Wanawake muwe mnathamini jasho la waume zenu

Wanawake muwe mnathamini jasho la waume zenu

Huyo mke mwema sana, Wanawake wengine ukileta viazi unakuta kumepikwa kuku utachagua mwenyewe kuuliza alitoka wapi au ule ukalale. Ukiuliza alitoka wapi unapata na jibu kati ya yai na kuku nini kilianza.
Unadhani anaweza kua na jeuri hiyo mwezi mzima? Hakuna mwanaume wa kuhonga mke wa mtu kila siku bro. Mambo mengine tumuachie Ali Choki na kisa cha Mpemba
 
Unadhani anaweza kua na jeuri hiyo mwezi mzima? Hakuna mwanaume wa kuhonga mke wa mtu kila siku bro. Mambo mengine tumuachie Ali Choki na kisa cha Mpemba
Mkuu, Watu wananyang'anywa wake sababu ya pesa wewe unasema kuhonga? Hata hivyo vigezo na masharti kuzingatiwa, inategemeana na mambo mengi sana esp mwonekano wa mke husika.
 
Dah nahisi kwenye ndoa kero na karaha ni nyingi kuliko furaha walahi.
Kweli mpka 2100 hakutokuwa na ndoa
 
Yeye aliambiwa kuwa kama hawezi viazi na ugali mlango uko wazi aondoke.
Damn. Straight! Mwanaume lazima uweke msimamo...hataki asepe aone kama hajawa replaced very very soon
 
Huyo jamaa alikua anatesa watoto wake kwa kuwashindilia viazi huyo mwanamke alikua anaenda sehemu kula vinono
 
Mkuu, Watu wananyang'anywa wake sababu ya pesa wewe unasema kuhonga? Hata hivyo vigezo na masharti kuzingatiwa, inategemeana na mambo mengi sana esp mwonekano wa mke husika.
Unadhani sijui hilo?
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
WANAWAKE NITATIZO KUBWA TULILO NALO
WALIJIFICHA FICHA ILA SASA WAPO WAZI KWAKUWA NI WAKATI WA MAVUNO
 
😀
Wanawake kuweni makini na wanaume wapare.
Mleta uzi Acha upare, kamuimbie mkeo 'shikamoo shika roho'
 
Huyo jamaa alikua anatesa watoto wake kwa kuwashindilia viazi huyo mwanamke alikua anaenda sehemu kula vinono
Lakini alinyooka akaacha tabia hiyo ya kugawa gawa vitu inamaana somo lilimuingia vizuri.
 
Damn. Straight! Mwanaume lazima uweke msimamo...hataki asepe aone kama hajawa replaced very very soon
Ili mwanamke awe na adabu juu ya yako ni razima atambue kuwa huogopi kupoteza chochote kwenye maisha yake akiwemo yeye mwenyewe na watoto ili asipate kichaka cha kujifichia kufanya uovu.
 
Ili mwanamke awe na adabu juu ya yako ni razima atambue kuwa huogopi kupoteza chochote kwenye maisha yake akiwemo yeye mwenyewe na watoto ili asipate kichaka cha kujifichia kufanya uovu.
Hili nalo neno
 
Fafanua mheshimiwa….
Ni mtihani tuliopewa na wachache sana watafuzu hili.
Mali kwa ujumla ni mtihani na inaleta fitna na uchonganishi kwa wengi wetu.
Watu wanauwana kwa ajili ya mali
Kuhusu watoto nao ni mtihani wa pili, kwenye familia nyingi unakuta watoto wakiwa upande mmoja labda kwa mama au baba na badala ya kufanya mambo mema zaidi
Mjitahadhari sana na Mali pia watoto wasiwavuruge kwa upendeleo wenu
Wafundisheni upendo pande zote na pia mema
 
Ni mtihani tuliopewa na wachache sana watafuzu hili.
Mali kwa ujumla ni mtihani na inaleta fitna na uchonganishi kwa wengi wetu.
Watu wanauwana kwa ajili ya mali
Kuhusu watoto nao ni mtihani wa pili, kwenye familia nyingi unakuta watoto wakiwa upande mmoja labda kwa mama au baba na badala ya kufanya mambo mema zaidi
Mjitahadhari sana na Mali pia watoto wasiwavuruge kwa upendeleo wenu
Wafundisheni upendo pande zote na pia mema
Kauli nzito sana hii, Asante kwa ufafanuzi.
 
Back
Top Bottom