Wanawake tafuteni hela zenu ni raha sana

Wanawake tafuteni hela zenu ni raha sana

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
27,031
Reaction score
49,928
Niseme tu nilikuwa napenda hela Sana, yaani ulikuwa ukinitongoza tu unalipia.mwanaume nikitoka nae out akinirudisha asiponipa hela yaani nablock mazima .ila toka niwe na akili za kutafuta hela yaani siangalii hela ya mtu.nacheki tu hekima yake na akili zake.

Mwanamke account yako ikisoma m 10 tu haki hata ndoto unazoota usiku zinabadilika.kuwa na hela raha jamani acheni.january tu unaamua umsaidie Nani au ukale bata wapi.

Kwanini utamani kupata mwanamme tajiri usiombe wewe kuwa tajiri??
Hakuna shortcut ya kupata hela.
Ushauri wangu wa mwisho kwa wanawake.usilale na mwanamme ili akupe hela.

Badala yake fanya kazi kwa bidii Sana uza hata ice cream au chapati kumi kwa siku
atatokea tu mwanaume mzuri atakuona kwenye biashara zako atakusaidia tena sio sio kwa sex. Sio lazima atokee mwanaume connection itatokea tu maana imeandikwa mguu unaotoka umefanyiwa dua na mtume ni mguu wa kupata ridhki.
 
Niseme tu nilikuwa napenda hela Sana,yaani ulikuwa ukinitongoza tu unalipia.mwanaume nikitoka nae out akinirudisha asiponipa hela yaani nablock mazima .ila toka niwe na akili za kutafuta hela yaani siangalii hela ya mtu.nacheki tu hekima yake na akili zake
Mwanamke account yako ikisoma m 10 tu haki hata ndoto unazoota usiku zinabadilika.kuwa na hela raha jamani acheni.january tu unaamua umsaidie Nani au ukale bata wapi.

Kwanini utamani kupata mwanamme tajiri usiombe wewe kuwa tajiri??
Hakuna shortcut ya kupata hela.
Ushauri wangu wa mwisho kwa wanawake.usilale na mwanamme ili akupe hela
Badala yake fanya kazi kwa bidii Sana uza hata ice cream au chapati kumi kwa siku
atatokea tu mwanaume mzuri atakuona kwenye biashara zako atakusaidia tena sio sio kwa sex. Sio lazima atokee mwanaume connection itatokea tu maana imeandikwa mguu unaotoka umefanyiwa dua na mtume ni mguu wa kupata ridhki.
Umekuwa sasa.

Natafuta mchumba 🤣🤣🤣🤣
 
Niseme tu nilikuwa napenda hela Sana, yaani ulikuwa ukinitongoza tu unalipia.mwanaume nikitoka nae out akinirudisha asiponipa hela yaani nablock mazima .ila toka niwe na akili za kutafuta hela yaani siangalii hela ya mtu.nacheki tu hekima yake na akili zake
Mwanamke account yako ikisoma m 10 tu haki hata ndoto unazoota usiku zinabadilika.kuwa na hela raha jamani acheni.january tu unaamua umsaidie Nani au ukale bata wapi.

Kwanini utamani kupata mwanamme tajiri usiombe wewe kuwa tajiri??
Hakuna shortcut ya kupata hela.
Ushauri wangu wa mwisho kwa wanawake.usilale na mwanamme ili akupe hela.

Badala yake fanya kazi kwa bidii Sana uza hata ice cream au chapati kumi kwa siku
atatokea tu mwanaume mzuri atakuona kwenye biashara zako atakusaidia tena sio sio kwa sex. Sio lazima atokee mwanaume connection itatokea tu maana imeandikwa mguu unaotoka umefanyiwa dua na mtume ni mguu wa kupata ridhki.
Wale wa tuma na ya kutolea wamekusikia na kwenye chama chao wamekutoa kwa tamko hili.[emoji2][emoji2]
 
Kweli ukiwa na hela yako full confidence no stress hata na umalaya unaisha kabisa. Nashauri wanawake tutafte hela zetu Ili tuwe na amani Mimi binafsi nachukia kuomba omba, sio una shida una omba mtu hela badala akupe msaada anataka akulale
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]𝕦𝕟𝕘𝕖𝕛𝕦𝕒 𝕨𝕒𝕟𝕒𝕨𝕒𝕜𝕖 𝕨𝕖𝕟𝕫𝕒𝕜𝕠 𝕨𝕒𝕟𝕒𝕧𝕠𝕜𝕦𝕔𝕙𝕖𝕜𝕒 𝕦𝕟𝕒𝕧𝕠𝕥𝕦𝕞𝕚𝕒 𝕟𝕘𝕦𝕧𝕦 nying
 
Haitokaa itokee mm nimuombe hela mwanaume coz vihela vya kwangu nilivyo navyo nakula nakunywa naridhika na hicho kidogo nilicho nacho.
Ila sio mwamba hela yenu siitaki kuna njia naitumia kuipata bila kuiomba.

LAKINI.................
Kazi no moja ya mwanaume ni kuhudumia mwanamke. Hii ipo wazi wanaume msibweteke na watakaochangia wakificha makucha

Mwanaume anaejitambua lazima atoe matumizi hata kama hujaombwa tofauti na hapo kila mtu abaki na chake.

N.b mdada pesa yako msaidie mwanaume ambae anakusaidia tu.

Mungu wabariki wadada ambao hawajapata kazi mwaka huu wote wapate kazi.
 
Back
Top Bottom