Wanawake shida yenu nini mpaka mkiona mtu ana gari mnababaika?

Wanawake shida yenu nini mpaka mkiona mtu ana gari mnababaika?

Mwe Mughonileeeeee(Mtaelewa tu, mbona amapiano mnasikikiza).

Jana bwana nimetulia pale maeneo ninayoishi ghafla nikapokea simu toka kwa mshaji wangu ambaye tunaiva ile kinazi akiniambia muda si mrefu atapiga hapa kwangu na gari yake ataiacha hapa maana watu anaotakiwa kuonana nao hawatakiwi kujua kama mchizi ana gari (Harrier nyeusi, huku kwetu tunaziita Python maana ukiziangalia zinakuita).

Basi bwana jamaa akafika nakuliacha gari pale nilipopanga na uzuri majirani hawakuwepo hivyo walivyokuja wakalikuta na kwa mikwara zaidi nikafungua buti kule nyuma nikakaa kwa ndani huku nimefungulia bonge la mziki (niliplay ngoma moja kali sana ya T.I - What You Know). Wakabaki wanatoatoa macho tu mimi naminya minya zangu simu maana bando liko full mpaka data ilikuwa inajiwasha yenyewe.

Ghafla bin vuu nikapata wazo la kwenda na ile ndinga kwenye car wash moja hivi wana bar moja kali sana pale, pia hiyo car wash iko mkabala na chuo kimoja kikubwa sana hapa town.

Ile naingia tu nakuta kundi kubwa la madem pale na waliniona ninavyoshuka kwenye Harrier, walikuwa wanakunywa lite zao huku wakipiga stori za cozwek nikajua tu hawa ni wanachuo wa chuo X na ni wamoto hatari kuanzia mavazi mpaka shape.

Basi mtaalam nikatimba pale sina stori na mtu kwanza nikaagiza carton mbili za heineken (Mimi na heineken wapi na wapi? Mimi zangu ni K-Vant na konyagi sana sana nikikosaga hizo basi naruka na bingwa kadhaa. Nilifanya hivyo ili tu niwatoe wenge hawa maslay queen). Na kweli niliwatoa wenge maana macho yote yakahamia kwangu, vi lite vyenyewe wanalamba lamba tu kidogo ili visiishe haraka na wakicheki huku mjuba nina carton mbili za heineken.

Sikuwapa hata muda wa kupumzika mammaaeee nikaita mtu wa jikoni fasta ikaja kitimoto gafla kilo moja na nusu. Mmoja wao kati ya wale madem uzalendo ukamshinda akajifanya anaenda washroom njia iko kuleee ila akapita pembeni ya meza yangu na mtako wake mimi namcheki tu kiwizi wizi anavyoutingisha ili nimuone.

Picha linaanza wakati anarudi. Akasimama mbele yangu na kunisalimia "mambo" .. nikamjibu safi habari yako!!? Akasema I'm good(na vingereza vyao vya kislay slay).

Mara oooh would you mind if we join your table? Nikamwambia no but some of you..... Akarudisha tena swali kwangu.... Yupi na yupi.? Hapo sasa simba nikapewa uwanja wa kuchagua swala... Nikawachagua wawili toka kwenye lile group na yeye pia jumla wakawa watatu.

Nikawaambia malizieni hizo heineken nikaitisha tena kilo mbili za kitomoto nikawaambia mkimaliza tuhame kiwanja twende sehem nzuri zaidi wakasema poa.

Wamemaliza nikawakokota mpaka kwenye harrier(kama yangu vile kumbe walaa kidume navimba tu).

Kufupisha huu mkasa tuliishia kupiga sijui ndiyo wanaita threesome au kitu gani. Niliwakung'uta wote watatu tukiwa humo humo chumbani, niliwapiga bao moja moja ila wa mwisho ndiyo alikoma maana bao lilikuwa halitoki.

Nikaagana nao bila kuwapa hata sh mia. Nikawasha gari nduki nikamtumia mesej yule aliyenifata mara ya kwanza kuwa nitawacheki weekend ijayo niwapekeke dodoma wakaone mji mpya akasema tutafurahi sana dear.

Lakini hii yote ni nguvu ya gari tu. Wanawake kwani hamutajui magari?

Kipi kinafanya mtu akiwa na gari unamuona kama Mungu mtu?

Mbona sisi wanawake wenye magari hatuwashibokei ila nyie ndiyo viherehere mnayajua sana magari.

Nimewalamba wote watatu chumba kimoja humo humo kisa gari. Na walikuwa wanafanya kila nilichowaambia (usiulize niliwafanyaje)
MMOJA TAYARI KAOLEWA NA BWEGE FLANI HIVI.
BWEGE ALIPIGA GOTI WAKATI WA KUVISHA PETE,
ALILIA KAMA MTOTO KUPATA MKE MWEMA,
 
kwa sababu wanawake wanafanana na magari wao pia ni mali ko huvutiwa pia na mali nyingine ko ukiwa na mali unaweza pata mali nyingine ya mwanamke
 
MMOJA TAYARI KAOLEWA NA BWEGE FLANI HIVI.
BWEGE ALIPIGA GOTI WAKATI WA KUVISHA PETE,
ALILIA KAMA MTOTO KUPATA MKE MWEMA,
Kwani uwa hampendi kupiga goti? Mnalichukuliaje hilo suala?
 
Mimi leo nilikua kituo flani cha afya nikiwa na Mgonjwa wangu pale nikaulizwa na Nurser wa zamu kuwa umeisha agiza boda aje kumpeleka mgonjwa wako nyumban maana alikuwa ameruhusiwa kuondoka nikamwambia kuna gari basi dada wa watu kachanganyikiwa mara ohh niachie hela ya jojo da hawa viumbe na magari huwaambii kitu
 
Mimi leo nilikua kituo flani cha afya nikiwa na Mgonjwa wangu pale nikaulizwa na Nurser wa zamu kuwa umeisha agiza boda aje kumpeleka mgonjwa wako nyumban maana alikuwa ameruhusiwa kuondoka nikamwambia kuna gari basi dada wa watu kachanganyikiwa mara ohh niachie hela ya jojo da hawa viumbe na magari huwaambii kitu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan kusema Una gari, ndo yeye akaanza kuomba hela ya jojo? Woiiih
 
Mwaka wa kumi na tano huu nabadilisha tu magari sijawahi kukosa gari, tangu kijana mdogo tu, ila katu sijawahi tumia gari as human shield kupata warembo, wale waliosoma sheria za kivita wanaelewa....huwa hata nikiwa barabarani naendesha nikiona pisi kali huwa napita mbele kabisa nashuka bila yeye kuniona natembea na miguu namtokea one on one on ground level....maana mi najiamini mno kuwa personality yangu haijengwi na vitu
 
Ukiona hivo ujue kinachowaziwa hapo ni pesa na si vingineyo
 
Mwe Mughonileeeeee(Mtaelewa tu, mbona amapiano mnasikikiza).

Jana bwana nimetulia pale maeneo ninayoishi ghafla nikapokea simu toka kwa mshaji wangu ambaye tunaiva ile kinazi akiniambia muda si mrefu atapiga hapa kwangu na gari yake ataiacha hapa maana watu anaotakiwa kuonana nao hawatakiwi kujua kama mchizi ana gari (Harrier nyeusi, huku kwetu tunaziita Python maana ukiziangalia zinakuita).

Basi bwana jamaa akafika nakuliacha gari pale nilipopanga na uzuri majirani hawakuwepo hivyo walivyokuja wakalikuta na kwa mikwara zaidi nikafungua buti kule nyuma nikakaa kwa ndani huku nimefungulia bonge la mziki (niliplay ngoma moja kali sana ya T.I - What You Know). Wakabaki wanatoatoa macho tu mimi naminya minya zangu simu maana bando liko full mpaka data ilikuwa inajiwasha yenyewe.

Ghafla bin vuu nikapata wazo la kwenda na ile ndinga kwenye car wash moja hivi wana bar moja kali sana pale, pia hiyo car wash iko mkabala na chuo kimoja kikubwa sana hapa town.

Ile naingia tu nakuta kundi kubwa la madem pale na waliniona ninavyoshuka kwenye Harrier, walikuwa wanakunywa lite zao huku wakipiga stori za cozwek nikajua tu hawa ni wanachuo wa chuo X na ni wamoto hatari kuanzia mavazi mpaka shape.

Basi mtaalam nikatimba pale sina stori na mtu kwanza nikaagiza carton mbili za heineken (Mimi na heineken wapi na wapi? Mimi zangu ni K-Vant na konyagi sana sana nikikosaga hizo basi naruka na bingwa kadhaa. Nilifanya hivyo ili tu niwatoe wenge hawa maslay queen). Na kweli niliwatoa wenge maana macho yote yakahamia kwangu, vi lite vyenyewe wanalamba lamba tu kidogo ili visiishe haraka na wakicheki huku mjuba nina carton mbili za heineken.

Sikuwapa hata muda wa kupumzika mammaaeee nikaita mtu wa jikoni fasta ikaja kitimoto gafla kilo moja na nusu. Mmoja wao kati ya wale madem uzalendo ukamshinda akajifanya anaenda washroom njia iko kuleee ila akapita pembeni ya meza yangu na mtako wake mimi namcheki tu kiwizi wizi anavyoutingisha ili nimuone.

Picha linaanza wakati anarudi. Akasimama mbele yangu na kunisalimia "mambo" .. nikamjibu safi habari yako!!? Akasema I'm good(na vingereza vyao vya kislay slay).

Mara oooh would you mind if we join your table? Nikamwambia no but some of you..... Akarudisha tena swali kwangu.... Yupi na yupi.? Hapo sasa simba nikapewa uwanja wa kuchagua swala... Nikawachagua wawili toka kwenye lile group na yeye pia jumla wakawa watatu.

Nikawaambia malizieni hizo heineken nikaitisha tena kilo mbili za kitomoto nikawaambia mkimaliza tuhame kiwanja twende sehem nzuri zaidi wakasema poa.

Wamemaliza nikawakokota mpaka kwenye harrier(kama yangu vile kumbe walaa kidume navimba tu).

Kufupisha huu mkasa tuliishia kupiga sijui ndiyo wanaita threesome au kitu gani. Niliwakung'uta wote watatu tukiwa humo humo chumbani, niliwapiga bao moja moja ila wa mwisho ndiyo alikoma maana bao lilikuwa halitoki.

Nikaagana nao bila kuwapa hata sh mia. Nikawasha gari nduki nikamtumia mesej yule aliyenifata mara ya kwanza kuwa nitawacheki weekend ijayo niwapekeke dodoma wakaone mji mpya akasema tutafurahi sana dear.

Lakini hii yote ni nguvu ya gari tu. Wanawake kwani hamutajui magari?

Kipi kinafanya mtu akiwa na gari unamuona kama Mungu mtu?

Mbona sisi wanawake wenye magari hatuwashibokei ila nyie ndiyo viherehere mnayajua sana magari.

Nimewalamba wote watatu chumba kimoja humo humo kisa gari. Na walikuwa wanafanya kila nilichowaambia (usiulize niliwafanyaje)
Hapo sio gari ni mfuko wako!
 
Back
Top Bottom