Wanawake, muda gani huwa unachukua kufika kileleni?

Wanawake, muda gani huwa unachukua kufika kileleni?

nje ya izo sababu za kitaalamu unaweza jifunza kitu cha ziada, africa wanawake wetu ni wanapitiwa na wanaume wengi katika maisha yao, kitu kinachoathiri chemistry yao!
Tangu lini malaya akafika kileleni..., tuna safari ndefu bado, na ndo mana tatizo la nguvu za kiume linaonekana kubwa sana huku kwetu.
vitabu vitakatifu vilikuwa na maana sana kusisitiza mwanamke kufahamiana na mwanaume mmoja tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaaani... Washaota sugu.

Sent from my Nokia 6 using Jamii Forums mobile app
 
Mijanamke ya kiafrika haitabiriki asee.....unakuta jitu limekeketwa au kufanyiwa vitendo vingi tu vya kikatili hata kubakwa unategemea afike kileleni ndani ya dakika 15?

Mengine kwa siku yanaingiliwa na wanaume 3-10 n.k unategemea malaya kama huyu afike kileleni?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake wanatofautiana sana ila mwisho wa yote kinachowafikisha kilele mapema ni maandalizi na hili sehemu kubwa linatakiwa lifanywe na mwanaume ambaye ndo steling.Sasa sisi waafrika wakiume ikishasimama tunachojua nikupanda tu nakuilazimisha iingie sasa kwa hali hiyo wataridhika vip.Tatizo na wao wameshazoea hiyo hali yakupandwa bila maandalizi ndo maana wanaona sawa tu ata kama hawaridhiki na sisi kwa akili zetu tunadhani kukesha kifuani ndo kuwaridhisha ndo maana wengine tunawanywia madawa kumbe tunajiumiza wenyewe.Mwanamke mtamu ni yule uliyemuandaa vyakutosha hadi wewe mwenyewe unaona sasa kaiva vizuri anafaa kuliwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimechukua msamiati hapa;
- Kupandwa na Kupanda...

Hahaha, yaani kama ng'ombe dume anavyompanda jike.

Binafsi simpandi mke wangu, nafanya nae mapenzi, tunatimiliza upendo wetu kwa kufanya mapenzi. Hatupandani, i'm not a bull[emoji23]
 
Mimi kwa waafrika zidisha hizo dakika mara tatu mpaka nne siku nyingine lakini zisipungue dk 30 kwa round moja

Fanyeni mazoezi kuleni vizuri zama hizi nguvu za kiume ni dhoruba barani Africa msitake kujilinganisha na wazungu mbona babu zenu walikuwa wanakimbiwa na wake zao

Siku hizi imekuwa kinyume wanaume ndo mnakimbia wanawake loh aibuuuuuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake mnatupa kazi kubwa saana. Dakika 30 ni nyingi punguzeni mama.

Hamwoni wenzenu wa Asia hawataki longolongo dakika mbili wapo everest?
 
Nimemaliza kusoma maoni ya wadau.

Yaliyomo.

-wadau wa kiume wanalalamika dada zao hawafiki kileleni huku kila jinsia ikitupiana lawama kuwa ndiyo chanzo. Kiufupi kuna gender war hapa.

-wakati mwingine kuna wadau wanaonekana kuogeuza mada hii kama uwanja wa kuyongozea.

-mwisho kabisa suluhisho halijapatikana labda tutaraju uzi mwingine tatizo litatatuka. Dakika ni zile zile za kufika kileleni kwa dada zetu.
 
Nimekuelewa sana dada yangu na natamani wanaume wajifunze kupitia hili andiko, usafi katika mapenzi ni kitu cha muhimu sana. Siku nikipata muda nitaleta andiko ili wanaume wajifunze. Happy new year.

Sent using Jamii Forums mobile app
Faiza yupo sawa. Lkn mkumbuke pia hata wanaume huwa tunavunjwa nguvu za kiume tukikutana na mwanamke mchawi!! Mimi binafsi mwanamke mchafu is a big turnoff kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaa waTZ wengi tuna Vibamia(4"-5") wachache sana wana MANDINGO(6"-8").

Ni kweli Cha kwanza mara nyingi ni katika ya dkk 1 hadi 5 ikienda nje ya hapo basi mwanamme atakuwa ana matatizo.....Baada ya hapo lazima vyuma grease iishe 😀😀😀😀😀.
Zamani nilikuwa nakubaliana na hii hypothesis yako ya "cha kwanza lazma kije fasta". Baadae nikaamua kubadili mtazamo. I can assure you, inawezekana pia cha kwanza kukizuia kikaja baada ya dk 15+

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Out of curiosity: wewe na Smart mmekutana nje ya JF na kuwa na mahusiano ama mmeanzia hapa? Au hapa JF huwa ni chitchat tu halafu kila mmoja anapiga nyeetoo?

Sent using Jamii Forums mobile app
utakua mgeni humu?? anyway we met here in jf badae tukafanikiwa kuonana nje ya jf na mungu yu upande wetu mpaka sasa haya say aimmeeeennnnn.....,...



cc Smart911
 
Mimi kwa waafrika zidisha hizo dakika mara tatu mpaka nne siku nyingine lakini zisipungue dk 30 kwa round moja

Fanyeni mazoezi kuleni vizuri zama hizi nguvu za kiume ni dhoruba barani Africa msitake kujilinganisha na wazungu mbona babu zenu walikuwa wanakimbiwa na wake zao

Siku hizi imekuwa kinyume wanaume ndo mnakimbia wanawake loh aibuuuuuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Na ndio maana wanawake wengi wa kabila lenu hamridhiki na boro 1,wenyewe mmezoea kuto *×2.

5/5.
 
Back
Top Bottom