Wanawake punguzeni maringo

Wanawake punguzeni maringo

Chai
 

Attachments

  • FB_IMG_1718252341761.jpg
    FB_IMG_1718252341761.jpg
    68.8 KB · Views: 3
Wasalam wakuu.

Kumekuwa na tabia ya baadhi ya wadada kuwa na maringo. Unakuta mwanamke miaka 40 kupanda unatongzwa halafu anaweka maringo. Mkae mkijua wanaume wa sasa sio wakizamani ukiringa wanakukaushia.

Mtu mwenyewe sura mbaya hali ngumu watoto kama wote kila mtoto na baba yake wanakuzalishi na kukuacha halafu leo unapewa laki unaringa wakati unanjaa kama zote Haya endelea kulinga utakuja kuzikumbukua.

Najua unaringa kwasababu nimekukuta kota na nimejenga nikakuacha kota kibaya zaidi nimehama na kituo cha kazi .mtu unamiaka kumi na moja kazini hauna hata kiwanja.mimi miaka miwili nipo kwangu.nabado utazehekea kota wewe sura huna unataka kusaidiwa unaringa endelea kulinga najua unaumia kwa niliyoyafanya kwa muda mfupi niliokaa kazini.

Utakufa na roho mbaya yako ndiomaana haunenepi .
Hahahah ila bongo
 
Hongera mkuu Kwa kutema nyongo. Uwe unafanya hivi unapopata changamoto. Huyo demu achana naye. Kwa mwanaume kukataliwa ni Jambo la kawaida Sana.
 
Ushapigwa cha mbavu mkuu pole sana, mbunye ni yake huwez kumpangia ampe nani amnyime nani
 
Single mama gani tena huyo kakukataa?? Kweli wanaume mna hekaheka!! Ndio mjue wanawake siku hizi hawaendekezi ujinga. Hadi single maza mwenye umri mkubwa kakukataa [emoji23][emoji23][emoji23]
Hatariiii tupuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Akataliwe jamaa yako, uchungu upate wewe na vichambo juu!!

Teh teh teeeh!
Huyu ipo siku atajisikia kichefuchefu na kutapika afu aseme amemsaidia mke wa jirani kubeba mimba
 
Huyu ana gundu tuu, na kwa hy hali hakuna namna ya kufuta hilo gundu.
Single maza wa miaka 40 kila mtoto na baba yake na anaishi kota bado akukatae hahaha hatari sana

Ila mwanetu naye kwa nini ahangaike na single maza mshangazi wakati kuna vibinti vibichi kabisa
 
Back
Top Bottom