Mkuu King's daughter hebu nitoe ushamba,hivi nywele hizi za ki-africa za kipilipili zinaweza kurefuka mpaka mgongoni!!? Au umeziweka zile sumu za kuua uhai wa nywele ili zirefuke???Namshukuru Muumba mana nimejaliwa nywele ndefu hadi mgongoni.Hayo ya kuweka sijajaribu tangu kuzaliwa.
Ila kwakwel nywele bandia zisipokua managed vizuri zinaboa sana.
Zikilowana.ndo.shida zinanukaje jmn.
Afu wengine kukaa nazo muda mrefu zinawasha ngoja.siku atoke funza huko.ndo watajua!
Nawaombea vichwa visioze tu
Akili ni nywele kila mtu ana zake.nywele ni ID ya mtu kimataifa, tunawatambua wachina, wakorea, wajapan, wascandinavia, philipine and more others just bcoz of hairs.wakiafrica ni very stupid.wanaiga wig analovaa lihana, wakat yeye huvaa akiwa azn sawasawa na mcheza ngoma kuvaa manyoya.ona dancers wa kike,ver stupid,uchi kabsa? live my words, every woman i call stupid.
Sasa mbona siri za dem wako unazianika humu.
Mimi mpaka sasa namjua mmoja tu amabaye sijaona kitu "fake" kwake..si kucha, si nyweke, si nyusi, si maziwa, si mzigo-nyuma...yaani ye kila kitu alichonacho ni real....hata kama namuona kwa picha tu!!!
Akili ni nywele kila mtu ana zake.nywele ni ID ya mtu kimataifa, tunawatambua wachina, wakorea, wajapan, wascandinavia, philipine and more others just bcoz of hairs.wakiafrica ni very stupid.wanaiga wig analovaa lihana, wakat yeye huvaa akiwa azn sawasawa na mcheza ngoma kuvaa manyoya.ona dancers wa kike,ver stupid,uchi kabsa? live my words, every woman i call stupid.
Mkuu King's daughter hebu nitoe ushamba,hivi nywele hizi za ki-africa za kipilipili zinaweza kurefuka mpaka mgongoni!!? Au umeziweka zile sumu za kuua uhai wa nywele ili zirefuke???
Dawa yenu ni kuwakung'uta vikumbo, naniliiii... Inatema vikwapa minywele jamani...zaidi minywele mirasta ya buku migumu km style wire ikimgusa mtu inawasha mnanini nyie.Kuna mambo mengine bhana mtalalamika mpaka mchoke!!! Labda muandamane
nyooo mbona nyie p.u.m.b.u zenu zinanuka hatusemi?msituchoshee,km nimekukera nyoosha barabara ya kushoto
atiii...mbona huwa mwazifyonza na deki mwazipiga kama zanuka?
tunavumilia tu tutafanyaje na kusuguliwa tunataka..la sivyo..mh!
Jamani mimi hizo mnazoziona ni zangu mwenyewe, namshukuru Mungu kwa kunipa minywele.
Hongera...mwanamke akiwa na mijinywele asilia huwa awa mrembo sana!!!
Dawa yenu ni kuwakung'uta vikumbo, naniliiii... Inatema vikwapa minywele jamani...zaidi minywele mirasta ya buku migumu km style wire ikimgusa mtu inawasha mnanini nyie.
Huwezi kumtenganisha mwanamke na uremboKuna tabia ya wanawake na wadada kufunga vibaya minywele yao ya bandia inakera sana, mtu uko kwenye dalax2 afu ujui umeachia minywele mingine migumu mirasta ya buku inawasha na joto lenyewe la DSM.
Wengine miwigi inanuka sana kwakweli mnaboa sana. Hapa nimekaa na mdada mmoja kwanza mnene ananibana sana afu akijigeuza geuza na minywele yake inaniwasha, alafu anajishebudua mpaka kero.
Badilikeni