Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Zingatia sana hilo hata watoto muwafundishe wakiwa wadogoKauli nzito sana hii, Asante kwa ufafanuzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zingatia sana hilo hata watoto muwafundishe wakiwa wadogoKauli nzito sana hii, Asante kwa ufafanuzi.
Hakukosea, mtoto hateseki ikiwa anaona anachokula na mama yake anakula....watoto sikuzote humwamini mama.Akiniambia mdogo wangu siku hizi wanawake wamekuwa wakiwatumia watoto kama kinga ya kufanya mambo ya kijinga ,na wanaume wengi kwa sasa wanaishi kwa mateso ndani ya ndoa kwa sababu falisafa hiyo ya nikifanya hivi watoto watateseka.
AmiinNi mtihani tuliopewa na wachache sana watafuzu hili.
Mali kwa ujumla ni mtihani na inaleta fitna na uchonganishi kwa wengi wetu.
Watu wanauwana kwa ajili ya mali
Kuhusu watoto nao ni mtihani wa pili, kwenye familia nyingi unakuta watoto wakiwa upande mmoja labda kwa mama au baba na badala ya kufanya mambo mema zaidi
Mjitahadhari sana na Mali pia watoto wasiwavuruge kwa upendeleo wenu
Wafundisheni upendo pande zote na pia mema