mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
In short tafuta pesakatika pita pita zangu leo humu MMU leo, nimeona vitu vya kushangaza sana..... kuna wanawake wanasema wanavutiwa na wanaume wenye mishipa mikononi😂, wengine nimeona wanapenda kufokewa😂 na hata mmoja nimeona anasema anataka mwanaume asiye na ndevu kabisa😂.....
sasa kina dada naomba mcomment vitu vyoote mnavovitaka kutoka kwa wanaume; wanaume tuchukue notes, inaonekana kabisa pesa na nguvu za kiume havitoshi😂
Ukiwa na pesa afu hauna mishipa mikononi sasa inakuaje 😂In short tafuta pesa
Hiyo ndo international language ya wale kenge
Hayo mengine ni ya kuzuia tu
Hela zitakuokoaukiwa na pesa afu hauna mishipa mikononi sasa inakuaje 😂
Tafuta asiyetaka mishipaukiwa na pesa afu hauna mishipa mikononi sasa inakuaje 😂
Ukiishi nao Kwa akili utapoteza muda wakowanasemaga ishi nao kwa akili
huwa najiulizaga, jitu lina vvz1 kila idara, niishi nalo kwa akili kiaje ?Ukiishi nao Kwa akili utapoteza muda wako
AahahhahhMwsho wa kunukuu
Mjadala ufungwe.Mwsho wa kunukuu
Punguza userioushuwa najiulizaga, jitu lina vvz1 kila idara, niishi nalo kwa akili kiaje ?
Thread closedMwsho wa kunukuu
tafiti zinaonyesha pesa japo inasaidia, haitoshi 😂Hela zitakuokoa
Kuna yule mwamba uzi wa majuzi pesa anazo na ana good looking lakini mke wake anagawa mbususu kwa baba mkweHela zitakuokoa
Hakika.... Pesa haitoshi.....😩🤐🤧🥴😂😅🤣tafiti zinaonyesha pesa japo inasaidia, haitoshi 😂