Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
aseeeee wewe wacha ukorofi 🤣🤣Acha umala... nyau ww
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aseeeee wewe wacha ukorofi 🤣🤣Acha umala... nyau ww
Sijui wanawake mnatuchukuliaje yaani tunaonekana ni watu ambao tuna shida za kila aina imagine mtu hujui status yake ila unawaza vile.Ahahahah kwani kuna shido...?
Nikuwowe basi mremboBro sina mwanaume hata😹😹
Kweli??? Fanya tu jambo jioni ya leo tuwashe ubani watu wanywe chai na kalmat dia.....Nikuwowe basi mrembo
Ahaaa dada hama huko mlimani au mabondeni utakosa bahati mkaka anakuja na gari lake akose pa kulipaki? Hama harakaningekuja pm mkuu,,sema napoishi gari haziingii kabisa.
Hahahaha,,anihamishe yeye basi.Ahaaa dada hama huko mlimani au mabondeni utakosa bahati mkaka anakuja na gari lake akose pa kulipaki? Hama haraka
😅kwenda
Wewe ukiumwa tax itakufata vip?Hahahaha,,anihamishe yeye basi.
Vibinti vya siku hizi vinakimbizana na pesa tu.Wanawake ifike mahali tembeeni pole pole sometime spidi zenu zinawakosesha Wanaume wa kuwaowa kama huyu mwenzenu
Mwezi uliopita naelekea nyumbani nikapitia njia ya Ferry ile nangia kwenye kivuko nikapaki Gari nikashuka, ile kushuka tu nikamuona binti mmoja ambae alinivutia sana na yeye akawa ananiangalia sna ila kutokana na adabu kwenda kumuongelesha mbele za watu nikaona aibu nikasema ngoja mda wakushuka nitajaribu kumfuatilia japo nlikuwa na Gari nikasema sawa cz ilikuwa mbele ila bado tukawa tunatazamana tu
Ile kushuka tu nikaona watu wa mbele ya kivuko wanakimbia sijui wanakimbilia wapi , na yeye akaunga spidi ikabidi nimfuatilie na gari nikakwama, nimeshuka najaribu kumkimbilia ile spidi nilikwama maana Gari niliiacha huku juu ningeibiwa or ingekamatwa ila yule Binti kakosa Bonge la bwana ila kila la heri kwake huenda mda huu tungekuwa tunapeleka barua kwao kama Tabia zake zingenifurahisha ila wanawake wapo wengi no way
Punguzeni mwendo shauri yenu
[emoji1787][emoji1787]Vibinti vya siku hizi vinakimbizana na pesa tu.
Huyo mwanamke anaeongoja apate mwanamme wa maana barabarani ni dada poa tu.
Nenda kona bar au Ohio, wale wa ubungo wamerudi au ndiyo bado wanapigwa vita?
Huko ndiyo kwenye wanawake wa barabarani, tena wametulia tuli, hawana mbio wala haraka.
Punguza utoto .Wanawake ifike mahali tembeeni pole pole sometime spidi zenu zinawakosesha Wanaume wa kuwaowa kama huyu mwenzenu
Mwezi uliopita naelekea nyumbani nikapitia njia ya Ferry ile nangia kwenye kivuko nikapaki Gari nikashuka, ile kushuka tu nikamuona binti mmoja ambae alinivutia sana na yeye akawa ananiangalia sna ila kutokana na adabu kwenda kumuongelesha mbele za watu nikaona aibu nikasema ngoja mda wakushuka nitajaribu kumfuatilia japo nlikuwa na Gari nikasema sawa cz ilikuwa mbele ila bado tukawa tunatazamana tu
Ile kushuka tu nikaona watu wa mbele ya kivuko wanakimbia sijui wanakimbilia wapi , na yeye akaunga spidi ikabidi nimfuatilie na gari nikakwama, nimeshuka najaribu kumkimbilia ile spidi nilikwama maana Gari niliiacha huku juu ningeibiwa or ingekamatwa ila yule Binti kakosa Bonge la bwana ila kila la heri kwake huenda mda huu tungekuwa tunapeleka barua kwao kama Tabia zake zingenifurahisha ila wanawake wapo wengi no way
Punguzeni mwendo shauri yenu
BONGE LA MWANAWanawake ifike mahali tembeeni pole pole sometime spidi zenu zinawakosesha Wanaume wa kuwaowa kama huyu mwenzenu
Mwezi uliopita naelekea nyumbani nikapitia njia ya Ferry ile nangia kwenye kivuko nikapaki Gari nikashuka, ile kushuka tu nikamuona binti mmoja ambae alinivutia sana na yeye akawa ananiangalia sna ila kutokana na adabu kwenda kumuongelesha mbele za watu nikaona aibu nikasema ngoja mda wakushuka nitajaribu kumfuatilia japo nlikuwa na Gari nikasema sawa cz ilikuwa mbele ila bado tukawa tunatazamana tu
Ile kushuka tu nikaona watu wa mbele ya kivuko wanakimbia sijui wanakimbilia wapi , na yeye akaunga spidi ikabidi nimfuatilie na gari nikakwama, nimeshuka najaribu kumkimbilia ile spidi nilikwama maana Gari niliiacha huku juu ningeibiwa or ingekamatwa ila yule Binti kakosa Bonge la bwana ila kila la heri kwake huenda mda huu tungekuwa tunapeleka barua kwao kama Tabia zake zingenifurahisha ila wanawake wapo wengi no way
Punguzeni mwendo shauri yenu
Ishara kuwa una tako zuri...huko nyuma unaaccha bonge la vibration🤣🤣🤣🤣Hao ni mimi
Nikitoka kanisani nakimbia kama nmeacha familia
Saa zote natembea haraka kama nawahi mahali
nikiumwa naita boda nakaa vizuuuri naenda hosp,, ingawa thanks God haijawah tokeaWewe ukiumwa tax itakufata vip?
Akuhamishe yeye? Ni sawa mazingira unayo ishi yanaweza kukucheleweshea bahati.
Heeeeh!! Jamani😂😂😂😂Waache pia kupanda bodaboda watembee tukutane nao kwa ground
Mambo yasiwe mengi🤣Uko wapi.....