Wanawake tafuteni hela zenu ni raha sana

Wanawake tafuteni hela zenu ni raha sana

Kama ingekuwa hivo nyapu yangu ingekuwa na sugu aisee.
Achana na kutaka cha bure, mwingine akishakuwa 'mteja' mzoefu, anajipunguzia bei kidogo kidogo kisa eti ashakuwa mteja mzoefu...hakuna hiyo.
Pesa yako, huduma yako.

Na wanaume wengine walivyo na mashine jamani acheni walipie tu
Pesa wanawake wanatafuta lakin uchi uthaminiwe [emoji23]
 
Ila team moja ndio itaumia kuliko ingine.
Kwa maana hiyo Extrovert nikiomba pesa ya maji kwako lazima nichezee mshedede?
Tuoneeni huruma jama.
Mwanamke kaombewa kupewa.
Penzi linafatia baadae

Nimemiss jukwaa letu tatizo ulipoteaa halaf ukamuombea mshana hapo ndio tatizo lilianza
Wajumbe washapoteanaa
 
Na wanaume wengine walivyo na mashine jamani acheni walipie tu
Pesa wanawake wanatafuta lakin uchi uthaminiwe [emoji23]
Acha tu shoga angu...wanaume wanashindana na walipotoka, ukiuliza sababu eti nimekula pesa yake, kwa pesa gani bhana ya kutugaragaza mpaka ukiingiza kidole hakipiti...uchi umeumuka kama mahamri ya 500.
Wanaume wathamini nyuchi zetu jamani.
Hata kama sio sabuni kusema itaisha ila wamezidi.
Hatuna pa kusemea, ila ujumbe wataupata au sio shogaleeeee....

Dinazarde nilikumiss sana shost.
Shunie kanikumbusha mbali sana
Espy sijui hata kama yupo jamani....khaaa!!!
 
Nimemiss jukwaa letu tatizo ulipoteaa halaf ukamuombea mshana hapo ndio tatizo lilianza
Wajumbe washapoteanaa
Tumepoteana kwani kidogo.
Kila mtu kaangukia upande wake...
Walioanguka chali, walioanguka kifudifudi alimradi tafarani uwanjani.

Ila lile jukwaa jamani lilikuwa lina raha yake.
Tulikuwa tunajiachia si kwa kitoto.
Tukipata hamu tunaenda kule kutamanishana.
Dah!!!
Hahahahah....umenikumbusha maombi
 
Acha tu shoga angu...wanaume wanashindana na walipotoka, ukiuliza sababu eti nimekula pesa yake, kwa pesa gani bhana ya kutugaragaza mpaka ukiingiza kidole hakipiti...uchi umeumuka kama mahamri ya 500.
Wanaume wathamini nyuchi zetu jamani.
Hata kama sio sabuni kusema itaisha ila wamezidi.
Hatuna pa kusemea, ila ujumbe wataupata au sio shogaleeeee....

Dinazarde nilikumiss sana shost.
Shunie kanikumbusha mbali sana
Espy sijui hata kama yupo jamani....khaaa!!!
Nipooo madam, za kupotea jamani? Miss you.
 
Ila jamani hakuna raha kama kua na mwanaume anakuhudumia kila anachoweza kabla hata haujaomba.

Yaani unakua unajihisi upo na mwanaume haswaa hata kama una hela zako unajishusha kwake. Na sex unampa ya uhakika kiroho safii.
 
Kweli ukiwa na hela yako full confidence no stress hata na umalaya unaisha kabisa. Nashauri wanawake tutafte hela zetu Ili tuwe na amani Mimi binafsi nachukia kuomba omba, sio una shida una omba mtu hela badala akupe msaada anataka akulale
 
Ila jamani hakuna raha kama kua na mwanaume anakuhudumia kila anachoweza kabla hata haujaomba.

Yaani unakua unajihisi upo na mwanaume haswaa hata kama una hela zako unajishusha kwake. Na sex unampa ya uhakika kiroho safii.
Hahaha
 
Niseme tu nilikuwa napenda hela Sana, yaani ulikuwa ukinitongoza tu unalipia.mwanaume nikitoka nae out akinirudisha asiponipa hela yaani nablock mazima .ila toka niwe na akili za kutafuta hela yaani siangalii hela ya mtu.nacheki tu hekima yake na akili zake.

Mwanamke account yako ikisoma m 10 tu haki hata ndoto unazoota usiku zinabadilika.kuwa na hela raha jamani acheni.january tu unaamua umsaidie Nani au ukale bata wapi.

Kwanini utamani kupata mwanamme tajiri usiombe wewe kuwa tajiri??
Hakuna shortcut ya kupata hela.
Ushauri wangu wa mwisho kwa wanawake.usilale na mwanamme ili akupe hela.

Badala yake fanya kazi kwa bidii Sana uza hata ice cream au chapati kumi kwa siku
atatokea tu mwanaume mzuri atakuona kwenye biashara zako atakusaidia tena sio sio kwa sex. Sio lazima atokee mwanaume connection itatokea tu maana imeandikwa mguu unaotoka umefanyiwa dua na mtume ni mguu wa kupata ridhki.
Wanawake wengi hawapendi kuomba ila basi tu mambo ni magumu ukikaa kwenye nafasi yao utawaonea huruma hamna kitu kigumu kama kumuomba mtu hela ukiwa mtu mzima hata kama ni mzazi wako
 
Back
Top Bottom