Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Wewe kituko cha JFningekuja pm mkuu,,sema napoishi gari haziingii kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kituko cha JFningekuja pm mkuu,,sema napoishi gari haziingii kabisa.
Itakuwa na hapa nna bonge la mimba, nilikuwa nawahi clinic wakati ananifukuzia na passo yake 😹Utakua ni Wewe anakuita binti na una watoto sita
Kumbe ni wewe,,Uko wapi.....
Duuuh Noma sana mtoto wa 7 huyoItakuwa na hapa nna bonge la mimba, nilikuwa nawahi clinic wakati ananifukuzia na passo yake 😹
Niongee kitu mkuu au ninyamaze ahahahaUko wapi.....
DrySawa mkuu
Naye akizaliwa natafuta wa 8Duuuh Noma sana mtoto wa 7 huyo
Ni mwendo wa kisu tuNaye akizaliwa natafuta wa 8
Hivi we Evelyn Salt ushawahi kujaribu kuwa comedian?Uko wapi.....
Tumekuja kuzaliana sasa kwanini nibanie watu kuja kujionea dunia ilivyo??Ni mwendo wa kisu tu
Daaah mkuu hadi nabana makalio hapa sijui wataka kusema nini.....🤣🤣 Usijemwaga siri zangu, haupo bar?? 🤣🤣Niongee kitu mkuu au ninyamaze ahahaha
😁😁 mie ndio joti brazaHivi we Evelyn Salt ushawahi kujaribu kuwa comedian?
Unaonekana Mrembo kweli mpaka umemchanganya Jamaa we Msukuma?Tumekuja kuzaliana sasa kwanini nibanie watu kuja kujionea dunia ilivyo??