Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aheri mimi pritty wa Joseph sipo related na hayo makitu
amnunulie na gari aswanukie watu daladalaniAnayempenda ndiyo kamruhusu aweke hayo manywele!! Kama huyapendi unapita kushoto then maisha yanasonga....!! Unadhani wanawake wote wakifuata huu ushauri wako, huku mijini tutajionea warembo eeeh??
Hujaona joto na watu wanapiga makoti kama kawa sembuse manywele.......!!!
We unakutana na vipara tu sio?
kazi ipo na bado tunaendelea kupendeza kwa hizohizo rasta hutaki tafuta usafiri binafsi usiboreke bro
Kama hauziki utajitembeza tuuh mdada wengine tunaangalia natural beaut...!
Kuna tabia ya wanawake na wadada kufunga vibaya minywele yao ya bandia inakera sana, mtu uko kwenye dalax2 afu ujui umeachia minywele mingine migumu mirasta ya buku inawasha na joto lenyewe la DSM.
Wengine miwigi inanuka sana kwakweli mnaboa sana. Hapa nimekaa na mdada mmoja kwanza mnene ananibana sana afu akijigeuza geuza na minywele yake inaniwasha, alafu anajishebudua mpaka kero.
Badilikeni