SMART GHOST
JF-Expert Member
- Feb 3, 2020
- 2,657
- 10,356
nasubiri utaje!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nasubiri utaje!
We mbona mrembo tu, jina lako linafaa hata kupewa NumbisaPia wasitusahau na sisi wenye ID ngumu za kiume
Nlivyokuwa na wivu hata hapa ndio maana imenichukua muda kujibu maana nilitaka nipoe kwanza nisije kuharibu nikakukosa kabisa. 😑
SMART GHOSTnasubiri utaje!
kichwa bana, nimesema nasubiri utaje, sio unitaje.
😂😂😂😂😂 hebu niacheNlivyokuwa na wivu hata hapa ndio maana imenichukua muda kujibu maana nilitaka nipoe kwanza nisije kuharibu nikakukosa kabisa. 😑
Haya bana, ngoja nikuset free, labda uta come back.😂😂😂😂😂 hebu niache
Yaani wewe ndiyo huijui kabisa akili ya hawa watu. Yaani kwa kufanya hivyo, ndiyo unamfagilia mwenzio halafu wewe unajichimbia balaa.....Wanawake nitajeni Mimi , mumuache Mshanajr
Hapo kwako ni 'mtakuja'....nitazunguka kooote lakini 'kucome back' kwako muhimuHaya bana, ngoja nikuset free, labda uta come back.
Hii imekaa very very ironic 😂😂Hapo kwako ni 'mtakuja'....nitazunguka kooote lakini 'kucome back' kwako muhimu
Hii imekaa very very ironic 😂😂
Good day
Hapo kwako ni 'mtakuja'....nitazunguka kooote lakini 'kucome back' kwako muhimu