Wanawake, nani alisema dera ni nguo ya heshima?

Wanawake, nani alisema dera ni nguo ya heshima?

Ukiwa na nnya ukivaa dera unapendeza sana

Ova
 
Dera ni nguo ya kuendea sokoni, mazishini, shughulini, kibaokata, bongo fleva na bongo movie na si vazi la heshima.
 
Habarini za weekend ndugu zangu na polen na maisha ya Tanzania.

Back to the topic, naomba kujuzwa hivi kwanini nguo aina za madera ambayo huvaliwa na wakina mama au wakina dada yamechukuliwa kama nguo ya heshima?

View attachment 821789

Utakuta mmama mtu mzima tena mungu kamjaalia mashallah kavaa dera then huo "mvumo wa radi" anaoachia huko nyuma ni balaa.

View attachment 821790

Nimeona hii mara nyingi mpaka najiuliza kwanini iwe hivi. Hizi nguo kiasili yake ni nyepesi na kwa namna wanavyozivaa hadithi zinakuwa zingne sana mtaani.

Vikohozi haviwezi kuisha kabisa. Nadhani kwa muda huu kuna wakina dada wa JF wamevaa dera. Hebu tuambie; kwanini mnazipenda ilhali haziwapi stara mnayotarajia?


Na siku hizi wamegundua hawazai chupi, analishkilia flani ivi, kama alikua ameketi akiinuka lazima "aamulie"

sema kwa mwanamke ambaye hana "mzigo" huwa hawapendezi....

Halafu kwa mwanamke anayevaa dela anaonekana ni mnafiki/ mzandiki/ mmbea/ maji mara-1/ mpashkuna/ malaya flan ivi..

yani kiufupi lina tafsiri mbaya(mtazamo wangu)
 
mambo ya dera mzigo unapewa popote pale.. dera linavutwa tuu juuu... hatari sanaaaaaa
 
Nguo za heshima ni gwanda na suti, unadhani dela linaumiza kichwa?
 
kumbukeni kuna ile sheria inayohusu shambulio la aibu...
 
Back
Top Bottom