Wanawake na nywele zenu za bandia mnaudhi


Pole sana,kushonea weaving,kuvaa wig na kusuka rasta hair style vilianzia huko huko bara la ulaya na Asia.
Wanawake wa kizungu,kihindi,kichina na kijapani ndio wanaongoza kwa kushonea nywele bandia kichwani.
Litazeme na kulielewa hili jambo kwa jicho la tatu...ukisema uitazame Bongo tu utakuwa hauitendei haki akili yako
 

Kwanza Punguza hasira!! Pili naona unajidanganya na kufurahisha nafsi yako tu...huko ulaya na Asia ulikotolea mifano'kwa taharifa yako ndio waongozaji wakubwa kwenye mambo ya urembo hasa wa nywele bandia.

Karibu tuendelee
 
Jamani mimi hizo mnazoziona ni zangu mwenyewe, namshukuru Mungu kwa kunipa minywele.

Uko siliasi au unatania? Hizo siyo nywele zako...hiyo ni weaving au Lace front wig. Hapo kwenye avatar unaweza kuwa ni wewe lakini huko kichwani siyo wewe.

Karibu tuendelee.
 
Uko siliasi au unatania? Hizo siyo nywele zako...hiyo ni weaving au Lace front wig. Hapo kwenye avatar unaweza kuwa ni wewe lakini huko kichwani siyo wewe.

Karibu tuendelee.

MillionHairs hizi ni zangu, yaani ungejua mawigi siyapendi hata kidogo, mimi ni mchanganyiko wa mataifa 3.
 
Dawa yenu ni kuwakung'uta vikumbo, naniliiii... Inatema vikwapa minywele jamani...zaidi minywele mirasta ya buku migumu km style wire ikimgusa mtu inawasha mnanini nyie.

Mleta mada,kama hautojari naomba uniruhusu kukuhuliza japo swali moja tu.
 
MillionHairs hizi ni zangu, yaani ungejua mawigi siyapendi hata kidogo, mimi ni mchanganyiko wa mataifa 3.

Siyo kweli,na ninakataa kwa herufi kubwa...huyo unaweza kuwa ni wewe lakini huko kichwani siyo wewe.

Karibu tuendelee.
 
Siyo kweli,na ninakataa kwa herufi kubwa...huyo unaweza kuwa ni wewe lakini huko kichwani siyo wewe.

Karibu tuendelee.

Inamaana hujawahi kuona watu kama mimi? Upo wapi siku tuonane uzione.
 
SiimaK,nitaamini ni wewe iwapo utatupia picha yako nyingine hapa jamvini...iwe hiyo hapo kwenye avatar au kutoka kwenye muonekano mwingine. Kwavile umejitambulisha kuwa hiyo picha ni wewe basi ni matumaini yangu hutoshindwa kutupia moja ya picha zako hapa jamvini...kwani umesha thubutu.
 
Last edited by a moderator:
Inamaana hujawahi kuona watu kama mimi? Upo wapi siku tuonane uzione.

Siyo kuwaona tu...na nimeishi nao pia...hata kama nitakubari kuwa ni nywele yako basi ni lazima uliongezea some pcs za weaving. Nina uhakika ulienda Salon,wakakuongezea volume, na mwisho ukapigwa pasi ya mawimbi au ulifungwa Rolaz kubwa kubwa.
 
Siyo kuwaona tu...na nimeishi nao pia...hata kama nitakubari kuwa ni nywele yako basi ni lazima uliongezea some pcs za weaving. Nina uhakika ulienda Salon,wakakuongezea volume, na mwisho ukapigwa pasi ya mawimbi au ulifungwa Rolaz kubwa kubwa.

Yaani hapa nacheka mpaka basi! Wewe unakaa Dar.
 
SiimaK,niko kitandani na usingizi umenishika...nazima Tab yangu nalala. Thanks for all. Kesho
 
Last edited by a moderator:
Ok, usingizi mwema.


Nakubaliana nawe SiimaK, japo MillionHairs ni mtaalamu wa mambo ya nywele na urembo..siwezi kum'bishia. Kuna mdada mmoja namfahamu, nadhani ana damu ya kihindi, kiarabu na kiswahili....wallah hutamani kuacha kuzishika nywele zake...! Zipo hivyo kama ilivyo avatar yako..sweet sana!!
 
Last edited by a moderator:


....be my guest, please!!!
 

Ni kweli unavyoongea na mara nyingi watu wanasema nimeongezea nywele lakini wakizishika wanaona ni zangu.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…