Wanawake muwe mnathamini jasho la waume zenu

Akiniambia mdogo wangu siku hizi wanawake wamekuwa wakiwatumia watoto kama kinga ya kufanya mambo ya kijinga ,na wanaume wengi kwa sasa wanaishi kwa mateso ndani ya ndoa kwa sababu falisafa hiyo ya nikifanya hivi watoto watateseka.
Hakukosea, mtoto hateseki ikiwa anaona anachokula na mama yake anakula....watoto sikuzote humwamini mama.
 
Amiin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…