Wanawake ni viumbe wasioridhika, hakikisha asijue kipato chako

Wanawake ni viumbe wasioridhika, hakikisha asijue kipato chako

Mkuu kwanini uliamua kuanzisha mahusiano na mwanamke asiye na elimu? Huyo atakusaidia nini katika maisha yako ya kujikwamua kimaisha?

Kwanza, mwanamke ambaye hajasoma ukiwa katika mahusiano akiona siku umekosa hela huwa wanavijembe na dharau sana mfano "msomi umesoma ila una maisha magumu" bora yangu ambaye sina elimu ila wewe una elimu lakini unaishi maisha magumu"

Nakushauri piga chini huyo mwanamke mkuu. Usipofanya hivyo hakika hautasogea hata kidogo kimaisha maana utabaki kila siku kumuinua yeye ila kwa sababu ana akili za ajabu atazidi kukuangusha.Tafuta msomi mwenzako aisee.
Nimekuelewa
 
Mkuu kwanini uliamua kuanzisha mahusiano na mwanamke asiye na elimu? Huyo atakusaidia nini katika maisha yako ya kujikwamua kimaisha?

Kwanza, mwanamke ambaye hajasoma ukiwa katika mahusiano akiona siku umekosa hela huwa wanavijembe na dharau sana mfano "msomi umesoma ila una maisha magumu" bora yangu ambaye sina elimu ila wewe una elimu lakini unaishi maisha magumu"

Nakushauri piga chini huyo mwanamke mkuu. Usipofanya hivyo hakika hautasogea hata kidogo kimaisha maana utabaki kila siku kumuinua yeye ila kwa sababu ana akili za ajabu atazidi kukuangusha.Tafuta msomi mwenzako aisee.
Real
 
Mzee wangu alishawahi kuniambia usimuendekeze mwanamke maisha ya starehe hata kama pesa unayo, akaniambia pia hakikisha asijue kipato chako yaani statement yako ya bank hadi salaryslip iwe siri yako hata akiba yako jitahidi kuwa msiri maana huwa hawariziki kwa kweli mzee sikumuamini

Nna mwanamke wangu ambaye niko nae kwenye mahusiano mwaka wa tatu huu ana miaka 23, hana elimu yoyote ya maana , alizungushaza olevel akawa mtaani tu maana analelewa na ndugu wazazi alishapoteza

Nimeanza nae mahusiano akiwa kwenye hali tete maaana alikuwa akiishi maisha magumu sana hata hao ndugu kumjali walikuwa hawamjali, wanaume aliokuwa nao ndio wale masharobaro kula kwa mama

Hivyo kuanzia mwaka huu umeanza nikaona maisha ya mwanamke kukaa nyumbani tu si mazuri nikaona nimpush na yeye aingize kipato na mimi majukumu ya kutoa pesa ya matumizi kila siku yapungue nipate ahueni na yeye apate pesa afanye mambo yake ya muhimu

Hivyo nikawa nashirikiana nae kwenye biashara zangu kila siku, nikawa namlipa 15,000 siku nyingine 20,000 hadi 17,000 na siku hali ikiwa tete mara chache sana nampa 12,000, hapo nauli,kula,vocha juu yangu mimi na akirudi nyumbani kwao halipi kodi, maji wala chakula hanunui anakikuta mezani ye hela nayomlipa ni kuweka tu

Lakini wakuu kipindi cha hivi karibuni akawa amenza malalamiko na vijembe vya chini chini yaani anasema simjali, mean simpi pesa, mean mimi ni bahili, vijembe anaweka hadi wahtsapp mwanaume bahili hafai ila huwa nakausha tu napita kimya kimya

Ila sikutegemea zarau kama hizi maana nilitegemea mwenzangu tunachotafuta na kugawana angerizika lakini now anataka nimpe na pesa nyingine tena ya matumizi hapo ndio nimechoka

Ila nachowashauri tu hivi viumbe tuishi navyo kwa Tahadhari sana maana haviriziki wala kujua ugumu wa kutafuta pesa , na unachowapa hawaridhiki wanaona wanahitaji kikubwa zaidi ya walichonacho

Think hana elimu yoyote

Kwa siku namlipa 15,000-17,000 hadi 20,000, nauli kula maji na vocha ni juu yangu , yeye akifika nyumbani kwao ni kula kulala halipi kodi maji wala umeme, hela anayoipata ni kuweka, then analalamika simpi hela ya matumizi..

Nimewasilisha tu..
HUYO kashibq uyo sasa kasahau shida na matako kashapatq itamwqmbiq nn ilihali kuna vidume vishaanza kumpigia miluz

Mwanamke akishapata matako lazima abadilike kuna demu alikujq hme mbau mbau tu katoka sigimbi heshima km zote km zpte vile kila ana msifia nikawaambia subir apate matako muone na kwel msosi chipsi yai mqji yapo ndan hachot mchele kilq kotu kwenue friki mayai yapo ndan akapata mapatako tulijiuta

MATAKO HUBADIL TABIA YA MWANAMKE UO NDIO UKWEL
 
HUYO kashibq uyo sasa kasahau shida na matako kashapatq itamwqmbiq nn ilihali kuna vidume vishaanza kumpigia miluz

Mwanamke akishapata matako lazima abadilike kuna demu alikujq hme mbau mbau tu katoka sigimbi heshima km zote km zpte vile kila ana msifia nikawaambia subir apate matako muone na kwel msosi chipsi yai mqji yapo ndan hachot mchele kilq kotu kwenue friki mayai yapo ndan akapata mapatako tulijiuta

MATAKO HUBADIL TABIA YA MWANAMKE UO NDIO UKWEL
Duh
 
Mzee wangu alishawahi kuniambia usimuendekeze mwanamke maisha ya starehe hata kama pesa unayo, akaniambia pia hakikisha asijue kipato chako yaani statement yako ya bank hadi salaryslip iwe siri yako hata akiba yako jitahidi kuwa msiri maana huwa hawariziki kwa kweli mzee sikumuamini

Nna mwanamke wangu ambaye niko nae kwenye mahusiano mwaka wa tatu huu ana miaka 23, hana elimu yoyote ya maana , alizungushaza olevel akawa mtaani tu maana analelewa na ndugu wazazi alishapoteza

Nimeanza nae mahusiano akiwa kwenye hali tete maaana alikuwa akiishi maisha magumu sana hata hao ndugu kumjali walikuwa hawamjali, wanaume aliokuwa nao ndio wale masharobaro kula kwa mama

Hivyo kuanzia mwaka huu umeanza nikaona maisha ya mwanamke kukaa nyumbani tu si mazuri nikaona nimpush na yeye aingize kipato na mimi majukumu ya kutoa pesa ya matumizi kila siku yapungue nipate ahueni na yeye apate pesa afanye mambo yake ya muhimu

Hivyo nikawa nashirikiana nae kwenye biashara zangu kila siku, nikawa namlipa 15,000 siku nyingine 20,000 hadi 17,000 na siku hali ikiwa tete mara chache sana nampa 12,000, hapo nauli,kula,vocha juu yangu mimi na akirudi nyumbani kwao halipi kodi, maji wala chakula hanunui anakikuta mezani ye hela nayomlipa ni kuweka tu

Lakini wakuu kipindi cha hivi karibuni akawa amenza malalamiko na vijembe vya chini chini yaani anasema simjali, mean simpi pesa, mean mimi ni bahili, vijembe anaweka hadi wahtsapp mwanaume bahili hafai ila huwa nakausha tu napita kimya kimya

Ila sikutegemea zarau kama hizi maana nilitegemea mwenzangu tunachotafuta na kugawana angerizika lakini now anataka nimpe na pesa nyingine tena ya matumizi hapo ndio nimechoka

Ila nachowashauri tu hivi viumbe tuishi navyo kwa Tahadhari sana maana haviriziki wala kujua ugumu wa kutafuta pesa , na unachowapa hawaridhiki wanaona wanahitaji kikubwa zaidi ya walichonacho

Think hana elimu yoyote

Kwa siku namlipa 15,000-17,000 hadi 20,000, nauli kula maji na vocha ni juu yangu , yeye akifika nyumbani kwao ni kula kulala halipi kodi maji wala umeme, hela anayoipata ni kuweka, then analalamika simpi hela ya matumizi..

Nimewasilisha tu..
Wee unatakiwa mwanamke umgegede sio umlipe salary kaka. Kwa ujinga waliotufanyia eden bado tuu mnawaonea huruma hawa viumbe...acha ujinga. Kamata gegeda tupa kule
 
Hapo ni kama unafanya biashara na mke wako,
Au umemuajiri mkeo.

Tatizo linaanzia hapo mkuu.

Hiyo hela unayomlipa 12k- 17k ni malipo ya kazi au biashara mnayofanya.

Kwahiyo anachodai hapo ni "hela ya kuwa wapenzi".
Sijajua hiyo hela inaitwaje.
Labda kishika uchumba
 
Siku hizi mapenzi ni biashara kama zilivyo biashara nyingine. Anataka umlipe hela ya upenzi
 
Back
Top Bottom