orturoo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 2,947
- 4,876
e e ehuwii!Ukinipa pesa tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
e e ehuwii!Ukinipa pesa tu.
Ndio hivyo.e e ehuwii!
comment yako imenifkisha kilele niNdio hivyo.
Kiko Chuo Mlimani pale. Kama unataka msaada naweza kukusaidia kukufikisha...sharing is caringivi dar kuna kilelel, kiko wapi nami niweze kufika kileleni
Nusu saa mbona ndogo sana?Inategemea na urefu wa kilele. Kwa mfano kilele cha Kilimanjaro naweza chukua siku 3-4 ila vilele vya kawaida nusu saa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikua naongelea mlima sio kunyanduanaNusu saa mbona ndogo sana?
Ooh ok poa, vp kuhusu kunyanduana unachukua muda gani kufika kibo?
duuh dada Faiza kumbe na we umo?!?, THANX FOR THE VERY GOOD COMMENT!! nimejifunza kituAfrika wengi wasiokuwa na mafunzo sahihi wanapanda bila matayarisho.
Sexuality ni matayarisho kabla ya kupandana, kupandana ni kufikia tu kikomo.
Maandalizi ya mambo (sexuality) huwa ni mfumo wa maisha, raha jipe mwenyewe, toka usafi wa unapoamka mpaka unavyoishi, unavyokula, namna ya kufikiri na mpaka shughuli unazofanya kila siku.
Kwa jinsi tunavyosoma "comments" za wengi kuhusu "sex" ya Ki Afrika, hususan Tanzania, tunaona kuwa uanamme wa mtu anaupima kwa muda gani ataweza kuhimili kumtesa mwanamke kitandani. Kila muda unavyokuwa mrefu kwake ndiyo uanamme.
Kwa mwanamke hayo ni mateso. Muda mrefu anaotakiwa kuchukua mwanamme ni kuandaa mazingira na kuandaa "sexual feelings" kwa wote na si kudumu aki pump kama hana akili vizuri.
Waswahili, mila zetu ni maandalizi ya muda mrefu kuwa sexual, kuanzia mavazi, manukato, usafi, vyakula mpaka namna utavyoongea, bedroom (venue) imetayarishwaje, maongezi ya kabla na baada na mambo mengi madogo madogo ambayo hayaelezeki.
Jamii nyingi (majority) za Kafrika mwanamke anakuwa ni mtumwa, hiyo "sexuality" ataijenga saa ngapi.
Jitu linanuka shombo ya nyama choma, domo limechacha mipombe ya kutwa nzima, jasho la ma barmaid limemganda kwenye nguo, akiingia nyumbani kwake ananuka sigara, pombe, jasho lake, jasho la ma barmaid mchanganyiko, akivua viatu soksi zinanuka uvundo. Akivua nguo rangi ya mwili imebadilika na kupauka kwa fangasi za uchafu. Huyo hata dakika elfu kumi hamfikishi mwanamke kileleni labda wawe hali kadhalika. Kinyaa.
Nyege ni kunyegezana.
Utaangaika kunyegeza mwanamke ambae unajua fika mfano, brother k amepitamo, sharobaro wa kihaya amepitamo, okechi amepitamo, sijui nani wa futuhi amepitamo?Afrika wengi wasiokuwa na mafunzo sahihi wanapanda bila matayarisho.
Sexuality ni matayarisho kabla ya kupandana, kupandana ni kufikia tu kikomo.
Maandalizi ya mambo (sexuality) huwa ni mfumo wa maisha, raha jipe mwenyewe, toka usafi wa unapoamka mpaka unavyoishi, unavyokula, namna ya kufikiri na mpaka shughuli unazofanya kila siku.
Kwa jinsi tunavyosoma "comments" za wengi kuhusu "sex" ya Ki Afrika, hususan Tanzania, tunaona kuwa uanamme wa mtu anaupima kwa muda gani ataweza kuhimili kumtesa mwanamke kitandani. Kila muda unavyokuwa mrefu kwake ndiyo uanamme.
Kwa mwanamke hayo ni mateso. Muda mrefu anaotakiwa kuchukua mwanamme ni kuandaa mazingira na kuandaa "sexual feelings" kwa wote na si kudumu aki pump kama hana akili vizuri.
Waswahili, mila zetu ni maandalizi ya muda mrefu kuwa sexual, kuanzia mavazi, manukato, usafi, vyakula mpaka namna utavyoongea, bedroom (venue) imetayarishwaje, maongezi ya kabla na baada na mambo mengi madogo madogo ambayo hayaelezeki.
Jamii nyingi (majority) za Kafrika mwanamke anakuwa ni mtumwa, hiyo "sexuality" ataijenga saa ngapi.
Jitu linanuka shombo ya nyama choma, domo limechacha mipombe ya kutwa nzima, jasho la ma barmaid limemganda kwenye nguo, akiingia nyumbani kwake ananuka sigara, pombe, jasho lake, jasho la ma barmaid mchanganyiko, akivua viatu soksi zinanuka uvundo. Akivua nguo rangi ya mwili imebadilika na kupauka kwa fangasi za uchafu. Huyo hata dakika elfu kumi hamfikishi mwanamke kileleni labda wawe hali kadhalika. Kinyaa.
Nyege ni kunyegezana.
Akili zenu kwenye uzinzi na uasherati tu. Laana hiyo.Utaangaika kunyegeza mwanamke ambae unajua fika mfano, brother k amepitamo, sharobaro wa kihaya amepitamo, okechi amepitamo, sijui nani wa futuhi amepitamo?
Yote hayo ni kujiangaisha?
Kula mzigo tembea na nyingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea point sana mkuu vijana wajitahidi tu hakuna namnaNadhan zaid nashukuru mi huwa siwahi kukojoa goli la kwanza linaweza kuchukua had dakika 30-40 kutegemea na mood na aina ya demu niko naye ila madem wengi wanaofika kileleln ka kugegedwa lazima uchukue had dakika 20 na tena sio kila style itamfanya afike kila dem anasehem yake na style yake ambayo akikunwa vizuri ndio anafika akama yupo comftable na wewe anaeza kukuambia wapi panamkuna au wewe uwe mdadisi....lakin pia usikariri madem wapo tofauti mwingine ukichezea tu kisim chake kwa muda anafika kilelen, mwingine hata maziwa tu na kitovu anafika lazima uwe mtundu ujue akiguswa wapi anapagawa...lakin pia utundu wako utaweza kumfanya awahi kifika au achelewe itategemea na ulivyo muandaa na hiyo dem nae ana hisia za karibu ama la,wanawake.wapo tofauti na sio suala la eneo....na kubwa zaid huyo dem ana kufeel anafanya kwa mapenz yake usitegemee unamlazimisha demu,au anakuhonga uchi ili apate kitu flan kama rushwa yaan ili pate kaz au hela akawa na hisia na wewe hafiki kilelen ng'o ata ku actia tu lakin hamna kitu.!..tendo linabebea na hisia zaid kwa mwanamke na kwa mwanaume linabebwa na vitendo zaid.!
NB:hayo fanya na demu wako au mkeo ila kama wa kupita wa twanga kojoa lala usijiumize mengine ni sugu hata uingize miguu..!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Hata mademu pia hawajielewi. Unakuta demu ameitwa na mshikaji ambaye yupo km30 toka eneo analoishi demu. Sasa demu anapanda bodaboda, ama daladala, jua Kali hatari.
Anafika kwa mshikaji make-ups na jasho vimechanganyikana kutengeneza uvundo was ajabu. Nyapu imejawa jasho mpk imetengeneza kitu kama usaha, harufu mbaya.
Kifuani kumechacha na sindiria akiivua mbu wanakufa kwa harufu. Hapo siongelei kufuli, maana linaweza kumfanya mwanaume azimie kabisa.
Sasa ndugu, ktk mazingira kama haya unaanzaje kumuandaa? Unaweza kucheza na harufu ya jalala kwa muda mrefu? Ndiyo maana wanUme wanapiga show za kibabe bila romance wala nn. Maana huwa wanabana pua kwa dakika kadhaa halafu wakiatema mzigo dushe haisimami tena. Harufu imezidi!!!
Well saidnje ya izo sababu za kitaalamu unaweza jifunza kitu cha ziada, africa wanawake wetu ni wanapitiwa na wanaume wengi katika maisha yao, kitu kinachoathiri chemistry yao!
Tangu lini malaya akafika kileleni..., tuna safari ndefu bado, na ndo mana tatizo la nguvu za kiume linaonekana kubwa sana huku kwetu.
vitabu vitakatifu vilikuwa na maana sana kusisitiza mwanamke kufahamiana na mwanaume mmoja tu.
Sent using Jamii Forums mobile app