Wanawake Punguzeni kutembea haraka mnakosa Mabwana wa maana

Wanawake Punguzeni kutembea haraka mnakosa Mabwana wa maana

ningekuja pm mkuu,,sema napoishi gari haziingii kabisa.
Ahaaa dada hama huko mlimani au mabondeni utakosa bahati mkaka anakuja na gari lake akose pa kulipaki? Hama haraka
 
Sio kila anaekuangalia sana amevutiwa na wewe, wengine wanakuwa wanakishangaa labda kuna kitu ambacho si cha kawaida unacho (huenda ulikuwa hujachana nywele alafu kichwani Kuna mabaki ya vipande vya magodoro (magodolo ya enzi zile anabaki anakushangaa)

By the way, shida sio bidada kuwa na haraka bali shida ipo kwako kwa kujifanya una heshima umeogopa macho ya watu utasema unafanya biashara ya magendo wakati kupenda ni mara moja hata kama mtu yupo na mzazi wake unajipenyeza tu
 
Wanawake ifike mahali tembeeni pole pole sometime spidi zenu zinawakosesha Wanaume wa kuwaowa kama huyu mwenzenu

Mwezi uliopita naelekea nyumbani nikapitia njia ya Ferry ile nangia kwenye kivuko nikapaki Gari nikashuka, ile kushuka tu nikamuona binti mmoja ambae alinivutia sana na yeye akawa ananiangalia sna ila kutokana na adabu kwenda kumuongelesha mbele za watu nikaona aibu nikasema ngoja mda wakushuka nitajaribu kumfuatilia japo nlikuwa na Gari nikasema sawa cz ilikuwa mbele ila bado tukawa tunatazamana tu

Ile kushuka tu nikaona watu wa mbele ya kivuko wanakimbia sijui wanakimbilia wapi , na yeye akaunga spidi ikabidi nimfuatilie na gari nikakwama, nimeshuka najaribu kumkimbilia ile spidi nilikwama maana Gari niliiacha huku juu ningeibiwa or ingekamatwa ila yule Binti kakosa Bonge la bwana ila kila la heri kwake huenda mda huu tungekuwa tunapeleka barua kwao kama Tabia zake zingenifurahisha ila wanawake wapo wengi no way

Punguzeni mwendo shauri yenu
Vibinti vya siku hizi vinakimbizana na pesa tu.

Huyo mwanamke anaeongoja apate mwanamme wa maana barabarani ni dada poa tu.

Nenda kona bar au Ohio, wale wa ubungo wamerudi au ndiyo bado wanapigwa vita?

Huko ndiyo kwenye wanawake wa barabarani, tena wametulia tuli, hawana mbio wala haraka.
 
Vibinti vya siku hizi vinakimbizana na pesa tu.

Huyo mwanamke anaeongoja apate mwanamme wa maana barabarani ni dada poa tu.

Nenda kona bar au Ohio, wale wa ubungo wamerudi au ndiyo bado wanapigwa vita?

Huko ndiyo kwenye wanawake wa barabarani, tena wametulia tuli, hawana mbio wala haraka.
[emoji1787][emoji1787]
 
gari itakua vits au ist mana watu wenye gari hizo ndio mamboyenu kuacha gari na kufukuzia mademu.

siwezi kuacha amaroki yangu au sport nifuate UTI Mimi😕
 
Wanawake ifike mahali tembeeni pole pole sometime spidi zenu zinawakosesha Wanaume wa kuwaowa kama huyu mwenzenu

Mwezi uliopita naelekea nyumbani nikapitia njia ya Ferry ile nangia kwenye kivuko nikapaki Gari nikashuka, ile kushuka tu nikamuona binti mmoja ambae alinivutia sana na yeye akawa ananiangalia sna ila kutokana na adabu kwenda kumuongelesha mbele za watu nikaona aibu nikasema ngoja mda wakushuka nitajaribu kumfuatilia japo nlikuwa na Gari nikasema sawa cz ilikuwa mbele ila bado tukawa tunatazamana tu

Ile kushuka tu nikaona watu wa mbele ya kivuko wanakimbia sijui wanakimbilia wapi , na yeye akaunga spidi ikabidi nimfuatilie na gari nikakwama, nimeshuka najaribu kumkimbilia ile spidi nilikwama maana Gari niliiacha huku juu ningeibiwa or ingekamatwa ila yule Binti kakosa Bonge la bwana ila kila la heri kwake huenda mda huu tungekuwa tunapeleka barua kwao kama Tabia zake zingenifurahisha ila wanawake wapo wengi no way

Punguzeni mwendo shauri yenu
Punguza utoto .
 
Wanawake ifike mahali tembeeni pole pole sometime spidi zenu zinawakosesha Wanaume wa kuwaowa kama huyu mwenzenu

Mwezi uliopita naelekea nyumbani nikapitia njia ya Ferry ile nangia kwenye kivuko nikapaki Gari nikashuka, ile kushuka tu nikamuona binti mmoja ambae alinivutia sana na yeye akawa ananiangalia sna ila kutokana na adabu kwenda kumuongelesha mbele za watu nikaona aibu nikasema ngoja mda wakushuka nitajaribu kumfuatilia japo nlikuwa na Gari nikasema sawa cz ilikuwa mbele ila bado tukawa tunatazamana tu

Ile kushuka tu nikaona watu wa mbele ya kivuko wanakimbia sijui wanakimbilia wapi , na yeye akaunga spidi ikabidi nimfuatilie na gari nikakwama, nimeshuka najaribu kumkimbilia ile spidi nilikwama maana Gari niliiacha huku juu ningeibiwa or ingekamatwa ila yule Binti kakosa Bonge la bwana ila kila la heri kwake huenda mda huu tungekuwa tunapeleka barua kwao kama Tabia zake zingenifurahisha ila wanawake wapo wengi no way

Punguzeni mwendo shauri yenu
BONGE LA MWANA
 
Wewe ukiumwa tax itakufata vip?

Akuhamishe yeye? Ni sawa mazingira unayo ishi yanaweza kukucheleweshea bahati.
nikiumwa naita boda nakaa vizuuuri naenda hosp,, ingawa thanks God haijawah tokea
 
Back
Top Bottom