Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Ila wanaume hawezi kukupa kitu bila kumpa kitu Yani loh,Hahahahaah.....lol!!
Kinaanzaje kuwasha na umenunua kwa pesa yako!
Angekununulia mwanaume, siku ya kwenda kuichukua na kitombo juu.
Zinakuja KWA step na tofauti ukiwa na shida badala mtu akupe msaada ka binadamu mwingine una stress anataka akulale kwanza Yani huwa hainogi hyo kabisa. Ila nikiwa na vyangu na have fun na nimtakaye bila condition na stressUnataka kunambia cariha ukiwa na hela unakuwa na kinyaa na mb.oo?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ila nyie huwa mnatutesa Sana aisee kisa umaskini wallah.Women love money while Men love sex..
It's just a matter of makubaliano ya kupeana
Mawazo ya kihenga haya!Niseme tu nilikuwa napenda hela Sana, yaani ulikuwa ukinitongoza tu unalipia.mwanaume nikitoka nae out akinirudisha asiponipa hela yaani nablock mazima .ila toka niwe na akili za kutafuta hela yaani siangalii hela ya mtu.nacheki tu hekima yake na akili zake
Mwanamke account yako ikisoma m 10 tu haki hata ndoto unazoota usiku zinabadilika.kuwa na hela raha jamani acheni.january tu unaamua umsaidie Nani au ukale bata wapi.
Kwanini utamani kupata mwanamme tajiri usiombe wewe kuwa tajiri??
Hakuna shortcut ya kupata hela.
Ushauri wangu wa mwisho kwa wanawake.usilale na mwanamme ili akupe hela.
Badala yake fanya kazi kwa bidii Sana uza hata ice cream au chapati kumi kwa siku
atatokea tu mwanaume mzuri atakuona kwenye biashara zako atakusaidia tena sio sio kwa sex. Sio lazima atokee mwanaume connection itatokea tu maana imeandikwa mguu unaotoka umefanyiwa dua na mtume ni mguu wa kupata ridhki.
Hilo ndo tatizo lao.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Ila wanaume hawezi kukupa kitu bila kumpa kitu Yani loh,
No free lunch!Kweli ukiwa na hela yako full confidence no stress hata na umalaya unaisha kabisa. Nashauri wanawake tutafte hela zetu Ili tuwe na amani Mimi binafsi nachukia kuomba omba, sio una shida una omba mtu hela badala akupe msaada anataka akulale
Mie na hela sana tu. Nitumie picha yako kwanzaUna hela???
Watu ambao tuna hela, tunapenda mwanamke mpambanaji sababu HATUTAKI KUFUJA MALI KIZEMBE. Tunataka ziongezeke. Na ndio ukipata mwanamke anajielewa kwa hilo, mamilioni yako atayapata tu. Hata ikipotea kwa mradi ni sawa, lakini sio kila siku starehe tu. Kazi na starehe huku utajiri unazidi kuongezeka. Hata Jeff bezos na elon musk ambao ni matajiri na mabilionea kuliko wote duniani wakishika nafasi ya kwanza na ya pili duniani.. hata hao bado HAWARIDHIKI. Bado wanapambana kuongeza utajiri wao.Niseme tu nilikuwa napenda hela Sana, yaani ulikuwa ukinitongoza tu unalipia.mwanaume nikitoka nae out akinirudisha asiponipa hela yaani nablock mazima .ila toka niwe na akili za kutafuta hela yaani siangalii hela ya mtu.nacheki tu hekima yake na akili zake
Mwanamke account yako ikisoma m 10 tu haki hata ndoto unazoota usiku zinabadilika.kuwa na hela raha jamani acheni.january tu unaamua umsaidie Nani au ukale bata wapi.
Kwanini utamani kupata mwanamme tajiri usiombe wewe kuwa tajiri??
Hakuna shortcut ya kupata hela.
Ushauri wangu wa mwisho kwa wanawake.usilale na mwanamme ili akupe hela.
Badala yake fanya kazi kwa bidii Sana uza hata ice cream au chapati kumi kwa siku
atatokea tu mwanaume mzuri atakuona kwenye biashara zako atakusaidia tena sio sio kwa sex. Sio lazima atokee mwanaume connection itatokea tu maana imeandikwa mguu unaotoka umefanyiwa dua na mtume ni mguu wa kupata ridhki.
It depends my dear Kuna Ile misaada ya utu ka kutoa sadaka bila condition KWA mwenye uhitaji hyo no problem na sio kutumia shida za wengine kujinufaishaNo free lunch!
Everything has a price mkuu, trust me! Mwanaume kukusaidia tu for no obvious reasons labda akuone mshkaji wake(muwe marafiki wa kawaida) Ila kama ngono ipo katikati lazima you'll pay for it some day.It depends my dear Kuna Ile misaada ya utu ka kutoa sadaka bila condition KWA mwenye uhitaji hyo no problem na sio kutumia shida za wengine kujinufaisha
Sijui wanaume wa kizazi hichi Wana shida gani Yani hawajui kuhonga ndo maana hawana SAUTi kabisa, Ila wanatufundisha kujituma na kutafta za kwetu Ila wasahau heshima.Hilo ndo tatizo lao.
Wanaona pussy ndo kila kitu
Ndio maana tunaona heri tupate za kutumia halali kuliko kupata za mwanaume na majudo juu
Maana sa hv mwanaume ukimuomba pesa tu, anakuitia ghetto ukaichukue.
Ukifika huko mpaka uipate...mmegawana jasho
Hili somo nimefundisha zaidi ya wanawake 7 amefaulu mmoja tena kapata c.Sijui wewe umewezaje kufaulu FULL?Niseme tu nilikuwa napenda hela Sana, yaani ulikuwa ukinitongoza tu unalipia.mwanaume nikitoka nae out akinirudisha asiponipa hela yaani nablock mazima .ila toka niwe na akili za kutafuta hela yaani siangalii hela ya mtu.nacheki tu hekima yake na akili zake
Mwanamke account yako ikisoma m 10 tu haki hata ndoto unazoota usiku zinabadilika.kuwa na hela raha jamani acheni.january tu unaamua umsaidie Nani au ukale bata wapi.
Kwanini utamani kupata mwanamme tajiri usiombe wewe kuwa tajiri??
Hakuna shortcut ya kupata hela.
Ushauri wangu wa mwisho kwa wanawake.usilale na mwanamme ili akupe hela.
Badala yake fanya kazi kwa bidii Sana uza hata ice cream au chapati kumi kwa siku
atatokea tu mwanaume mzuri atakuona kwenye biashara zako atakusaidia tena sio sio kwa sex. Sio lazima atokee mwanaume connection itatokea tu maana imeandikwa mguu unaotoka umefanyiwa dua na mtume ni mguu wa kupata ridhki.
Hapana kwa kweli mwenzako ana shida wewe wataka papuchi si umtatulie kwanza shida huko baadae akupe kwa ridhaa yake na sio shida, naona hyo kitu haiko fair.Everything has a price mkuu, trust me! Mwanaume kukusaidia tu for no obvious reasons labda akuone mshkaji wake(muwe marafiki wa kawaida) Ila kama ngono ipo katikati lazima you'll pay for it some day.
Mtaji nilipewa baada ya kuonesha mwelekeo mzuri.nilianza mwenyeweMiss kuwa na shukurani bana,hapo umesema uliwachuna sana wanaume mpaka ukapata mtaji Wa juice.
Mnyonge mnyongeni ila haki yake apewe bana.
Nina hela mpaka naumwa .sitaki Tena kudangaHakikisha umenipa namba ya simu kuna hela nataka unipe ili nikupe
Ukianza tu kidogo baraka zinafunguka mnooWords[emoji625]