Hahaha msusi akiwa mbaya na panadol juu,nikitoka kusuka huwa naapa sisuki tenaaa,ila nywele zangu zikishanichosha kuchana na kubana narudi kusukakwani ukiendaga kusuka mabutu huogopi shughuli ya kulala hiyo siku.... ndo urembo best.
uzuri kwa hii shughuli ikiisha unasahau...
Abominatiooooooooooncomments zako huwa zinanisisimua sana! ππ
Sis umenichekesha daahMi mshamba hadi naona aibu. Yaani waaaaa unachanua miguu halafu mdada sijui mkaka anakuhudumia humo? Na wale ambao hizi nywele zimeeksitendi mpaka kwenye mfereji wa makalio inabidi ahudumiwe na watu watatu. Mmoja anashikilia la huku mwingine la huku mwingine anawaksi! lol. Kama kuna anayefahamu saluni wanayosuka hizo nywele anifahamishe nami nikarembwe jamani japo mwanzo mgumu. Kipara sipendezi.
hahahaha, sipati picha kati kati ya gemu moshi unaanza kufukaSasa kama mkikutana mume ana kichaka na mke ana msitu.....wakati wa tendo lazima pawake moto...maana hiyo milipuko ni zaidi ya piston kwenye combustion chamber.....
Mkuu Naunga hoja Na umenena.Umuhimu wa uhusiano Mzuri kati ya Mke Na mume.Halafu Watu watasemaMpwa kuna haja gani ya kuanika tupu zako kwa watu wasio na mamlaka ya hata kuiona nguo yako ya ndani...??
Mimi nadhani jambo hili linaongeza sana mahaba na mwenzio kama utamshirikisha katika utendaji.....
Somebody hacked my account.....Abominatioooooooooon
Nani amekwambia hii? Professional football players mfano wale wa English Premier League wanafanyiwa massage na physio na wanaume, unajua sababu? Kwasababu hamna majaribu kama wakifanyiwa na mwanamke. Mimi mwenyewe nafanyiwa massage na daktari wa kiume as part of my treatment, hata siku moja siendi kwenye hizi massage parlour coz ni ngono tu wanapromote.Kuna tofauti massage huwezi kuta mwanaume anafanyiwa na mwanaume mwenzie ni wa kike ndo anamfanyia and vice versa, na massage inakurelax mtu na ukishikwa muda mrefu hata uwe mgumu vipi lazma utaamsha hisia tu
Waxing ni unafanyiwa na mwanamke mwenzio, ndani ya dk 10,Ina maumivuu,wax hio inakuwaga ya moto hivi wanapaka wanavuta kwa nguvu hata km we ni mtaalamu wa kuamsha ashki waxing ni mwisho wa relii huwezi kutulia kuvuta hisia kwa yale maumivu
Napata picha.....πππMi mshamba hadi naona aibu. Yaani waaaaa unachanua miguu halafu mdada sijui mkaka anakuhudumia humo? Na wale ambao hizi nywele zimeeksitendi mpaka kwenye mfereji wa makalio inabidi ahudumiwe na watu watatu. Mmoja anashikilia la huku mwingine la huku mwingine anawaksi! lol. Kama kuna anayefahamu saluni wanayosuka hizo nywele anifahamishe nami nikarembwe jamani japo mwanzo mgumu. Kipara sipendezi.
Kumbee mana story za humu JF massage parlour ni viroja vitupuNani amekwambia hii? Professional football players mfano wale wa English Premier League wanafanyiwa massage na physio na wanaume, unajua sababu? Kwasababu hamna majaribu kama wakifanyiwa na mwanamke. Mimi mwenyewe nafanyiwa massage na daktari wa kiume as part of my treatment, hata siku moja siendi kwenye hizi massage parlour coz ni ngono tu wanapromote.
Kama unanyoa ni vizuri za kwapa na kwenye papuchiMmmh! Hapanihusu!
Nimecheka sana!!Mi mshamba hadi naona aibu. Yaani waaaaa unachanua miguu halafu mdada sijui mkaka anakuhudumia humo? Na wale ambao hizi nywele zimeeksitendi mpaka kwenye mfereji wa makalio inabidi ahudumiwe na watu watatu. Mmoja anashikilia la huku mwingine la huku mwingine anawaksi! lol. Kama kuna anayefahamu saluni wanayosuka hizo nywele anifahamishe nami nikarembwe jamani japo mwanzo mgumu. Kipara sipendezi.
mmh ona na mimacho ilivyokutoka!Napata picha.....πππ
Hahahhaha balaaa lolAbominatioooooooooon
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Hahahhaha balaaa lol
Mm nadhani hajakosea kwa kuwa humu tumo watu wazima lakini pia watu waweze kuelewa vizuriBora angetumia neno mavumbi badala ya mavuzi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]