Wanawake tafuteni hela zenu ni raha sana

Wanawake tafuteni hela zenu ni raha sana

Wewe nimetaka tuwe wachumba ukanikataa sasa matatizo yamekuzidi unakuja na kuniomba hela tena aisee! Lazma nikutafune ndio nikupe hela 😂
Labda hao wengine, yaani nirudi tena kwako kuomba msaada wakati najua fika utanimbato ndo unipe!
Lakini poa tu, kukupa penzi kwa msaada wa laki au laki 2 haina tabu.
Najua hutaondoka nayo, bali mimi ndio nitaondoka na pesa yako
 
Labda hao wengine, yaani nirudi tena kwako kuomba msaada wakati najua fika utanimbato ndo unipe!
Lakini poa tu, kukupa penzi kwa msaada wa laki au laki 2 haina tabu.
Najua hutaondoka nayo, bali mimi ndio nitaondoka na pesa yako
Hahahah hii kisoka tunaita "Both Team To Score" ama kisheria ni "Quid Pro Quo" Something for something!
 
Hahahah hii kisoka tunaita "Both Team To Score" ama kisheria ni "Quid Pro Quo" Something for something!
Ila team moja ndio itaumia kuliko ingine.
Kwa maana hiyo Extrovert nikiomba pesa ya maji kwako lazima nichezee mshedede?
Tuoneeni huruma jama.
Mwanamke kaombewa kupewa.
Penzi linafatia baadae
 
Ila team moja ndio itaumia kuliko ingine.
Kwa maana hiyo Extrovert nikiomba pesa ya maji kwako lazima nichezee mshedede?
Tuoneeni huruma jama.
Mwanamke kaombewa kupewa.
Penzi linafatia baadae
Baadae ipi hio 😁 au muda ambao utakuwa na asali wako wa moyo baada ya kunitumia sana katika kutatua matatizo yako? Au mda unaponiita boya mbele ya mashost zako?

Hivi nani hawajui nyie 😁??? Kidume unajitutumua kusomesha mtu unajua akiua mnakuwa familia moja kumbe yeye wala hana mpango kabisa na wewe. Hio siku atakayokugeuka hutakaa uamini unachokiona na kukiskia.
 
Baadae ipi hio 😁 au muda ambao utakuwa na asali wako wa moyo baada ya kunitumia sana katika kutatua matatizo yako? Au mda unaponiita boya mbele ya mashost zako?

Hivi nani hawajui nyie 😁??? Kidume unajitutumua kusomesha mtu unajua akiua mnakuwa familia moja kumbe yeye wala hana mpango kabisa na wewe. Hio siku atakayokugeuka hutakaa uamini unachokiona na kukiskia.
Sio kila mtu ana taka kufanya hivo.
Ila kuna wakati mwingine nyie wanaume mnasababisha tuwe makatili.
Mwanamke anaweza kukupa penzi bila tatizo ila sasa mkishapata chance hio....basi kila siku utakuwa unakuja kuangusha zigo kwangu.
 
Sio kila mtu ana taka kufanya hivo.
Ila kuna wakati mwingine nyie wanaume mnasababisha tuwe makatili.
Mwanamke anaweza kukupa penzi bila tatizo ila sasa mkishapata chance hio....basi kila siku utakuwa unakuja kuangusha zigo kwangu.
Sasa ninyi mnataka akaangushe zigo kwa nani ??

Ndio maana mnasababisha watu wanakuwa na michepuko au waislamu wanakuwa na wake wengi.
 
Sio kila mtu ana taka kufanya hivo.
Ila kuna wakati mwingine nyie wanaume mnasababisha tuwe makatili.
Mwanamke anaweza kukupa penzi bila tatizo ila sasa mkishapata chance hio....basi kila siku utakuwa unakuja kuangusha zigo kwangu.
Sasa kama ushaamua kunipa penzi ina maana sindio tumekuwa wapenzi tunaelekea hatu ya uchumba kisha ndoa 😁!!!

Au ulitaka ukinipa mara moja ndio basi tena? Nisiombe tena..
 
Sasa ninyi mnataka akaangushe zigo kwa nani ??

Ndio maana mnasababisha watu wanakuwa na michepuko au waislamu wanakuwa na wake wengi.
Akaangushe zigo kwa mkewe huko.
Kisa umenisaidia siku moja ndio unataka malipo ya penzi milele?

Unataka wote tuolewe,michepuko watatoka wapi?
Acha tuolewe mitara baba....kila mke na utamu wake.h
 
Sasa kama ushaamua kunipa penzi ina maana sindio tumekuwa wapenzi tunaelekea hatu ya uchumba kisha ndoa 😁!!!

Au ulitaka ukinipa mara moja ndio basi tena? Nisiombe tena..
Ahh wapi!
Aliyesema tukipeana penzi matokeo yake ndoa nani?
Wanaume wa siku hizi mnataka kuoa?
Mnataka kupiga na kusepa.

We Kama unataka kupiga piga...ndoa itajulikana mbele ya safari,ila tumalizane kwanza.
Kidate cha kwanza niulizie ndoa...hata nzi watanicheka.
 
Akaangushe zigo kwa mkewe huko.
Kisa umenisaidia siku moja ndio unataka malipo ya penzi milele?

Unataka wote tuolewe,michepuko watatoka wapi?
Acha tuolewe mitara baba....kila mke na utamu wake.h
Kama ni malipo hakuna shida kulipia kila huduma ikihitajika.

Ingawa offer na kukopeshana kwenye biashara hakuepukiki
 
Ahh wapi!
Aliyesema tukipeana penzi matokeo yake ndoa nani?
Wanaume wa siku hizi mnataka kuoa?
Mnataka kupiga na kusepa.

We Kama unataka kupiga piga...ndoa itajulikana mbele ya safari,ila tumalizane kwanza.
Kidate cha kwanza niulizie ndoa...hata nzi watanicheka.
Hahahahah kwahio nanyie mmekariri hivyo! Wengine tunataka kujiweka kwa muda mrefu kidogo.
 
Kama ni malipo hakuna shida kulipia kila huduma ikihitajika.

Ingawa offer na kukopeshana kwenye biashara hakuepukiki
Labda biashara za mitaani huko.
Mtaji natembea nao, risiti natoa mwenyewe afu unikope.
Lipia bidhaa kila utakapo kutumia.
Unajua uchungu wa kukopeshwa msumbufu?
 
Hahahahah kwahio nanyie mmekariri hivyo! Wengine tunataka kujiweka kwa muda mrefu kidogo.
Mia kwa mmoja aisee.
Hatujakaririshwa hivo ila hali ya maisha imefanya uwe ni msemo rasmi katika mapenzi.
 
Labda biashara za mitaani huko.
Mtaji natembea nao, risiti natoa mwenyewe afu unikope.
Lipia bidhaa kila utakapo kutumia.
Unajua uchungu wa kukopeshwa msumbufu?
Sasa mimi nikishakuwa mteja wa muda mrefu halafu nikawa nina "Kiwi🤣🤣" hutanionea huruma hata siku moja ??
 
Umeongea kweli my dear tutafute hela tuwe matajiri lakini tusiolewe na wanaume maskini
 
Sasa mimi nikishakuwa mteja wa muda mrefu halafu nikawa nina "Kiwi🤣🤣" hutanionea huruma hata siku moja ??
Kama ingekuwa hivo nyapu yangu ingekuwa na sugu aisee.
Achana na kutaka cha bure, mwingine akishakuwa 'mteja' mzoefu, anajipunguzia bei kidogo kidogo kisa eti ashakuwa mteja mzoefu...hakuna hiyo.
Pesa yako, huduma yako.
 
Back
Top Bottom