Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
WANAWAKE NI VIUMBE WANAOELEWEKA SANA SEMA SISI NDIO HATUTAKI KUWAELEWA!
Anaandika Robert Heriel
Kuhani.
"Mwanamke hajui nini anataka"
"Wanawake hawaeleweki"
"Huwezi kuwaelewa Wanawake" na kauli zingine kama hizo ni kauli za kizamani zilizolenga kuwahukumu Wanawake na kuwafanya wakosaji, wasiaminike, kuwafanya wasijiamini, na kuwa na mtazamo hasi juu Yao wenyewe.
Hakuna kiumbe kisichoeleweka. Kila kiumbe kina hulka na silika yake.
Kuwaelewa Wanawake itakupasa uwachukulie kama Wanawake. Kosa kubwa wanalolifanya Watu wengi ni kumuelewa Mwanamke katika msingi WA mwanaume hapo lazima mpishane.
Ipo namna ya kumuelewa Mwanamke katika msingi WA ubinadamu na ukiumbe kama walivyoviumbe wengine. Hiyo ni kumuelewa kijumuishi na hapo unatengeneza mazingira ya kutomuelewa.
Lakini Ipo namna ya kumuelewa Mwanamke katika msingi WA upekee wake kama Mwanamke bila kuhusisha Sifa za ubinadamu zinazoingiliana na wanaume au viumbe wengine.
Pia Wanawake wakati mwingine wanalalamika wanaume hatueleweki, lakini watafikia hitimisho hilo ikiwa watamfikiri na kumchukulia mwanaume katika mtazamo wa kike.
Kwa nini Wanawake wanaonekana hawaeleweki?
1. Hawapo Huru, wengi wapo Chini ya sheria kandamizi.
Sheria nyingi tangu zamani ziliwekwa na Sisi wanaume kama Watawala. Kwa bahati Mbaya baadhi ya sheria zilikuwa kandamizi na zenye kuminya Uhuru wa wanawake. Hii ilifanya Wanawake wafiche tabia zao za Asili(Silika) na Tabia zao za makuzi(Hulka).
Mtu yeyote ambaye hayupo huru sio rahisi kumuelewa Kwa sababu atakuwa mnafiki na mficha mambo yake.
Uhuru ndio sehemu pekee itakayodhihirisha tabia halisi ya kiumbe.
Mfano wa Sheria kandamizi;
i) mwanaume ndiye mwenye ruhusa ya kuoa Wake wengi. Wanawake walidanganywa na visheria vya Mila na desturi au visheria kandamizi vya Dini huku wakiaminishwa ndivyo miungu watakavyo ilhali wao wenyewe hawataki kitu kama hicho kimoyomoyo. Hii iliwafanya Wanawake kuwa Wanafiki na kukubali kishingo upande,
ii) sheria ya Uhuru wa kushiriki burudani na Michezo ya kijamii.
Wanaume ndio tumepewa nafasi ya kufurahi na kushiriki mambo ya burudani kama Michezo ya mipira, kwenda Club, disko n.k.
Wakati Kwa Wanawake kwenda Club inachukuliwa kama Tabia Mbaya na dalili ya umalaya. Jambo ambalo ni Uongo.
Kuchukulia Mwanamke kama Mnyama wa kufuga nyumbani yaani anatakiwa kuwa nyumbani tuu huku akiletewa mahitaji yake yote kama chakula ni sehemu inayofanya Wanawake wasieleweke endapo wakienda kinyume na Kanuni hiyo.
Unakuta mwanaume anasema, kazi yako kuzurura tuu, nimekuwekea kila kitu ndani lakini unazurura tuu. Wewe Mwanamke unataka nikufanyie nini? Mbona hutosheki?😂😂
Mwanamke hatosheki kama tulivyosisi wanaume. Kukaa sehemu moja muda wote kunachosha.
Mwanamke anahitaji Uhuru ili unafahamu vizuri. Huwezi mdhibiti Mwanamke Kwa kumnyima Uhuru. Ni rahisi kumdhibiti Mwanamke akiwa yupo Huru.
Mwanamke anahitaji umpe Uhuru lakini uwe unamsaidia kumuongoza katika Uhuru wake. Huo atauita UPENDO.
Kuudhibiti Uhuru wake kupitiliza kutamfanya aone unamfanyia Ukatili. Pia ataona haujiamini.
Lakini pia kumuachia Uhuru uliopitiliza itamfanya aone haumjali na humpendi.
Haya ni mambo ya kuyajua unapodili na Wanawake:
1. Wanawake hukifanya kitu kidogo kuwa kikubwa.
Kiwe kitu Kizuri au kibaya. Elewa kuwa Mwanamke hufanya kitu kidogo kuwa kikubwa. Ni Watu wakukuza mambo.
2. Wanawake MLANGO wao Mkuu wa ufahamu ni masikio.
Kadiri unavyomtakia kitu hicho mara Kwa mara kinakua katika moyo wake.
Chochote utakachomuambia Mwanamke hata kama ni utani atakichukulia Serious. Wanawake hawanaga kitu inaitwa utani hasa utani wa maneno. Hiyo kitu hawanaga.
Ukimtania yeye ni Mbaya na Hana Mvuto hata kama ni Uongo ataichukulia serious kauli hiyo. Sio ajabu akakasirika au akaanza kukuchukia.
Wanawake wanaamini Kwa kusikia zaidi kuliko kuona. Wakati wanaume tunaamini Kwa kuona zaidi kuliko kusikia.
Saikolojia hiyo ni muhimu unapodili na Mwanamke.
Ukiwa MTU wa maneno ya kejeli na dharau Wanawake watakupita kushoto Sana. Hata uwe na Pesa au mzuri vipi.
Lakini ukiwa mzuri kwenye kuzungumza, kuwachekesha, na kutoa maneno matamu basi Wanawake watakupenda mpaka Basi.
3. Wanawake wanapenda wanaume wazuri wa Sura, wenye Akili na wajanja, na maumbile ya kiume.
Pesa Kwa Mwanamke ni ziada Sana.
Wanawake kiasili mpaka kwenye viumbe WA jinsia ya ke Kwa ndege, wanyama na Samaki. Hawanaga ujanja na madume yanayovutia Kwa Sura, wajanja wajanja, wanaojiamini. Watanashati.
Hizo Pesa zako kwao ni zuga tuu. Wanawake hawatakupenda Kwa sababu ya Pesa zako Ila watakupenda Kwa Sifa za Asili.
Ni ngumu Mwanamke kumsaliti na kumgeuka mwanaume anayempenda. Lakini ni rahisi Mwanamke kumgeuka mwanaume mwenye Pesa asiyempenda.
Mwanamke akikupenda kikamilifu atakutetea kivyovyote.
4. Wanawake ni Watu wa Sanaa kiasili.
Ni lazima ujue Jambo hili ili uweze kuishi na hao viumbe bila matatizo.
Wao wenyewe ni Sanaa tosha, Kwa sababu unaposema Sanaa ni ufundi na uzuri WA Jambo lolote lile.
Wanawake wanapenda ufundi na uzuri WA mambo.
Wanapenda urembo, mitindo, fasheni, Lugha za Sanaa, Swaga,
Wanapenda Drama, burudani, muziki, dance, vyakula vitamu, location Kali n.k.
Hawapendi Watu waliozubaa, wasio na jipya, Akili ndogo.
Ni kweli Wanawake wengi wanaakili Below ukilinganisha na Sisi wanaume, lakini kitu pekee ambacho Wanawake hawatokubali ni kuishi na mwanaume mwenye Akili ndogo. Lazima atampa shida.
5. Wanawake hawapendi mwanaume dhaifu.
Kujinyenyekeza hovyohovyo hawapendi mwanaume WA Sampuli hiyo. Wanapenda mwanaume ambaye anajiamini na mara Kwa mara anakuwa na matambo na majivuno, sio kila saa kulia Lia. Kutaka kudeka deka kama mtoto wa kike.
Mwanamke anapenda mwanaume asiyeogopa Kufa, shujaa ambaye yupo tayari kufanya maamuzi magumu kwaajili ya familia. Sio mwanaume dhaifu.
Mwanamke anahitaji mwanaume anayepiga show ya kibabe, asiye na kazi mbofumbofu. Uwe fundi kwelikweli.
Mwanamke yupo Radhi ukose yote atakuvumilia lakini sio kipengele hicho.
Mwanamke ukiwa unamkojoza na kumkamua mpaka anajisikia kweli yeye ni mwanamke, mikunjo, shughuli iliyokamilika, akitoka anajihisi mwepesi mwili wote umelegea sio magoti sio kiuno yaani anapepesuka, kamwe hawezi kukusumbua kivyovyote vile.
6. Mwanamke anapenda mwanaume anayegombewa na Wanawake wengi.
Mwanamke hapendi kuuziwa mbuzi kwenye gunia. Anataka mwanaume mwenye Sifa zote za kiume, ili asifiwe na Wanawake wenzake au awadharau Wanawake wenzake,
Mwanamke kuwa na Mwanaume anayegombewa kwake ni heshima na ufahari.
Mwanaume kama haugombewi na Wanawake upo kwenye hatari ya kusumbuliwa na Mkeo. Kunyanyaswa na hata Wakati mwingine kunyimwa tendo la Ndoa.
Wanawake wanapenda kuishi Kwa mashindano, Roho juu. Wanapenda kuwatishia Roho Wanawake wenzao.
Ndio maana ni lazima kijana uwe na Sifa moja Kati ya hizi;
i) Uzuri, Mvuto na utanashati.
ii) uwezo wa kupiga mzigo kikamilifu
iii) Pesa
Uwe na kimojawapo au zaidi ya kimoja au vyote.
Mwanamke anataka sababu ya kukuonea wivu nje ya kukupenda. Sababu ni hizo nilizokutajia. Na hata Watu wa nje watajua wivu wa Mkeo unachochewa na kitu gani Kati ya hivyo.
Elewa kuwa, Wanawake wanajifanyaga hamnazo Makusudi ili wakupasue, yaani wanaweza kujifanya Hawana Akili ili ujichanganye na kushindwa kuwaelewa.
Mwanamke ni rahisi kumuelewa na kumjua mwanaume Kwa sababu Sisi wanaume tunapokutana na Wanawake tunalazimisha kuwa na Sifa kubwa kama Akili na Hali zetu za kifedha, huku wao wakiwa Low Key.
Elewa kuwa Mwanamke unapomuambia Jambo analipokea Kihisia kisha baadaye huenda kulitafakari Kwa Akili zake.
Ndio maana Leo anaweza kusema hivi lakini kesho akasema vinginevyo.
Hivyo unapomueleza Mwanamke Jambo lolote Kwa mara ya kwanza, mueleze Jambo linalopatana na hisia zake, kisha ukikutana naye mara ya pili libadilishe jambo lile lipatane na Akili yake. Hivyo ndivyo utakavyoendana nao.
Tunasema kuishi nao Kwa Akili.
Acha nipumzike
Sabato NJEMA
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Anaandika Robert Heriel
Kuhani.
"Mwanamke hajui nini anataka"
"Wanawake hawaeleweki"
"Huwezi kuwaelewa Wanawake" na kauli zingine kama hizo ni kauli za kizamani zilizolenga kuwahukumu Wanawake na kuwafanya wakosaji, wasiaminike, kuwafanya wasijiamini, na kuwa na mtazamo hasi juu Yao wenyewe.
Hakuna kiumbe kisichoeleweka. Kila kiumbe kina hulka na silika yake.
Kuwaelewa Wanawake itakupasa uwachukulie kama Wanawake. Kosa kubwa wanalolifanya Watu wengi ni kumuelewa Mwanamke katika msingi WA mwanaume hapo lazima mpishane.
Ipo namna ya kumuelewa Mwanamke katika msingi WA ubinadamu na ukiumbe kama walivyoviumbe wengine. Hiyo ni kumuelewa kijumuishi na hapo unatengeneza mazingira ya kutomuelewa.
Lakini Ipo namna ya kumuelewa Mwanamke katika msingi WA upekee wake kama Mwanamke bila kuhusisha Sifa za ubinadamu zinazoingiliana na wanaume au viumbe wengine.
Pia Wanawake wakati mwingine wanalalamika wanaume hatueleweki, lakini watafikia hitimisho hilo ikiwa watamfikiri na kumchukulia mwanaume katika mtazamo wa kike.
Kwa nini Wanawake wanaonekana hawaeleweki?
1. Hawapo Huru, wengi wapo Chini ya sheria kandamizi.
Sheria nyingi tangu zamani ziliwekwa na Sisi wanaume kama Watawala. Kwa bahati Mbaya baadhi ya sheria zilikuwa kandamizi na zenye kuminya Uhuru wa wanawake. Hii ilifanya Wanawake wafiche tabia zao za Asili(Silika) na Tabia zao za makuzi(Hulka).
Mtu yeyote ambaye hayupo huru sio rahisi kumuelewa Kwa sababu atakuwa mnafiki na mficha mambo yake.
Uhuru ndio sehemu pekee itakayodhihirisha tabia halisi ya kiumbe.
Mfano wa Sheria kandamizi;
i) mwanaume ndiye mwenye ruhusa ya kuoa Wake wengi. Wanawake walidanganywa na visheria vya Mila na desturi au visheria kandamizi vya Dini huku wakiaminishwa ndivyo miungu watakavyo ilhali wao wenyewe hawataki kitu kama hicho kimoyomoyo. Hii iliwafanya Wanawake kuwa Wanafiki na kukubali kishingo upande,
ii) sheria ya Uhuru wa kushiriki burudani na Michezo ya kijamii.
Wanaume ndio tumepewa nafasi ya kufurahi na kushiriki mambo ya burudani kama Michezo ya mipira, kwenda Club, disko n.k.
Wakati Kwa Wanawake kwenda Club inachukuliwa kama Tabia Mbaya na dalili ya umalaya. Jambo ambalo ni Uongo.
Kuchukulia Mwanamke kama Mnyama wa kufuga nyumbani yaani anatakiwa kuwa nyumbani tuu huku akiletewa mahitaji yake yote kama chakula ni sehemu inayofanya Wanawake wasieleweke endapo wakienda kinyume na Kanuni hiyo.
Unakuta mwanaume anasema, kazi yako kuzurura tuu, nimekuwekea kila kitu ndani lakini unazurura tuu. Wewe Mwanamke unataka nikufanyie nini? Mbona hutosheki?😂😂
Mwanamke hatosheki kama tulivyosisi wanaume. Kukaa sehemu moja muda wote kunachosha.
Mwanamke anahitaji Uhuru ili unafahamu vizuri. Huwezi mdhibiti Mwanamke Kwa kumnyima Uhuru. Ni rahisi kumdhibiti Mwanamke akiwa yupo Huru.
Mwanamke anahitaji umpe Uhuru lakini uwe unamsaidia kumuongoza katika Uhuru wake. Huo atauita UPENDO.
Kuudhibiti Uhuru wake kupitiliza kutamfanya aone unamfanyia Ukatili. Pia ataona haujiamini.
Lakini pia kumuachia Uhuru uliopitiliza itamfanya aone haumjali na humpendi.
Haya ni mambo ya kuyajua unapodili na Wanawake:
1. Wanawake hukifanya kitu kidogo kuwa kikubwa.
Kiwe kitu Kizuri au kibaya. Elewa kuwa Mwanamke hufanya kitu kidogo kuwa kikubwa. Ni Watu wakukuza mambo.
2. Wanawake MLANGO wao Mkuu wa ufahamu ni masikio.
Kadiri unavyomtakia kitu hicho mara Kwa mara kinakua katika moyo wake.
Chochote utakachomuambia Mwanamke hata kama ni utani atakichukulia Serious. Wanawake hawanaga kitu inaitwa utani hasa utani wa maneno. Hiyo kitu hawanaga.
Ukimtania yeye ni Mbaya na Hana Mvuto hata kama ni Uongo ataichukulia serious kauli hiyo. Sio ajabu akakasirika au akaanza kukuchukia.
Wanawake wanaamini Kwa kusikia zaidi kuliko kuona. Wakati wanaume tunaamini Kwa kuona zaidi kuliko kusikia.
Saikolojia hiyo ni muhimu unapodili na Mwanamke.
Ukiwa MTU wa maneno ya kejeli na dharau Wanawake watakupita kushoto Sana. Hata uwe na Pesa au mzuri vipi.
Lakini ukiwa mzuri kwenye kuzungumza, kuwachekesha, na kutoa maneno matamu basi Wanawake watakupenda mpaka Basi.
3. Wanawake wanapenda wanaume wazuri wa Sura, wenye Akili na wajanja, na maumbile ya kiume.
Pesa Kwa Mwanamke ni ziada Sana.
Wanawake kiasili mpaka kwenye viumbe WA jinsia ya ke Kwa ndege, wanyama na Samaki. Hawanaga ujanja na madume yanayovutia Kwa Sura, wajanja wajanja, wanaojiamini. Watanashati.
Hizo Pesa zako kwao ni zuga tuu. Wanawake hawatakupenda Kwa sababu ya Pesa zako Ila watakupenda Kwa Sifa za Asili.
Ni ngumu Mwanamke kumsaliti na kumgeuka mwanaume anayempenda. Lakini ni rahisi Mwanamke kumgeuka mwanaume mwenye Pesa asiyempenda.
Mwanamke akikupenda kikamilifu atakutetea kivyovyote.
4. Wanawake ni Watu wa Sanaa kiasili.
Ni lazima ujue Jambo hili ili uweze kuishi na hao viumbe bila matatizo.
Wao wenyewe ni Sanaa tosha, Kwa sababu unaposema Sanaa ni ufundi na uzuri WA Jambo lolote lile.
Wanawake wanapenda ufundi na uzuri WA mambo.
Wanapenda urembo, mitindo, fasheni, Lugha za Sanaa, Swaga,
Wanapenda Drama, burudani, muziki, dance, vyakula vitamu, location Kali n.k.
Hawapendi Watu waliozubaa, wasio na jipya, Akili ndogo.
Ni kweli Wanawake wengi wanaakili Below ukilinganisha na Sisi wanaume, lakini kitu pekee ambacho Wanawake hawatokubali ni kuishi na mwanaume mwenye Akili ndogo. Lazima atampa shida.
5. Wanawake hawapendi mwanaume dhaifu.
Kujinyenyekeza hovyohovyo hawapendi mwanaume WA Sampuli hiyo. Wanapenda mwanaume ambaye anajiamini na mara Kwa mara anakuwa na matambo na majivuno, sio kila saa kulia Lia. Kutaka kudeka deka kama mtoto wa kike.
Mwanamke anapenda mwanaume asiyeogopa Kufa, shujaa ambaye yupo tayari kufanya maamuzi magumu kwaajili ya familia. Sio mwanaume dhaifu.
Mwanamke anahitaji mwanaume anayepiga show ya kibabe, asiye na kazi mbofumbofu. Uwe fundi kwelikweli.
Mwanamke yupo Radhi ukose yote atakuvumilia lakini sio kipengele hicho.
Mwanamke ukiwa unamkojoza na kumkamua mpaka anajisikia kweli yeye ni mwanamke, mikunjo, shughuli iliyokamilika, akitoka anajihisi mwepesi mwili wote umelegea sio magoti sio kiuno yaani anapepesuka, kamwe hawezi kukusumbua kivyovyote vile.
6. Mwanamke anapenda mwanaume anayegombewa na Wanawake wengi.
Mwanamke hapendi kuuziwa mbuzi kwenye gunia. Anataka mwanaume mwenye Sifa zote za kiume, ili asifiwe na Wanawake wenzake au awadharau Wanawake wenzake,
Mwanamke kuwa na Mwanaume anayegombewa kwake ni heshima na ufahari.
Mwanaume kama haugombewi na Wanawake upo kwenye hatari ya kusumbuliwa na Mkeo. Kunyanyaswa na hata Wakati mwingine kunyimwa tendo la Ndoa.
Wanawake wanapenda kuishi Kwa mashindano, Roho juu. Wanapenda kuwatishia Roho Wanawake wenzao.
Ndio maana ni lazima kijana uwe na Sifa moja Kati ya hizi;
i) Uzuri, Mvuto na utanashati.
ii) uwezo wa kupiga mzigo kikamilifu
iii) Pesa
Uwe na kimojawapo au zaidi ya kimoja au vyote.
Mwanamke anataka sababu ya kukuonea wivu nje ya kukupenda. Sababu ni hizo nilizokutajia. Na hata Watu wa nje watajua wivu wa Mkeo unachochewa na kitu gani Kati ya hivyo.
Elewa kuwa, Wanawake wanajifanyaga hamnazo Makusudi ili wakupasue, yaani wanaweza kujifanya Hawana Akili ili ujichanganye na kushindwa kuwaelewa.
Mwanamke ni rahisi kumuelewa na kumjua mwanaume Kwa sababu Sisi wanaume tunapokutana na Wanawake tunalazimisha kuwa na Sifa kubwa kama Akili na Hali zetu za kifedha, huku wao wakiwa Low Key.
Elewa kuwa Mwanamke unapomuambia Jambo analipokea Kihisia kisha baadaye huenda kulitafakari Kwa Akili zake.
Ndio maana Leo anaweza kusema hivi lakini kesho akasema vinginevyo.
Hivyo unapomueleza Mwanamke Jambo lolote Kwa mara ya kwanza, mueleze Jambo linalopatana na hisia zake, kisha ukikutana naye mara ya pili libadilishe jambo lile lipatane na Akili yake. Hivyo ndivyo utakavyoendana nao.
Tunasema kuishi nao Kwa Akili.
Acha nipumzike
Sabato NJEMA
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam