Wanawake tafuteni hela zenu ni raha sana

Wanawake tafuteni hela zenu ni raha sana

Kweli ukiwa na hela yako full confidence no stress hata na umalaya unaisha kabisa. Nashauri wanawake tutafte hela zetu Ili tuwe na amani Mimi binafsi nachukia kuomba omba, sio una shida una omba mtu hela badala akupe msaada anataka akulale

Akuzungusheee weee mi mwenzenu hizo kazi zilinishinda [emoji23][emoji23][emoji23]maana kulamba watu miguu huwa siwezi
Yani nikiomba hela ni Kama nimejishusha kiwango cha mwisho
Ajabu kuna wanaume wanaomba hela wanawake,huwa nashangaa
 
Haitokaa itokee mm nimuombe hela mwanaume coz vihela vya kwangu nilivyo navyo nakula nakunywa naridhika na hicho kidogo nilicho nacho.
Ila sio mwamba hela yenu siitaki kuna njia naitumia kuipata bila kuiomba.

LAKINI.................
Kazi no moja ya mwanaume ni kuhudumia mwanamke. Hii ipo wazi wanaume msibweteke na watakaochangia wakificha makucha

Mwanaume anaejitambua lazima atoe matumizi hata kama hujaombwa tofauti na hapo kila mtu abaki na chake.

N.b mdada pesa yako msaidie mwanaume ambae anakusaidia tu.

Mungu wabariki wadada ambao hawajapata kazi mwaka huu wote wapate kazi.

Amina
Mungu awasaidie [emoji1374]
 
Hayo mambo tuwaache wazungu,hawa dada zetu Bado wapo kwenye wimbi la ulimbukeni...

Yaaani unatafuta pesa ili umkomeshe/kumtambia mwanaume???....pesa itafute ili ikufanye kua huru kwenye maamuzi yako hasa kwenye mahusiano

Note: umeongea fact sana mkuu

Huko kua huru kwenye mahusiano ndio nyie wenyewe mnakuita ulimbukeni
Wanaume wengi wanawake wakiwazidi kipato mnatishika,yani hili mnaweza kupinga ila ni kweli

Ukishakuwa mtafutaji baadhi ya wanaume wanarudi nyuma kwenye majukumu yao sasa mwanamke akiona kila kitu anafanya yeye wewe upo busy na michepuko haoni hasara kuendelea mbele na maisha yake
Lazima mkubali kuna side effects za mwanamke kumzidi kipato mwanaume
Mwanamke always atamuheshimu mwanaume anae mzidi pesa
Money is power,it’s a spirit sio kwa mwanamke au kwa mwanaume kila mmoja pesa inampelekesha akiishika msituite malimbukeni wakati nyie pia mkizipata huwa mnatusahau mnaanza kutafuta vimada nje
 
Aisee leo wote hampendi kuomba hela...tutakutana tena kwenye uzi wa kuponda wanaume wasiotoa hela!
 
Mwanamke akitumika sana anachoka na kukongoroka sana. Siyo sawa na mwanaume.

Sioni kama hili ni suala la kushindana mwishowe wanaume lao ni moja. Watakutumia tu huku wakiambizana.

Wakati huo wewe ukijawa na stress huku heshima yako ikishuka.

Unaweza kuwa na uwezo mzuri kiuchumi lakini ukawa very stressful. Furaha unaitafuta kwa mbinde.

[emoji28][emoji28]akitumika sana ana kongoroka??my furendi hao ma slay queen wadangaji wangekuwa wameisha sana
Mwanamke matunzo bana,mwanamke akiwa na nuru hips linatoka,ziwa linajaa linasimama,ngozi inateleza kama ya mtoto,tumbo linaisha akipiga gym na diet nzuri
Sijui tunaelewana kukongoroka ni kukosa matunzo haina uhusiano na kutumika
Wake za ndoa wenye stress na hawatunzwi na waume zao ndio huwa wanakongoroka wanakua kama vizee wakati ni wadogo tu
Wanawake tujipende uwiii tafuteni hela mjipende mtu una watoto wawili ila ukionekana kama upo 25 aisee,mambo ya kujiachia kuwa na matairi yamepitwa na wakati,always look sexy regardless of your age [emoji4]
 
Akuzungusheee weee mi mwenzenu hizo kazi zilinishinda [emoji23][emoji23][emoji23]maana kulamba watu miguu huwa siwezi
Yani nikiomba hela ni Kama nimejishusha kiwango cha mwisho
Ajabu kuna wanaume wanaomba hela wanawake,huwa nashangaa
Anakutesa wee na wewe ungehitaji msaada wa kibinadamu, na hamu ya ku do huna vile una stress anakwambia njoo. Mimi naona uhuru wa mwanamke ni kuwa na uchumi imara Ili mtu utoke na umtakaye kuomba omba inachefua
 
[emoji28][emoji28]akitumika sana ana kongoroka??my furendi hao ma slay queen wadangaji wangekuwa wameisha sana
Mwanamke matunzo bana,mwanamke akiwa na nuru hips linatoka,ziwa linajaa linasimama,ngozi inateleza kama ya mtoto,tumbo linaisha akipiga gym na diet nzuri
Sijui tunaelewana kukongoroka ni kukosa matunzo haina uhusiano na kutumika
Wake za ndoa wenye stress na hawatunzwi na waume zao ndio huwa wanakongoroka wanakua kama vizee wakati ni wadogo tu
Wanawake tujipende uwiii tafuteni hela mjipende mtu una watoto wawili ila ukionekana kama upo 25 aisee,mambo ya kujiachia kuwa na matairi yamepitwa na wakati,always look sexy regardless of your age [emoji4]
Hebu angalia kina Tunda, Ambar Lulu, Wema sepetu. Huwezi kuwalinganisha na kina Maua sama, Jenipher Kyaka, Nancy Sumary.

Najua kila mwanaume ana taste yake, lakini nazungumza kama mwanamume, mwanamke akitumika sana anachoka mpaka anatia kinyaa.

Aunt Ezekiel wa Spare taili siyo wa sasa hivi, Irene Uwoya wa Oprah siyo wa sasa hivi. Zari kazaa sana lakini hajakongoroka kama Tunda.

Tena akianza kutumia na vipodozi vikali na vikuku, kutoboa pua mwishowe utachoka " a thousand times"
 
Hebu angalia kina Tunda, Ambar Lulu, Wema sepetu. Huwezi kuwalinganisha na kina Maua sama, Jenipher Kyaka, Nancy Sumary.

Najua kila mwanaume ana taste yake, lakini nazungumza kama mwanamume, mwanamke akitumika sana anachoka mpaka anatia kinyaa.

Aunt Ezekiel wa Spare taili siyo wa sasa hivi, Irene Uwoya wa Oprah siyo wa sasa hivi. Zari kazaa sana lakini hajakongoroka kama Tunda.

Tena akianza kutumia na vipodozi vikali na vikuku, kutoboa pua mwishowe utachoka " a thousand times"

Sasa hao mkuu kwanza wana mambo yao mengine mengi,wengine hapo wanakula njugu,wengine wanastress za maisha yani sample space yako ulio itolea mfano ina varieties nyingi
Zari kunona ni matunzo tu anajipenda hatuna uhakika maybe na yeye anabadilisha wanaume sana
Anyway let’s agree to disagree inawezekana wote tupo sahihi
Lakini nawajua wanawake wanaotumika sana na kimuonekano wapo vizuri tu ndio maana nakataa
Na wengine wametulia ila wameisha sababu wanakosa tu care wakiwekwa vizuri unawaona wanarudi kwenye ramani
Ni maisha tu haina uhusiano na kutumika
 
Anakutesa wee na wewe ungehitaji msaada wa kibinadamu, na hamu ya ku do huna vile una stress anakwambia njoo. Mimi naona uhuru wa mwanamke ni kuwa na uchumi imara Ili mtu utoke na umtakaye kuomba omba inachefua

Mtu una emergency una stress hata ukimpa huo ni ubakaji ila ndio hakupi bure aisee bora nikope kikoba au saccos ntalipa na riba juu kuliko kupelekeshwa kihivyo
Ni kukosa ubinadamu tu
Mbona sisi wakikwama tunawasaidia hatuwaombi waje kwanza nyumbani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Niseme tu nilikuwa napenda hela Sana, yaani ulikuwa ukinitongoza tu unalipia.mwanaume nikitoka nae out akinirudisha asiponipa hela yaani nablock mazima .ila toka niwe na akili za kutafuta hela yaani siangalii hela ya mtu.nacheki tu hekima yake na akili zake
Mwanamke account yako ikisoma m 10 tu haki hata ndoto unazoota usiku zinabadilika.kuwa na hela raha jamani acheni.january tu unaamua umsaidie Nani au ukale bata wapi.

Kwanini utamani kupata mwanamme tajiri usiombe wewe kuwa tajiri??
Hakuna shortcut ya kupata hela.
Ushauri wangu wa mwisho kwa wanawake.usilale na mwanamme ili akupe hela.

Badala yake fanya kazi kwa bidii Sana uza hata ice cream au chapati kumi kwa siku
atatokea tu mwanaume mzuri atakuona kwenye biashara zako atakusaidia tena sio sio kwa sex. Sio lazima atokee mwanaume connection itatokea tu maana imeandikwa mguu unaotoka umefanyiwa dua na mtume ni mguu wa kupata ridhki.
Mimi nakutaka nitakupa 500k cash hiyo ni mbali na matanuzi
 
Tumilion 10 umeanzisha uzi jf kwel inabidi tuwawezeshe sana wanawake.
Kibongobongo hiyo 10M kwa mwaka ni pesa kubwa. Maana hata watumishi walio wengi wanalipwa Tsh 500,000 kwa mwezi ambayo ni pato la Tsh 6M per year.
 
Back
Top Bottom