themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 1,033
- 3,720
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujumbe umefikaIfike pahala muache kusimanga wanawake wote sababu ya makosa yenu ya uchaguzi wa hao viumbe wachache..! tuheshimuni basii..!
[emoji23][emoji23][emoji23] hela ya kuwa wapenzi...Hapo ni kama unafanya biashara na mke wako,
Au umemuajiri.
Tatizo linaanzia hapo.
Hiyo hela unayomlipa 12k- 17k ni malipo ya kazi/biashara mnayofanya.
Kwahiyo anachodai hapo ni hela ya kuwa wapenzi. Sijajua hiyo hela inaitwaje.
AsanteKitaalam inaitwa CHUMA ULETE HIYO.. mrudishe ulikomtoa kwa kuanza kufanya business kivyako, atakuwa tayari ameshapata mtaji, ama umeshapata msaidizi mkuu, ulipomfikisha panatosha
Nimecheka japo nna huzuniHapo ni kama unafanya biashara na mke wako,
Au umemuajiri.
Tatizo linaanzia hapo.
Hiyo hela unayomlipa 12k- 17k ni malipo ya kazi/biashara mnayofanya.
Kwahiyo anachodai hapo ni hela ya kuwa wapenzi. Sijajua hiyo hela inaitwaje.
Kunguru hafugiki[emoji2][emoji2]Mzee wangu alishawahi kuniambia usimuendekeze mwanamke maisha ya starehe hata kama pesa unayo,akaniambia pia hakikisha asijue kipato chako yaani statement yako ya bank hadi salaryslip iwe siri yako hata akiba yako jitahidi kuwa msiri maana huwa hawariziki kwa kweli mzee sikumuamini
Noma sana mkuuKunguru hafugiki[emoji2][emoji2]
Mahaba allowance [emoji1]...anaasume anafanyia kazi sehem nyingine kabisa, umpe hela sasaHapo ni kama unafanya biashara na mke wako,
Au umemuajiri.
Tatizo linaanzia hapo.
Hiyo hela unayomlipa 12k- 17k ni malipo ya kazi/biashara mnayofanya.
Kwahiyo anachodai hapo ni hela ya kuwa wapenzi. Sijajua hiyo hela inaitwaje.
DaahMahaba allowance [emoji1]...anaasume anafanyia kazi sehem nyingine kabisa, umpe hela sasa
Naaminibinadamu ata umsaidiaje hana fadhila ata ukimpa laki kila siku. bado atalalamika.
We nae usome na uelewe,Nimeishia hapo uliposema Mungu ni mama....Mungu wetu ni BABA msilete habari zenu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo ni kama unafanya biashara na mke wako,
Au umemuajiri.
Tatizo linaanzia hapo.
Hiyo hela unayomlipa 12k- 17k ni malipo ya kazi/biashara mnayofanya.
Kwahiyo anachodai hapo ni hela ya kuwa wapenzi. Sijajua hiyo hela inaitwaje.