Wanawake ni wazuri wakiwa kazini

Eee waendelee kua wazuri huko kazin
Kuliko ambae Hana kazi Wala shughuli yyte huyu anaweza kua shida zaidiii
 
Bro una umri gani
 
Bro una umri gani
Mapenzi hayana umri mzee, we endelea kujifanya mlokole - mwenzi wako akutane na show-show - mlingoti chuma bendera chuma.

Kwa ufupi, mapenzi ni uchafu, sasa km wewe ni msafi bhasi haupo sehemu sahihi. Bora uachane nayo ufanye vitu vingine
 
Mapenzi hayana umri mzee, we endelea kujifanya mlokole - mwenzi wako akutane na show-show - mlingoti chuma bendera chuma.

Kwa ufupi, mapenzi ni uchafu, sasa km wewe ni msafi bhasi haupo sehemu sahihi. Bora uachane nayo ufanye vitu vingine
Duuh mkuu mbona umeeleza vitu ambavo hata sijaviuliza
 
Kama najiona nikitoka mishe huko dera liko wapi hata sidiria sivai ziwa linacheza segere tu kifuani, halafu Kuna Yale Madera ya kushindia yamepauka 🤣🤣🤣🤣 dah, Yale yaliyoiva mapya mapya eti yakutokea.

 
mwanaume anajipambaje?
 
Ndiyo maana kuna kutoana out. Kama unataka apendeze mpeleka dinner, kanisani au hata kwenye sherehe.
Mwana JF usijaribu hiii ni hatari kwa maisha yako huko sasa ili nani amuone huko?? hivi akipewa mtoto wa ghafla huko na hao mimi nitamlilia nani mie!! mweee sitaki pressure ya kujitakia mie!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyuzi za JF ni kichekesho tupu lol.
 
Duuu! basi nakwambia kaa hivo hivo!! usithubutu kumuweka house Boy!! wale vijana hatari.... kwa kazi za ndani zote!!

House boy hawezi kuwa hatari kwangu mkuu

Hata nikiwa nae atabaki kuwa houseboy tuu..... namaanisha atabaki kuwa mtumishi au kijakazi wa kiume kwa kazi anazotakiwa kufanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…