Drizzle
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 4,858
- 14,733
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
angalau ukidanganya 3-5 ni rahisi kueleweka bt 1 or 2 hapo anajua kabisa we muongo muongoKasema ukweli wasizidi watano idadi yetu hiyo
miaka 28 ndio atolewe bikra? labda ya ndogo mkuu, mazingira ya sasa hayampi nafasi ke ya kuitunza bikra yake walau hata akafikisha miaka 20, nadhani hata wewe ilitolewa under 20Ukweli upi sasa nawewe..kwahiyo ulitegemea kutokana na umri wake akujibu amedate na wanaume 9 au?!!..Kuna wengine bikira wametolewa na 28 usikariri mjomba.
Bisha tu.miaka 28 ndo atolewe bikra? labda ya ndogo mkuu, mazingira ya sasa hayampi nafasi ke ya kuitunza bikra yake walau hata akafikisha miaka 20, nadhani hata wewe ilitolewa under 20
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa kweliAache kulalamika eti
[emoji3][emoji3] kweli kabisaKamtoa bk mtu 1 at the age of 20 labda wakadumu 3yrs akapumzika 1yr akadate 3yrs tena wakaachana
Ss unashangaa nn kuna watu hawana nyeti za promosheni mkuu usishangae
Sasa unataka idadi ya aliodate nao ili ugundue nini?
wanawake kwa kutetea ujinga hamjambo[emoji3][emoji3] kweli kabisa
mkuu hili swali hua ni mtego kumjua ke alivo, akijibu 3+ huyo angalau bt akijibu 1 or 2 ujue hapo hamna kituSasa ulitaka akujibu wangapi ndyo nafsi yako iridhike??, afu hilo swali lengo hasa ni kujua mileage ilivosoma sana ama kidogo??, then what
Tunataka tujue ili tujue tunafanyaje. Tukianza mechi tukabe na kushambulia kwa kushtukiza au tupaki basi kama ni akasombo damSasa ulitaka akujibu wangapi ndyo nafsi yako iridhike??, afu hilo swali lengo hasa ni kujua mileage ilivosoma sana ama kidogo??, then what
hapa lazima mu-act watakatifu sana bt hiyo haitaufuta uhalisiaBisha tu.
Swali la kijinga sana hata Msukuma na Lusinde hawawezi kuuliza ujinga huu.natumai hamjambo wakuu
jana nikiwa katika harakati zangu za hapa na pale nilikutana na dada mmoja matata wa age ya 27-30, nikawa nimemwelewa sana nikaomba tubadilishane contact akakubali bt alikuja nitibua nilipomuuliza ushadate na wangapi eti kwa umri huo ananijbu wawili, dah! alinikata stim kabisa hadi nikagairisha mtongoza.
niwaase wadada mpunguze uongo usio na tija coz kuna nyakati mtakuja chezea bahati mkachengana na magari ya mishahara.
Umekariri.hapa lazima mu-act watakatifu sana bt hiyo haitaufuta uhalisia
Vipi wewe hobby yako ni kudate na wanawake waliokwisa date na wanaume milioni?Natumai hamjambo wakuu
Jana nikiwa katika harakati zangu za hapa na pale nilikutana na dada mmoja matata wa age ya 27-30, nikawa nimemwelewa sana nikaomba tubadilishane contact akakubali but alikuja nitibua nilipomuuliza ushadate na wangapi eti kwa umri huo ananijbu wawili, dah! alinikata stim kabisa hadi nikagairisha mtongoza.
Niwaase wadada mpunguze uongo usio na tija coz kuna nyakati mtakuja chezea bahati mkachengana na magari ya mishahara.