Wanawake na nywele zenu za bandia mnaudhi

Wanawake na nywele zenu za bandia mnaudhi

KATASAN'KAZA

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2013
Posts
3,097
Reaction score
1,356
Kuna tabia ya wanawake na wadada kufunga vibaya minywele yao ya bandia inakera sana, mtu uko kwenye daladala afu ujui umeachia minywele mingine migumu mirasta ya buku inawasha na joto lenyewe la DSM.

Wengine miwigi inanuka sana kwakweli mnaboa sana. Hapa nimekaa na mdada mmoja kwanza mnene ananibana sana afu akijigeuza geuza na minywele yake inaniwasha, alafu anajishebudua mpaka kero.

Badilikeni
 
All in all ndizo zinawafanya wanapendeza na tukawabandika kivumishi cha 'urembo'!

Its just the matter of fashion brother, kama kavaa ndivyo sivyo si mbaya kama ukihusika kuweka mambo 'muswano' !!

This is a historical phenomena, wala usiboreke!
 
Kuna tabia ya wanawake na wadada kufunga vibaya minywele yao ya bandia inakera sana! Mtu uko kwenye dalax2 afu ujui umeachia minywele mingine migumu mirasta ya buku inawasha na joto lenyewe la dsm! Wengine imiwig inanuka kishenzi kiukweli mnaboa sana. Hapa nimekaa na mdada mmoja kwanza mnene ananibana sana afu lijigeuza geuza na minywele yake inaniwasha..! Afu linajishebudua hilo mpaka kero.BADIRIKENI.

Anayempenda ndiyo kamruhusu aweke hayo manywele!! Kama huyapendi unapita kushoto then maisha yanasonga....!! Unadhani wanawake wote wakifuata huu ushauri wako, huku mijini tutajionea warembo eeeh??

Hujaona joto na watu wanapiga makoti kama kawa sembuse manywele.......!!!
 
All in all ndizo zinawafanya wanapendeza na tukawabandika kivumishi cha 'urembo'!

Its just the matter of fashion brother, kama kavaa ndivyo sivyo si mbaya kama ukihusika kuweka mambo 'muswano' !!

This is a historical phenomena, wala usiboreke!

Mnapendeza wapiii? Shida kubwa ni kutojua jinsi ya kuyamanage mtu huna ata bajaj afu unasuka mirasta mirefu ambayo ata nyuma hujui imeishia wapi hauishii hapo unajishebedua kugeuzageuza bichwa mara huku mara kule.
 
Anayempenda ndiyo kamruhusu aweke hayo manywele!! Kama huyapendi unapita kushoto then maisha yanasonga....!! Unadhani wanawake wote wakifuata huu ushauri wako, huku mijini tutajionea warembo eeeh??

Hujaona joto na watu wanapiga makoti kama kawa sembuse manywele.......!!!

Akayafunike akifika huko akamfunulie wengine hatumindish ujinga.
 
Mnapendeza wapiii? Shida kubwa ni kutojua jinsi ya kuyamanage mtu huna ata bajaj afu unasuka mirasta mirefu ambayo ata nyuma hujui imeishia wapi hauishii hapo unajishebedua kugeuzageuza bichwa mara huku mara kule.

Btw, naona unalazimisha kila mtu akubaliane na unachowaza?

Bro usilazimishe hilo, arguements nzuri ni zile zinazoletwa na watu wenye fikra tofauti tofauti.!

Sasa ona ushaanza kutokwa na povu jiiingi kama umekunywa omo!

Toa hoja nitoe hoja. Sio Mipasho!

Kichwa arushe mwanamke, maumivu uyasikie wewe brother?:shocked:
 
Hivi wakuu kunako six by six hayo manywele ya bandia hayatoki mi sijawahi kukutana na wwenye nazo
 
Jamani tatizo si manywele tatizo ni usafi, utunzaji na kubadilisha kuendana na mazingira.
kwenye joto huwezi kutembea na weaving pakti3 kichani huku umeyaninginiza huo ni uchafu! yatatoka jasho utanuka
na utunzaji pia, mtu anashonea miezi mi3 hadi mawimbi yanaisha hapo lazima liwe katani tu!!!
 
Back
Top Bottom