Wanawake na kasumba ya kusingizia mimba

Njia namba mbili naitumia sana,na mala zote naibuka kidedea maana mwanamke akiwa anawaza wa kumbambika hupoteza kumbukumbu
 
Nimelea mtu tangu december yaani kumpangia nyumba na package zote then kajifungua june halafu wanakomaa eti mwanangu, sijui labda mimba siku hizi ni miezi sita.
Makubwa au unaona kumsaidia mwenzio kulea?
 
Hii inaonyesha wengi mko kwenye mahusiano ya kusogeza siku. Kwann msiwe na watu serious kuepusha aya mambo madogomadogo..Yaan mm siwez kua mwanaume ambae akinipa mimba atazingua. Na akizingua sina wa kumpa mana nakuaga na mtu mmoja tu. Ukiwa kitombi lazma usingiziwe tuuu.
 
Mmh mi siziwez jaman..sijawai tumia izo..tukishapima bas..na nikiwa na mpenzi nasex mara mbili tu kwa mwez so hakuna mimba itaingia ni rahis kujua siku za kuduu.
Ni vizuri kama uko makin
 
 
Wengine ndomu hatujui kuzitumia kabisa sio kwamba hatupendi ila MTU unavaa ndomu dk kumi kila ukiivuta ikae vizuri bado haikubali hadi mzuka unakata
Afahari kumbe sipo pekeyangu, mkuu nilikuwa nafedheheka sana kujiona sina bahati ya kuvaa hizo kitu. Yani nikivaa inachanika mara inateleza kichwa haingii aisee zimenishinda kabisa hizo vifaa..sijui mwisho wake itakuaje ila nimeoa sina stress..
 
Pima dna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…