Kwanini utembee haraka..Sijui wanawake mnatuchukuliaje yaani tunaonekana ni watu ambao tuna shida za kila aina imagine mtu hujui status yake ila unawaza vile.
Mtaka cha uvunguni......Jua kali hivi niache kutembea harakaharaka linichome kisa nataka mume π€£π€£
Kwahiyo wanaume ni cha uvunguni πMtaka cha uvunguni......
Eeh, afatwe kwa mwendo wa kobe....Mambo yasiwe mengiπ€£
Sasa wee huoni kutupata sisi ni bahati.. ahahahKwahiyo wanaume ni cha uvunguni π
Anh we mlivyojaa hivyoSasa wee huoni kutupata sisi ni bahati.. ahahah
π€£π€£π€£π€£ watu wa kigamboni kwa mbio utawaweza wapiningekuja pm mkuu,,sema napoishi gari haziingii kabisa.
Ahahaha upo comfortableAnh we mlivyojaa hivyo
Kabisa sina mashakaAhahaha upo comfortable
Una wazimu weweKabisa sina mashaka
MwenyeweUna wazimu wewe
Ogopa matapeli, Kigamboni hakuna bonge la bwanaπππningekuja pm mkuu,,sema napoishi gari haziingii kabisa.
Ahahahah wewe jiangalieMwenyewe
Eeh sasa unapanda bodaboda toka kazini inakushushia nyumban utakutana na sisi liniHeeeeh!! Jamaniππππ
π€£π€£π€£π€£ππ imepita bila kupingwa hiyo mchumbaaKweli??? Fanya tu jambo jioni ya leo tuwashe ubani watu wanywe chai na kalmat dia.....
tutadate na madereva boda wanapita had kwenye korongoπππ€£π€£π€£π€£ watu wa kigamboni kwa mbio utawaweza wapi
wacha ,,kajua tunashida ya magari saiviπππOgopa matapeli, Kigamboni hakuna bonge la bwanaπππ