Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
sawa hongera,,utunzwe coz ni mali adimuHapa hapa Bongo, Mimi ni mmojawapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa hongera,,utunzwe coz ni mali adimuHapa hapa Bongo, Mimi ni mmojawapo.
Huyo jamaa yake ni yeye mwenyewe [emoji3]Akataliwe jamaa yako, uchungu upate wewe na vichambo juu!!
Teh teh teeeh!
Hahahah ila bongoWasalam wakuu.
Kumekuwa na tabia ya baadhi ya wadada kuwa na maringo. Unakuta mwanamke miaka 40 kupanda unatongzwa halafu anaweka maringo. Mkae mkijua wanaume wa sasa sio wakizamani ukiringa wanakukaushia.
Mtu mwenyewe sura mbaya hali ngumu watoto kama wote kila mtoto na baba yake wanakuzalishi na kukuacha halafu leo unapewa laki unaringa wakati unanjaa kama zote Haya endelea kulinga utakuja kuzikumbukua.
Najua unaringa kwasababu nimekukuta kota na nimejenga nikakuacha kota kibaya zaidi nimehama na kituo cha kazi .mtu unamiaka kumi na moja kazini hauna hata kiwanja.mimi miaka miwili nipo kwangu.nabado utazehekea kota wewe sura huna unataka kusaidiwa unaringa endelea kulinga najua unaumia kwa niliyoyafanya kwa muda mfupi niliokaa kazini.
Utakufa na roho mbaya yako ndiomaana haunenepi .
Ndioooo😅Huyo jamaa yake ni yeye mwenyewe [emoji3]
amin kwamba.Hongera mkuu Kwa kutema nyongo. Uwe unafanya hivi unapopata changamoto. Huyo demu achana naye. Kwa mwanaume kukataliwa ni Jambo la kawaida Sana.
Sizitaki mbichi hizi,msemo wa sunguraHaaaahaaa hanasoko sura mbaya roho mbaya tako hana .
Mbona migodi ni mingi hasira za niniMkuu, asipokuelewa si unaangalia tu kwingine! Hasira ya nini?
Hatariiii tupuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Single mama gani tena huyo kakukataa?? Kweli wanaume mna hekaheka!! Ndio mjue wanawake siku hizi hawaendekezi ujinga. Hadi single maza mwenye umri mkubwa kakukataa [emoji23][emoji23][emoji23]
Nilikuwa naitafuta hii comment 🤣Mbona km wee ndo unaumia kuliko huyo mama aliye kukataa?? Poleeeew sana,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu ana gundu tuu, na kwa hy hali hakuna namna ya kufuta hilo gundu.Single mama gani tena huyo kakukataa?? Kweli wanaume mna hekaheka!! Ndio mjue wanawake siku hizi hawaendekezi ujinga. Hadi single maza mwenye umri mkubwa kakukataa 😂😂😂
Wewe tako unalo?Haaaahaaa hanasoko sura mbaya roho mbaya tako hana .
Huyu ipo siku atajisikia kichefuchefu na kutapika afu aseme amemsaidia mke wa jirani kubeba mimbaAkataliwe jamaa yako, uchungu upate wewe na vichambo juu!!
Teh teh teeeh!
Single maza wa miaka 40 kila mtoto na baba yake na anaishi kota bado akukatae hahaha hatari sanaHuyu ana gundu tuu, na kwa hy hali hakuna namna ya kufuta hilo gundu.
Shangaa mpk anakataliwa na mama mtu mzima??Huyu ana gundu tuu, na kwa hy hali hakuna namna ya kufuta hilo gundu.
Eti anakataliwa na single maza wa 40?? Hebu atume picha yake tumuone kwanzaHatariiii tupuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]