokuwepo karibu natwanga nacho. safi sana nimewapenda wakenya kwa staili hii mpya ya 2012. bravooo wanawake wote.
 
Kupigwa kwa wanaume mie nafiki kwa sana
kwani wengi wao ni majeuri na wanamaji gambo
sababu tu ni wamaume hawajui kua pia wapo wanawake wenyenguvu
kuzidi wao nazungungumza na kiongozi wa Kenya atuazime hao wamama waje tanzania siku tatu
tu wanaumw wote wa tz watashika adabu hasa wale wenye kuburi.
 
Pole Bishanga .. I know this is very serious matter .. No jokes about it..
 
Si wakenya tu, mimi pia nimeanza kuchukua mazoezi ya KungFu incase....
 
One thing i have discovered tokana na majority ya comments kwenye uzi huu (99%),kumbe mke kumpiga mme ni haki kabisa na mme kumpiga mke ni uonevu,ama kweli mkuki kwa nguruwe. Sina jinsi ninalog off,ngoja nitafute pengine pa kukimbilia.
 
wanawake wanatudundaje! kufa hatufi ila chamoto tunakiona
 
Husband Battery facts

SubscribeUnsubscribe

























pixel-vfl3z5WfW.gif
You need Adobe Flash Player to watch this video.
Download it from Adobe.


1,318views
LikeFlag

Loading...
Uploaded by standardgroupkenya on Feb 13, 2012

Hebu jaribuni kuangalia kwa hiyo kama itaonekana mnambie computer yangu ipo autidetedi naona but me naweza ona hapa..Feed bacl is highly appreciated.

DA
 
Dena, ka nokia tochi kangu hakaoni ndani dear!
 
Back
Top Bottom